Tanzania umeme (TANESCO)ni janga linalonyemelea kuangamiza taifa kiuchumi

Mtumishi Wetu

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
5,712
1,906
Baraa hili la umeme ni janga lisilo epukika kwa hali sasa jinsi ilivyo, kwenye gazeti la Mwana Halisi ukurasa wa pili linasema "Nchi kuingia gizani"!!!!!!! Bila shaka mpenzi msomaji hapa unaishi Tanzania, hata kama unaishi nje ya nchi unainterest na hii nchi yetu ya Tanzania na unaitakia mazuri!!!!!!!!! Kuna ukweli usiopingika kuwa janga hili la umeme ni halisi, kwa gharama za umeme kupanda hadi watu na viwanda kushindwa kukabili hizo gharama na nchi kufilisika!!!!

Sioni mkakati wowote wa serikali kujikomboa na hii minyororo ya gharama za umeme ilizojiingiza kwa mikataba ya ajabu ajabu ambayo inazidi kutafuna uchumi wa taifa letu!!!!!!!!! Kuwalipa IPTL,SYMBION POWER ( Kumbe malipo ya Tshs 156million daily bado yapo palepale, kilicho badilika ni ownership faked) AGRECO, SONGASS wote hao wanakomba mabilion kila mwezi toka hazina ya nchi maskini ya Tanzania!!!!!!!!!!!!

Migodi yoote ya dhahabu,tanzanite,etc wanatumia umeme lakini kwa mikataba mibovu hawalipi kodi serikalini!!!!!!!!!! Je kwa mwendo huu nchi yetu si itafikia mahali hasa karibuni itafilisika na kushindwa kujiendesha kwa kubeba majukumu inayostahili kubeba??????????? Hapa hakuna cha nani wala nini wote tuko humu humu sasa tufanyeje, tukubali kuzama na hili jahazi, kwa kadili linavyo vuja bila kuzibwa kwa maana litazama??????????

Nawasilisha bado nina mawazo mbadala tutayajadili!!!!!!!!!!

 
eti bei imepanda kidharura kwa miezi sita ...hivi hatuna watu huko tanesco au university wanaweza kuplani umeme hata tukafadhiliwa kama tunavyo fadhiliwa kwenye bara bara na vinginevyo kama gari na boti za police
 
eti bei imepanda kidharura kwa miezi sita ...hivi hatuna watu huko tanesco au university wanaweza kuplani umeme hata tukafadhiliwa kama tunavyo fadhiliwa kwenye bara bara na vinginevyo kama gari na boti za police
Ndugu yangu wafadhili wa kuleta umeme wa uhakika wapo ila serikali ina mipango ya kifisadi wazalishe umeme wa majenerator watuuzie kwa gharama kubwa ni matajiri wa kutupwa!!!!!!, Wanaolipwa ni IPTL, SONGASS,AGRECO,SYMBION iliyo jinyumbua toka DOWANS TANESCO mzigo huu unaielemea. Tukiacha mawazo ya umeme wa jenerator, tutakuwa na umeme wa uhakika wa kudumu!!!!!

 
Tumeshazoea bwana hata wasipokata umeme tunashangaa kweli!
 
Tumeshazoea bwana hata wasipokata umeme tunashangaa kweli!
Kuzoea sawa lakini huoni pole pole taifa linafilisika haliwezi kujiendesha ndio maana ya mfumuko wa bei,kushindwa kulipa mishahara, kushindwa kulipa mikopo ya shule, kushindwa kulipa madaktari kushindwa kulipa sijui nini orodha ni ndefu, shauri ya kugharimia energy and power na hakuna dalili za kustopisha hii process????????

 
Una wazo tufanye nini manake hapo nyuma kuna waliojaribu kuforce serikali kutoka kwenye hio mikataba ya ghali wakaonekana wanautaka uraisi, hawana jipya, wivu unawasumbua, hatukuwaunga mkono ipasavyo.
Mtu ataetutoa watanzania usingizini sijui atatumia dawa gani, tumepigwa na ganzi ya ajabu, uzalendo wa kivitendo uko mbali sana na ratiba zetu za kawaida.
 
