Tanzania tupige hatua moja mbele tuinunue Bank ya Barclays tawi la Africa

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
15,022
9,943
Kufuatia uamuzi wa uongozi wa Barclays kutaka kuuza tawi lake la Africa. Serikali ya Tanzania ifikirie kuinunua hiyo Bank kubwa Africa na kuweza kuongeza vitega uchumi nje ya nchi.

Naimani chini ya uongozi wa watu makini na mashuhuri kama Lau Mafuru Dr.Kimei Bade na Heri Bomani wanaweza kabisa kuiongoza hii bank na ikawa na ufanisi mkubwa na kuleta tija nchini.

Kwa sasa CRDB wana tawi Burundi na linafanya vizuri tu, pia Bank ya Exim inayo matawi comoro na nchi zingine za Africa na yana endeshwa kwa ufanisi mkubwa.
 
Hivi unaelewa unachokisema wewe?

Unajua value ya hiyo stake ya Barclays UK kwenye Barclays Africa?

Unajua ni bajeti za miaka mingapi za nchi ya Tanzania?
 
Kufuatia uamuzi wa uongozi wa Barclays kutaka kuuza tawi lake la Africa. Serikali ya Tanzania ifikirie kuinunua hiyo Bank kubwa Africa na kuweza kuongeza vitega uchumi nje ya nchi.

Naimani chini ya uongozi wa watu makini na mashuhuri kama Lau Mafuru Dr.Kimei Bade na Heri Bomani wanaweza kabisa kuiongoza hii bank na ikawa na ufanisi mkubwa na kuleta tija nchini.

Kwa sasa CRDB wana tawi Burundi na linafanya vizuri tu, pia Bank ya Exim inayo matawi comoro na nchi zingine za Africa na yana endeshwa kwa ufanisi mkubwa.


Kwanini tusiifanye CRDB au NMB kuwa Barclays?
 
KULIKO KUNUNUA MADENI YAO;

BORA TUFUNGUE BENKI NYINGINE YA MAZAO .

ILI IWE KAZI YAKE NI KUNUNUA MAZAO NA KUUZA NJE


BENKI ZA BIASHARA ZINATOSHA
 
Hivi unaelewa unachokisema wewe?

Unajua value ya hiyo stake ya Barclays UK kwenye Barclays Africa?

Unajua ni bajeti za miaka mingapi za nchi ya Tanzania?
wacha uoga uwezo wa kuinunua na kuiendesha tunao.
 
KULIKO KUNUNUA MADENI YAO;

BORA TUFUNGUE BENKI NYINGINE YA MAZAO .

ILI IWE KAZI YAKE NI KUNUNUA MAZAO NA KUUZA NJE


BENKI ZA BIASHARA ZINATOSHA
hii Bank tayari ina market shere, inawateja na ina rasilimali watu, ukibadili wakurugenzi na ukarekebisha management kidogo tu unaanza kula faida.
 
hii Bank tayari ina market shere, inawateja na ina rasilimali watu, ukibadili wakurugenzi na ukarekebisha management kidogo tu unaanza kula faida.

unadhani tatizo la UK bank kuondoa stake yake ni ishu ya management?

The reason is Africa market is not doing well and growth does not meet budgeted figures

Contribution to the whole group is so minimal

The Government of Tanzania is currently not involving itself in doing business
 
Kufuatia uamuzi wa uongozi wa Barclays kutaka kuuza tawi lake la Africa. Serikali ya Tanzania ifikirie kuinunua hiyo Bank kubwa Africa na kuweza kuongeza vitega uchumi nje ya nchi.

Naimani chini ya uongozi wa watu makini na mashuhuri kama Lau Mafuru Dr.Kimei Bade na Heri Bomani wanaweza kabisa kuiongoza hii bank na ikawa na ufanisi mkubwa na kuleta tija nchini.

Kwa sasa CRDB wana tawi Burundi na linafanya vizuri tu, pia Bank ya Exim inayo matawi comoro na nchi zingine za Africa na yana endeshwa kwa ufanisi mkubwa.
hiv kumbe exim nayo ni benk ya kitanzania?!
 
Kufuatia uamuzi wa uongozi wa Barclays kutaka kuuza tawi lake la Africa. Serikali ya Tanzania ifikirie kuinunua hiyo Bank kubwa Africa na kuweza kuongeza vitega uchumi nje ya nchi.

Naimani chini ya uongozi wa watu makini na mashuhuri kama Lau Mafuru Dr.Kimei Bade na Heri Bomani wanaweza kabisa kuiongoza hii bank na ikawa na ufanisi mkubwa na kuleta tija nchini.

Kwa sasa CRDB wana tawi Burundi na linafanya vizuri tu, pia Bank ya Exim inayo matawi comoro na nchi zingine za Africa na yana endeshwa kwa ufanisi mkubwa.

