Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,916
- 11,249
Sasa ulitaka waipende ili iweje ccm haifai dunia na kuzimu kabisaUbaguzi upi hapo unaouengelea? Kwani siyo ukweli kwamba Wachaga ndiyo wanaoichukua CCM kuliko jamii yoyote ile JMTZ?
Sasa ulitaka waipende ili iweje ccm haifai dunia na kuzimu kabisaUbaguzi upi hapo unaouengelea? Kwani siyo ukweli kwamba Wachaga ndiyo wanaoichukua CCM kuliko jamii yoyote ile JMTZ?
Inaonyesha ni jinsi gani wachaga wanakuumiza had ujiamini aliye barikiwa na kupewa akili lazima akutangulie tu.
Nasi inapaswa tujisifu.
Kwa miaka 55 sasa tumekuwa na smooth transition of power ambapo marais wetu kwa Amani kabisa wamekuwa wakirithishana madaraka.
hatujawahi kuwa na Rais mng'ang'ania madaraka na hili ni jambo la mfano wa kuigwa!
tuombe Mungu utamaduni huu uendelee kudumu daima milele!
ktk hili tuwapongeze wanasiasa wote walioshinda na kushindwa urais kwa kukubali kwao matokeo na kuendelea kuheshimu katiba ya Jamhuri ya Muungano!
Hakuna western media itakayotusifia, so inabidi tujisifu wenyewe!
Mungu ibariki Tanzania....
Mungu ibariki Africa!
Sasa ulitaka waipende ili iweje ccm haifai dunia na kuzimu kabisa
Ndo hivo wanafyatuana tu hamna kitu kibaya kupendwa na wasio jielewa ndo ccm hao.Sawa, washauri waendelee kuzaana labda siku moja idadi yao itatosha!
Maana povu lako limeanza kulaumu wachaga kwa comments za kibaguzi baguzi tu.Ni wapi nimesema nilitaka waipende? Nimesema hali ilivyo kulingana na niliyemjibu alivyoandika!
Sawa. Kuna data zinazoonyesha hiyo % ya chukizo? na nikwanini kuna chukizo?
Maana povu lako limeanza kulaumu wachaga kwa comments za kibaguzi baguzi tu.
Nimejibu according na comments eti wachaga ndo walimpa ushindi mnyika kuanzia ubunge na Kilimanjaro. Hivi ukiwa ccm lazima uwe mpumbavu mpumbavu hivi. Na bila wajinga kushabikia ccm itaendeleza kuharibu nchi na uchumi kwa kupitia viongozi vilazer wasio na vision.Ni wapi nimewalaumu? Nimesema jinsi hali ilivyo na hakuna mahali nilipowalaumu, sasa kama haukubaliani na nilichokisema unaweza kunibishia lkn ukweli ni kwamba bila KLM hakuna chadema!
Ndo hivo wanafyatuana tu hamna kitu kibaya kupendwa na wasio jielewa ndo ccm hao.
Tena hao wachagga wanaokushika masaburi hawafai kabisa
CUF ya temeke ni ya Mchagga???Matokeo ya Uchaguzi ndiyo data pekee, chadema imeshinda kwa kiasi Kikubwa uchagani tu, wkt CCM Tanzania nzima, hata Dar yenyewe mahali ambapo chadema imepata kura nyingi ni pale ambapo wenyeji wengi wa KLM wanaishi kama Kimara na Kibamba!!
huu ndio uchocheziKwa bahati mbaya umma wa Wachaga hautoshi kushinda Uchaguzi na kubadilisha Chama Tanzania!
Kumbe uelewa wako mdogo mkoa mdogo ndo nini sasa, umejuaje ni ndefu hajui kila jambo na wakati wake. Tatizo chadema inawaumiza ccm anafikiri kuongea ukabila ndo itawa saveWaambie waendelee tu kufwatuana kama Sungura, na Mkoa wao ulivyo mdogo sijui itakuwaje, lkn safari yao bado ndefu sana kuweza kufikia namba ya kuiingiza chadema madarakani!
kwa utafiti upi uliofanyaUbaguzi upi hapo unaouengelea? Kwani siyo ukweli kwamba Wachaga ndiyo wanaoichukua CCM kuliko jamii yoyote ile JMTZ?
Kumbe uelewa wako mdogo mkoa mdogo ndo nini sasa, umejuaje ni ndefu hajui kila jambo na wakati wake. Tatizo chadema inawaumiza ccm anafikiri kuongea ukabila ndo itawa save
hauko makini then!Bila unafiki,hakuna mtanzania yeyote hapa nchini ama nje ya nchi anayeichukia CCM kama mimi.Hata akiwa ndg yang ni mwana ccm,kwa vile naichukia ccm hata yeye pia nitamchukia,Hata kama atagua siwezi mpa huduma maana yeye nahisi atakuwa na maisha bora kama ccm inavyo jitanabaisha.
Ukiangalia Marekani kila Rais anayetoka madarakani lazima awe amechoka mwili na wengi huonekana kuzeeka,hii ni tofauti na hapa kwetu ambapo wa kwetu huonekana kunawili na kuwa kama vijana
Dunia ya sasa under globalization ni mambo ya free movements ndo maana wametapakaa nchi nzima na nje. Sasa dhana yako ya mkoa mdogo ni mawazo yako finyu hafu wajidai mtetezi wa magu mbona aibu tupuNafasi itakuwa haba kwa kuwa umesema wanaendelea kufwatuana!
CUF ya temeke ni ya Mchagga???
we jamaa una ugonjwa wa akiliKwa kiasi fulani naweza kusema ndiyo, kwani Wabunge wa Upinzani wengi wameshinda Mijini na huko ndiko watu wa KLM walikojaa, angalia Kimara na Kibamba huko kashinda Mnyika, ngoja nikuulize unafikiri ilikuwa ni bahati mbaya Mnyika kwenda kugombea Kimara na Kibamba badala ya Ubungo?