Ndugu yangu wafadhili wa kuleta umeme wa uhakika wapo ila serikali ina mipango ya kifisadi wazalishe umeme wa majenerator watuuzie kwa gharama kubwa ni matajiri wa kutupwa!!!!!!, Wanaolipwa ni IPTL, SONGASS,AGRECO,SYMBION iliyo jinyumbua toka DOWANS TANESCO mzigo huu unaielemea. Tukiacha mawazo ya umeme wa jenerator, tutakuwa na umeme wa uhakika wa kudumu!!!!!


Mtumishi hakuna kitu kinachouma kama hizo capacity charges USD 150,000.00 per day kwa kampuni zote hizo za kubuni. Hivi hizo pesa kweli kama tungekuwa na nia ya dhati ya kuondokana na tatizo hilo tusingeweza kupata mradi mbadala wa nafuu ambao ni mali yetu wenyewe bila hizo capacity charges?
 
Una wazo tufanye nini manake hapo nyuma kuna waliojaribu kuforce serikali kutoka kwenye hio mikataba ya ghali wakaonekana wanautaka uraisi, hawana jipya, wivu unawasumbua, hatukuwaunga mkono ipasavyo.
Mtu ataetutoa watanzania usingizini sijui atatumia dawa gani, tumepigwa na ganzi ya ajabu, uzalendo wa kivitendo uko mbali sana na ratiba zetu za kawaida.

Mtumishi hakuna kitu kinachouma kama hizo capacity charges USD 150,000.00 per day kwa kampuni zote hizo za kubuni. Hivi hizo pesa kweli kama tungekuwa na nia ya dhati ya kuondokana na tatizo hilo tusingeweza kupata mradi mbadala wa nafuu ambao ni mali yetu wenyewe bila hizo capacity charges?

" TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"
Mipango ipo kwenye makaratasi na ilipangwa zamani na kampuni zilizofanya utafiti kama NorPlan ya Sweden pamoja na RUBAGA, kujenga Hydro power ya Stiegler’s Gorge. Ikazuka mizengwe mingi ya wana mazingila na mafisadi ili wapate upenyo wa kuzalisha umeme wa majenerator!!! Matokeo ya umeme wa majenerator ndiyo hayo hatuwezi kumudu gharama kubwa ya mafuta na hizo capacity charges!!!!!Taifa limeelemewa linahitaji mbinu mbadala kujikomboa!!!!!!!!!
 
Mtumishi hakuna kitu kinachouma kama hizo capacity charges USD 150,000.00 per day kwa kampuni zote hizo za kubuni. Hivi hizo pesa kweli kama tungekuwa na nia ya dhati ya kuondokana na tatizo hilo tusingeweza kupata mradi mbadala wa nafuu ambao ni mali yetu wenyewe bila hizo capacity charges?

" TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"
Mipango ipo kwenye makaratasi na ilipangwa zamani na kampuni zilizofanya utafiti kama NorPlan ya Sweden pamoja na RUBAGA, kujenga Hydro power ya Stiegler’s Gorge. Ikazuka mizengwe mingi ya wana mazingila na mafisadi ili wapate upenyo wa kuzalisha umeme wa majenerator!!! Matokeo ya umeme wa majenerator ndiyo hayo hatuwezi kumudu gharama kubwa ya mafuta na hizo capacity charges!!!!!Taifa limeelemewa linahitaji mbinu mbadala kujikomboa!!!!!!!!!
Wakuu inawezekana kabisa kujikomboa na hili ya janga la umeme, kinachohitajika ni utashi tuu wa viongozi wetu kama giza la ufisadi litawekwa kando!!!!!!!!! Nchi nyingi duniani zilijikomboa kwa kuwa bold na kutosikiliza mawazo ya kukwamisha project zilzo kusudiwa kuleta maendeleo!!!!!!!! Hebu angalia hapa:-
[h=1]List of largest hydroelectric power stations[/h]
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jump to: navigation, search
This article provides a list of the largest hydroelectric power stations by generating capacity. Only plants with capacity larger than 2,000 MW are listed. Generating capacity is not the only factor determining the amount of electricity generated, as this also depends on consistent utilization of the plant's capacity. Factors enhancing this are the free capacity of the reservoir and the consistency of water supply during and across years.
The Three Gorges Dam in Hubei, China, has the world's largest instantaneous generating capacity (22,500 MW), with the Itaipu dam in Brazil/Paraguay in second place (14,000 MW). During the course of an entire year, the Itaipu dam generates more electricity (94.7 TWH) than the Three Gorges Dam (84.4 TWH) because the Three Gorges dam experiences six months per year when there is very little water available to generate power, while the Parana river that feeds the Itaipu dam has a much lower seasonal variance in flow. The giant Three Gorges Dam (22,500 MW when completed) is operated jointly with the much smaller Gezhouba Dam (3,115 MW). As of 2009[SUP][update][/SUP], the total generating capacity of this two-dam complex is 21,515 MW. The whole project is planned to be completed in 2012, when the total generating capacity will be 25,615 MW. In 2008, this complex generated 97.9 TWh of electricity (80.8 TWh from the Three Gorges Dam and 17.1 TWh from the Gezhouba Dam), which is 3.4% more power in one year than the 94.7 TWh generated by Itaipu in 2008.


Three Gorges Dam (left), Gezhouba Dam (right).


