Tanzania vs Benin, African Qualifiers - FIFA World Cup Qatar 2022

Jamaa aliyefunga ni striker
anatwa Steve Mounie anacheza Brest ligi kuu ya Ufaransa na kina PSG,,amewahi pia chezea Huddersfield ya England bila kusahau Nimes na Montpellier zote za France,,ni bonge striker hacheki na kima kama ndugu zetu wanaopoteza nafasi za hovyohovyo tu saizi wanajilaumu
 
Safari ndio imekwisha hata kabla haijaanza ?

Well tuanze kujipanga kwa nyingine baada ya 2022
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom