NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,001
Sio kweli mkuu,Fesal Salum mbona anaweza sana tu.Shida kubwa Tanzania hakuna playmakers kama Chama/de Bruyne, ni vigumu sana kutengeneza high quality chances kama huna wachezaji wabunifu kwenye midfield.