The Itaipu power plant on the Brazil-Paraguay border currently produces first most hydroelectricity power in the world in a single dam. With 20 generator units and 14,000 MW of installed capacity, in 2008 the Itaipu power plant reached a new historic record for electricity production by generating 94.68 terawatt-hours (340,800 TJ).
The Jinsha River (the upper stream of Yangtze River) complex is the largest hydroelectric generating system currently under construction. It has 3 phases. Phase one includes 4 dams on the downstream of the Jinsha River. They are Wudongde Dam, Baihetan Dam, Xiluodu Dam, and Xiangjiaba Dam, with generating capacity of 7,400 MW, 14,000 MW, 12,600 MW, and 6,000 MW respectively. The total generating capacity of those four dams is 40,000 MW. Construction of Xiluodu Dam started on December 26, 2005. Construction of Xiangjiaba Dam started on November 26, 2006. Phase one is planned to be completed in 2015. Phase two includes 8 dams on the middle stream of the Jinsha River. The total generating capacity is 21,150 MW. Phase three includes 8 dams on the upper stream of the Jinsha River. The total generating capacity is 8,980 MW. The total combined capacity of the Jinsha complex with the Three Gorges complex will be 95,745 MW.
There is also planned for the Grand Inga Dam, at the Inga Dam in the Congo River. Grand Inga would produce the most hydroelectricity power in the world in a single dam, with 52 generator units and 39,000 MW of installed capacity.
NameCountryYear of completionTotal Capacity (MW)Max annual electricity
production (TW-hour)
Area flooded (km²)
1Three Gorges Dam
22px-Flag_of_the_People%27s_Republic_of_China.svg.png
People's Republic of China
2008/2011[SUP][1][/SUP]18,300 (October 2008);
22,500 (when complete)[SUP][1][/SUP]
80.8[SUP][2][/SUP]632
2Itaipu
22px-Flag_of_Brazil.svg.png
Brazil
22px-Flag_of_Paraguay.svg.png
Paraguay
1984/1991/200314,00094.7[SUP][3][/SUP]1,350
3Guri (Simón Bolívar)
22px-Flag_of_Venezuela.svg.png
Venezuela
198610,20053.414,250
4Tucuruí
22px-Flag_of_Brazil.svg.png
Brazil
19848,37041.433,014
5Grand Coulee
22px-Flag_of_the_United_States.svg.png
United States
1942/19806,80920[SUP][4][/SUP]
6Sayano Shushenskaya
(repair works)
22px-Flag_of_Russia.svg.png
Russia
1985/1989 2009/20146,40026.8621
7Krasnoyarskaya
22px-Flag_of_Russia.svg.png
Russia
19726,00020.42,000
8Robert-Bourassa
22px-Flag_of_Canada.svg.png
Canada
19815,616[SUP][5][/SUP][SUP][6][/SUP]
9Churchill Falls
22px-Flag_of_Canada.svg.png
Canada
19715,428[SUP][7][/SUP]356,988
10Longtan Dam
22px-Flag_of_the_People%27s_Republic_of_China.svg.png
People's Republic of China
20094,900 (6,300 when complete)18.7[SUP][8][/SUP]
11Bratskaya
22px-Flag_of_Russia.svg.png
Russia
19674,50022.6
12Ust Ilimskaya
22px-Flag_of_Russia.svg.png
Russia
19804,32021.7
13Paulo Afonso Hydroelectric Complex
22px-Flag_of_Brazil.svg.png
Brazil
19794,279
14Laxiwa Dam
22px-Flag_of_the_People%27s_Republic_of_China.svg.png
People's Republic of China
20104,200 [SUP][9][/SUP]
15Xiaowan Dam
22px-Flag_of_the_People%27s_Republic_of_China.svg.png
People's Republic of China
20104,200 [SUP][10][/SUP]
16Yaciretá
22px-Flag_of_Argentina.svg.png
Argentina
22px-Flag_of_Paraguay.svg.png
Paraguay
19984,05019.21,600
17Pubugou Dam
22px-Flag_of_the_People%27s_Republic_of_China.svg.png
People's Republic of China
20103,600
18Tarbela Dam
22px-Flag_of_Pakistan.svg.png
Pakistan
19763,47813
19Ertan Dam
22px-Flag_of_the_People%27s_Republic_of_China.svg.png
People's Republic of China
19993,300 (550×6)17.0
20Ilha Solteira Dam
22px-Flag_of_Brazil.svg.png
Brazil
19733,444
21Xingó Dam
22px-Flag_of_Brazil.svg.png
Brazil
1994/19973,162
22Gezhouba Dam
22px-Flag_of_the_People%27s_Republic_of_China.svg.png
People's Republic of China
19883,11517.01
23Boguchany Dam
22px-Flag_of_Russia.svg.png
Russia
2011/20133,00017.62,326
24Nurek Dam
22px-Flag_of_Tajikistan.svg.png
Tajikistan
1979/19883,00011.2
25Goupitan Dam
22px-Flag_of_the_People%27s_Republic_of_China.svg.png
People's Republic of China
20093,000 [SUP][11][/SUP]
26La Grande-4
22px-Flag_of_Canada.svg.png
Canada
19862,779[SUP][5][/SUP]
27W. A. C. Bennett Dam
22px-Flag_of_Canada.svg.png
Canada
19682,73013
28Chief Joseph Dam
22px-Flag_of_the_United_States.svg.png
United States
1958/73/792,620
29Manic-5 and Manic-5-PA
22px-Flag_of_Canada.svg.png
Canada
1968, 19892,592[SUP][5][/SUP]
30Volzhskaya (Volgogradskaya)
22px-Flag_of_Russia.svg.png
Russia
19612,57212.3
31Niagara Falls (CAN)Template:CANADA19612,515 [SUP][12][/SUP]
32Chicoasén (Manuel M. Torres) Dam
22px-Flag_of_Mexico.svg.png
Mexico
19802,430
33La Grande-3
22px-Flag_of_Canada.svg.png
Canada
19842,418[SUP][5][/SUP]
34Tehri Dam
22px-Flag_of_India.svg.png
India
20052,4006.532
35Atatürk Dam
22px-Flag_of_Turkey.svg.png
Turkey
19902,4008.9
36Jinanqiao Dam
22px-Flag_of_the_People%27s_Republic_of_China.svg.png
People's Republic of China
20112,400
37Zhiguliovskaya (Samarskaya)
22px-Flag_of_Russia.svg.png
Russia
19572,30010.5
38Iron Gates-I
22px-Flag_of_Romania.svg.png
Romania
22px-Flag_of_Serbia.svg.png
Serbia
19702,19213
39Caruachi
22px-Flag_of_Venezuela.svg.png
Venezuela
20062,16012.95
40John Day Dam
22px-Flag_of_the_United_States.svg.png
United States
19492,160
41La Grande-2-A
22px-Flag_of_Canada.svg.png
Canada
19922,106[SUP][5][/SUP][SUP][13][/SUP]
42Aswan
22px-Flag_of_Egypt.svg.png
Egypt
19702,10011
43Bath County PSP
22px-Flag_of_the_United_States.svg.png
United States
19852,1003.32
44Itumbiara
22px-Flag_of_Brazil.svg.png
Brazil
19802,082
45Hoover Dam
22px-Flag_of_the_United_States.svg.png
United States
1936/19612,080
46Cahora Bassa
22px-Flag_of_Mozambique.svg.png
Mozambique
19752,075
47Cleuson-Dixence Complex
17px-Flag_of_Switzerland.svg.png
Switzerland
19652,0694.51
48The Dalles Dam
22px-Flag_of_the_United_States.svg.png
United States
19572,038
49Bureya Dam
22px-Flag_of_Russia.svg.png
Russia
20092,010
50Karun I Dam
22px-Flag_of_Iran.svg.png
Iran
19762,000
51Masjed Soleyman Dam
22px-Flag_of_Iran.svg.png
Iran
20012,000
52Karun III Dam
22px-Flag_of_Iran.svg.png
Iran
20072,0004.1
53Lijiaxia Dam
22px-Flag_of_the_People%27s_Republic_of_China.svg.png
People's Republic of China
20002,000
[h=2][edit] See also[/h]
[h=2][edit] References[/h]
40px-Edit-clear.svg.png

