Wana jf hongera kwa kazi,napenda tu kuwambia kwamba msifadhaike sana ndani ya mioyo yenu na jinsi nchi yetu inavyokwenda kwa sababu ni mpango mzima wa mungu.mungu aliufanya moyo wa farao kuwa mugumu ili neno litimie,yaani wana wa isreal waondoke kwenda nchi yao ya ahadi,laiti kama farao angewatreat vizuri wasingeondoka,vivyo hivyo mungu ameifanya serikali ya ccm na viongozi wake wote kuwa na mioyo mugumu yaani hawajali,wanabeza,wanawadharau wananchi na hata kuwafanya hayawani wakifungua mdomo wanaltewa upupu:,epa,kuuza mbuga za wanyama,na mengine yote bila kujali yote hiyo ni moyo mugumu ambao matokeo yake,tulishaanza kuyaona arusha,mwanza,mbeya,iringa na sasa igunga tunasubiri mioyo yao migumu itende kazi, kwa ujumla huo moyo wao mugumu ndiyo utatuletea tanzania tunayotaka