Dtts
Member
- Feb 20, 2012
- 52
- 9
Ndugu wana JF,
Sisi kama watanzania tuepukane na siasa chafu za kisiasa ambazo mwisho wake inchi yetu
iliyokuwa na amani sasa inatoweka,ccm inawatu wengi wasomi kwanini inahalibu siasa
kwa kuhofia kushindwa,kuna mtu aliwahi sema hv karibuni tumepanga mbinu kubwa za kuichafua chadema,
sasa mnajimaliza wenyewe mwenye akili timamu anaona.
Sisi kama watanzania tuepukane na siasa chafu za kisiasa ambazo mwisho wake inchi yetu
iliyokuwa na amani sasa inatoweka,ccm inawatu wengi wasomi kwanini inahalibu siasa
kwa kuhofia kushindwa,kuna mtu aliwahi sema hv karibuni tumepanga mbinu kubwa za kuichafua chadema,
sasa mnajimaliza wenyewe mwenye akili timamu anaona.