This article may require cleanup to meet Wikipedia's quality standards. (Consider using more specific cleanup instructions.) Please help improve this article if you can. The talk page may contain suggestions. (February 2009)

 
Nashauri TANESCO angepewa Eng. Peter A Mokiwa, mkurugenzi wa maji safi na taka dodoma (DUWASA). Huyu jamaa kwa utendaji wake nafikiri angemaliza tatizo la umeme tanzania, japokuwa by professional ni Civil Engineer lakini ni admistrator mzuri. Dodoma ilikuwa jangwa, lakini leo Dodoma inafaa kuishi kwa sababu ya mchango wake mkubwa katika kutatua tatizo la Maji. wapo wa-TZ wachache wazalendo, huyu ni mmoja wao. Huu ni mtazamo tu!!!, au wewe unasuggest nani?
 
Nashauri TANESCO angepewa Eng. Peter A Mokiwa, mkurugenzi wa maji safi na taka dodoma (DUWASA). Huyu jamaa kwa utendaji wake nafikiri angemaliza tatizo la umeme tanzania, japokuwa by professional ni Civil Engineer lakini ni admistrator mzuri. Dodoma ilikuwa jangwa, lakini leo Dodoma inafaa kuishi kwa sababu ya mchango wake mkubwa katika kutatua tatizo la Maji. wapo wa-TZ wachache wazalendo, huyu ni mmoja wao. Huu ni mtazamo tu!!!, au wewe unasuggest nani?

Mgombezi hapa mtu mmoja hawezi bila kubadili mfumo kwa sababu hii miradi ina maslahi kwa watu kwa hiyo kutafuta solution ya kudumu hawataki.
 