Wakati serikali ya Tanzania inashindwa kulipia equity call yake NBC na shares zake zipo kwenye hatihati ya kuchukuliwa na ABSA wewe unaota kununua Barclays

Wakati benki za serikali kama Twiga Bank Corp inaendeshwa kama SACCO unakuja na wazo la kununua Barclays!!
 
unadhani tatizo la UK bank kuondoa stake yake ni ishu ya management?

The reason is Africa market is not doing well and growth does not meet budgeted figures

Contribution to the whole group is so minimal

The Government of Tanzania is currently not involving itself in doing business
Unachosema nakubaliana na wewe, Barclays kwa malengo yao ya uendeshaji na faida wanayoipata kwao haina maslahi, lakini kwetu hiyo faida ambayo kwao ni kiduchu kwetu sio haba, ikumbukwe hawauzi kwa sababu inapata hasara hapana wanauza kwa sababu malengo tarajiwa wameshindwa kuyafikia.

kusema serikali haifanyi biashara hizo zilikuwa porojo za mkapa, makampuni kama BAE systems yanamilikiwa na serikali, china na UAE makampuni kibao yanamilikiwa na serikali.
 
Wakati serikali ya Tanzania inashindwa kulipia equity call yake NBC na shares zake zipo kwenye hatihati ya kuchukuliwa na ABSA wewe unaota kununua Barclays

Wakati benki za serikali kama Twiga Bank Corp inaendeshwa kama SACCO unakuja na wazo la kununua Barclays!!
ujanja ujanja uliofanyika NBC kila mtu anaujua, ni suala la wakati tu utatumbuliwa.
 
Unachosema nakubaliana na wewe, Barclays kwa malengo yao ya uendeshaji na faida wanayoipata kwao haina maslahi, lakini kwetu hiyo faida ambayo kwao ni kiduchu kwetu sio haba, ikumbukwe hawauzi kwa sababu inapata hasara hapana wanauza kwa sababu malengo tarajiwa wameshindwa kuyafikia.

kusema serikali haifanyi biashara hizo zilikuwa porojo za mkapa, makampuni kama BAE systems yanamilikiwa na serikali, china na UAE makampuni kibao yanamilikiwa na serikali.

Policy ya serikali ya Tanzania katika uwekezaji sio ya serikali kuwekeza ...ila Private Investment under government regulation

BAE system ni mashirika yenye Public Interest ni kama vile TANESCO ...Hayo yanamilikiwa na serikali

Pia nimekuambia shareholding ya Barclays UK kwenye Barclays Africa ni kubwa sana ni bora tungewekeza hizo pesa kwenye Benki ya TIB
 
ujanja ujanja uliofanyika NBC kila mtu anaujua, ni suala la wakati tu utatumbuliwa.

Pia kumbuka Benki ya CRDB na NMB sio Per se za serikali

Serikali ya Tanzania imekashindwa hata ka Twiga Bancop sembuse Barclays Africa...Acheni utani bana
 
Policy ya serikali ya Tanzania katika uwekezaji sio ya serikali kuwekeza ...ila Private Investment under government regulation

BAE system ni mashirika yenye Public Interest ni kama vile TANESCO ...Hayo yanamilikiwa na serikali

Pia nimekuambia shareholding ya Barclays UK kwenye Barclays Africa ni kubwa sana ni bora tungewekeza hizo pesa kwenye Benki ya TIB
kwani Bank haina public interest? mbona TIB inamilikiwa na serikali na inafanya vizuri tu, labda ingekuja na takwimu za hizo interest inazosema ni kubwa ndo tuone kama hatuwezi kumudu badala ya kuwa na negative ideas tu
 
kwani Bank haina public interest? mbona TIB inamilikiwa na serikali na inafanya vizuri tu, labda ingekuja na takwimu za hizo interest inazosema ni kubwa ndo tuone kama hatuwezi kumudu badala ya kuwa na negative ideas tu

kumbuka kampuni kama samsung walishindwa kuendesha kampuni ya tri-tel na ikafilisika, wakajijenga upya na sasa ni moja ya kampuni bora duniani, kusema tulikwama NBC sasa ndo hatuwezi tena huo utakuwa ni ujinga wa hali ya juu.

Tukinunua Barclays tukaingiza product ya Mpesa na money mobile (fahari huduma) ikasambaa Africa nzima tosha kabisa.
 
Mkuu Bank system zetu zikiendeshwa kwa kufata specialization kwenye viwanda, majengo kilimo na mifugo tunaweza kufanya vizuri zaidi. tatizo bank zetu muda mwingine ni kama kariakoo mara m pesa nusu , robo kilimo, nusu biashara robo mifugo na ndio maana zinapata hasara kwenye mikopo. TIB imeriwa iliwakopesha wenye Ranch hela nyingi zaidi kuliko hata uwezo wa Ranch kupokea na kulisha mifugo uko Karagwe kagera. tatizo hawana wataalam wa kuangalia na kuwashauli ili wanufaike na kuendelea kukopesha wateja wao.
 
Back
Top Bottom