Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,957
- 103,308
Sera makini za kilimo tunazo!
Watunga sera za kilimo siku ukiwaona mashambani ujue wameenda kwenye mazishi. Na wakijitahidi wanatembelea green house huko goba kwa ajili ya kujiselfie. Sera zitungwe na wakulima maana ndio wanajua changamoto za kilimo na sio hao wauza sura huko maofisini.