Tanzania tunayoitaka kama wana wa Israel chini ya Farao

tyadcodar

Senior Member
Aug 16, 2011
170
12
Wana jf hongera kwa kazi,napenda tu kuwambia kwamba msifadhaike sana ndani ya mioyo yenu na jinsi nchi yetu inavyokwenda kwa sababu ni mpango mzima wa mungu.mungu aliufanya moyo wa farao kuwa mugumu ili neno litimie,yaani wana wa isreal waondoke kwenda nchi yao ya ahadi,laiti kama farao angewatreat vizuri wasingeondoka,vivyo hivyo mungu ameifanya serikali ya ccm na viongozi wake wote kuwa na mioyo mugumu yaani hawajali,wanabeza,wanawadharau wananchi na hata kuwafanya hayawani wakifungua mdomo wanaltewa upupu:,epa,kuuza mbuga za wanyama,na mengine yote bila kujali yote hiyo ni moyo mugumu ambao matokeo yake,tulishaanza kuyaona arusha,mwanza,mbeya,iringa na sasa igunga tunasubiri mioyo yao migumu itende kazi, kwa ujumla huo moyo wao mugumu ndiyo utatuletea tanzania tunayotaka
 
Asante naunga mkono hoja ni kweli tunaekea kaanani kwa haya mapito tutafika tu mungu ibariki tanzania tufike salaama
 
Ni kweli sasa angalau naweza kuona dalili za mjukuu wa mwisho wa mjukuu wa mjukuu wangu wa mwisho kuishi ndani ya Tanzania yenye neema!
 
Wana jf hongera kwa kazi,napenda tu kuwambia kwamba msifadhaike sana ndani ya mioyo yenu na jinsi nchi yetu inavyokwenda kwa sababu ni mpango mzima wa mungu.mungu aliufanya moyo wa farao kuwa mugumu ili neno litimie,yaani wana wa isreal waondoke kwenda nchi yao ya ahadi,laiti kama farao angewatreat vizuri wasingeondoka,vivyo hivyo mungu ameifanya serikali ya ccm na viongozi wake wote kuwa na mioyo mugumu yaani hawajali,wanabeza,wanawadharau wananchi na hata kuwafanya hayawani wakifungua mdomo wanaltewa upupu:,epa,kuuza mbuga za wanyama,na mengine yote bila kujali yote hiyo ni moyo mugumu ambao matokeo yake,tulishaanza kuyaona arusha,mwanza,mbeya,iringa na sasa igunga tunasubiri mioyo yao migumu itende kazi, kwa ujumla huo moyo wao mugumu ndiyo utatuletea tanzania tunayotaka

Hapo kwenye red: Ndivyo ilivyo kwa Jakaya kuwa na moyo mgumu wa kufanya maamuzi magumu, ili neno litimie kama nilivyonenwa na mojawapo wa maaskofu Kwamba JK ni chaguo la Mungu. Mungu amechagua kupitia JK Tanzania iweze kupona. Asante Mungu kwa kuwapofusha macho wasiweze kuona uovu wanaotenda, asante kwa kuziba masikio yao wasiweze kusikia wanapoambiwa uovu wao, asante kwa kuwaacha wajifanye miungu badala yako uliye Mfalme Mkuu wa HAKI na AMANI kwa kudai kwamba AMANI ni sera yao wakati HAKI haipo.
 
Back
Top Bottom