Mgombezi hapa mtu mmoja hawezi bila kubadili mfumo kwa sababu hii miradi ina maslahi kwa watu kwa hiyo kutafuta solution ya kudumu hawataki.

Kumbuka suluhisho huletwa na mtu mmoja ambaye ana uwezo wa kushawishi kwabadili wengine. Tunasoma historia aliyeweza kuwatoa wana wa Israel utumwani ni Musa, kwa uwezo aliopewa na Mungu aliweza kuwashawishi wengine kukubaliana na wazo lake.
 
Kumbuka suluhisho huletwa na mtu mmoja ambaye ana uwezo wa kushawishi kwabadili wengine. Tunasoma historia aliyeweza kuwatoa wana wa Israel utumwani ni Musa, kwa uwezo aliopewa na Mungu aliweza kuwashawishi wengine kukubaliana na wazo lake.
Swala ndugu yangu Mgombezi kama alivyosema Mkuu MANI si kuwa na mtu specific to run the project, bali kinachotakiwa ni uamuzi wa vingozi na utashi kuwa jambo hili linawezekana, bila mawazo ya kifisadi kama ilivyokuwa!!!!!!!!!!! Watu wapo mbona wa kusimamia miradi mikubwa!!! Kumbuka reli ya TAZARA Mwl Nyerere na President Kaunda walipewa mawazo ya kukatisha tamaa lakini wao wahakikisha wazo lao limefanikiwa, bila kujali wakatisha tamaa!!!!Leo hii reli ya TAZARA inafanya kazi, ni uamuzi!!!!

 
hawataki kutafuta suluhisho la umeme watakula wapi $ 150,000 kwa siku si mchezo mambo yote yapo huko
 
hawataki kutafuta suluhisho la umeme watakula wapi $ 150,000 kwa siku si mchezo mambo yote yapo huko
Mpendwa Blaki Womani hajumbo heri ya mwaka mpya??? Hapa sisi tunajaribu kuamsha mambo yaliyo lala hadi tukaingia mkenge wa kina Loawasa!!!!!!!!!! Hili swala ni nyeti saana kwa mustakbali wa maendeleo ya taifa letu, hatuwezi kuka kimya kama mazezeta kama tumelogwa tuendelee kuangamia kumbe kuna suluhisho!!!!!!!!!! Piga kelele saana bila shaka kuna atakaye sikia na kuzinduka msaada upatikane!!!!!

 
Swala ndugu yangu Mgombezi kama alivyosema Mkuu MANI si kuwa na mtu specific to run the project, bali kinachotakiwa ni uamuzi wa vingozi na utashi kuwa jambo hili linawezekana, bila mawazo ya kifisadi kama ilivyokuwa!!!!!!!!!!! Watu wapo mbona wa kusimamia miradi mikubwa!!! Kumbuka reli ya TAZARA Mwl Nyerere na President Kaunda walipewa mawazo ya kukatisha tamaa lakini wao wahakikisha wazo lao limefanikiwa, bila kujali wakatisha tamaa!!!!Leo hii reli ya TAZARA inafanya kazi, ni uamuzi!!!!


Mtumishi wetu, Kumbuka TANESCO ni shirika la umma linalopaswa kujiendesha; hivyo kupata mtendaji mwenye kutoa dira kunaweza kuwa suluhisho badala ya kulaumu serikali. Watendaji wa TANESCO wanapaswa kuwa na mipango ya kuliendeleza shirika at the same time wanatatua tatizo la umeme kwani hiyo ndiyo biashara yao.
 
Mpendwa Blaki Womani hajumbo heri ya mwaka mpya??? Hapa sisi tunajaribu kuamsha mambo yaliyo lala hadi tukaingia mkenge wa kina Loawasa!!!!!!!!!! Hili swala ni nyeti saana kwa mustakbali wa maendeleo ya taifa letu, hatuwezi kuka kimya kama mazezeta kama tumelogwa tuendelee kuangamia kumbe kuna suluhisho!!!!!!!!!! Piga kelele saana bila shaka kuna atakaye sikia na kuzinduka msaada upatikane!!!!!

