Imenishangaza mpaka sasa hasa wapinzani hawajadai tume huru ya uchaguzi. Hii haitakuwa nzuri kwa taifa tujiandae muhula wa pili kuwa mgumu kwa Magu. Kwanza kwasababu ya kutokuwa na tume huru jumuia za kimataifa zitatugomea kwenye mambo mengi. Pili pesa za watalii zitapungua kwa chaguzi za kenya na Tanzania kutisha wageni. Tatu CCM wataanza groups za kuwa Raisi ajaye. Vilevile kama kawaida Zanzibar kutaibiwa kura na kuleta majanga kule.
Hivyo kwa mnao ona mbali hasa CCM jueni tume huru itawasaidia kwa mengi.Bila hivyo mtawapa upinzani nguvu maana malalamiko yao kila mtu ataona wazi
Hivyo kwa mnao ona mbali hasa CCM jueni tume huru itawasaidia kwa mengi.Bila hivyo mtawapa upinzani nguvu maana malalamiko yao kila mtu ataona wazi