Mbali na Stiegler’s Gorge / River Rufiji,
Je kwenye mto kama Kagera Ruhuhu kwenye border na Rwanda tunashindwaje kujenga Dam la nguvu kukidhi mahitaji ya taifa na majirani zetu??????? Au kwenye mto Kagera hatuwezi kuweka dam ya kumaliza tatizo hili la umeme???????
Angalia hapa:-
[h=2]Wonder of the Modern World[/h]
In 1994, the American Society of Civil Engineers elected the Itaipu Dam as one of the seven modern Wonders of the World. In 1995, the American magazine Popular Mechanics published the results.[SUP][9][/SUP]


Panoramic view of the Itaipu Dam, with the spillways (closed at the time of the photo) on the left


[h=2][edit] Social and environmental impacts[/h] When construction of the dam began, approximately 10,000 families living beside the Paraná River were displaced.[SUP][10][/SUP]
The world's largest waterfall by volume, the Guaíra Falls were drowned by the newly formed Itaipu reservoir. The Brazilian government liquidated the Guaíra Falls National Park, and dynamited the submerged rock face where the falls had been, facilitating safer navigation, but eliminating the possibility of restoring the falls in the future. [SUP]http://en.wikipedia.org/wiki/Itaipu_Dam#cite_note-intlrivers-10[/SUP]

[h=2][edit] Statistics[/h]
 
Mtumishi wetu, Kumbuka TANESCO ni shirika la umma linalopaswa kujiendesha; hivyo kupata mtendaji mwenye kutoa dira kunaweza kuwa suluhisho badala ya kulaumu serikali. Watendaji wa TANESCO wanapaswa kuwa na mipango ya kuliendeleza shirika at the same time wanatatua tatizo la umeme kwani hiyo ndiyo biashara yao.
Hiyo ni kweli TANESCO ni shirika la kibiashara lakini decision makers ni serikali pacey, kwani miradi ya NorPlan&RUBADA, Mto Kagera Ruhuhu under KBO si TANESCO ILISHIRIKI KIKAMILIFU kufanyia feasibility study na data zote zilipelekwa wizarani, lakini mawaziri hawakujali hiyo riport bado wanaendelea na miradi ya umeme wa majenerator!!!!! Uamuzi anao waziri wa nishati na madini Mheshimiwa Ngeleja chini ya RAIS WETU KIKWETE pamoja na baraza zima la mawaziri!!!!!!

 
Hiyo ni kweli TANESCO ni shirika la kibiashara lakini decision makers ni serikali pacey, kwani miradi ya NorPlan&RUBADA, Mto Kagera Ruhuhu under KBO si TANESCO ILISHIRIKI KIKAMILIFU kufanyia feasibility study na data zote zilipelekwa wizarani, lakini mawaziri hawakujali hiyo riport bado wanaendelea na miradi ya umeme wa majenerator!!!!! Uamuzi anao waziri wa nishati na madini Mheshimiwa Ngeleja chini ya RAIS WETU KIKWETE pamoja na baraza zima la mawaziri!!!!!!


TANESCO kwenda kubwaka hizo feasibility study Wizarani na kusubiri serikali kufanya jambo, hili ni tatizo la utendaji ndani ya Tanesco. TANESCO wanapaswa kufanya feasibility study kwa miradi yao itakayoweza kuendeleza shirika at the same time kutatua matatizo ya umeme, baada ya kukamilika kwa hizo feasibility study na kuona miradi hiyo inalipa wanapaswa kutafuta vyanzo vya pesa na Serikali inabaki kuwa mdhamini ikiwa ni mkopo.
 
Back
Top Bottom