Tanzania tunahitaji Jaji Mkuu mpya kutokana na yanayoendelea kwenye Mhimili wa Mahakama?

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,606
8,744
Hatuwezi kuwa na Mahakama ambayo kazi yake inasikilizia Serikali badala ya kufuata sheria. Kesi za msingi zinachukuwa miaka mingi pasipo ulazima.

Ni wakati wa huyu Professor kurudi kufundisha na kuokoa huu Muhimili muhumu kwa taifa letu. Lakini ni wakati wa kuwa na Jaji Mkuu ambaye katokana na mfumo ya sio hawa makada ambao wanachaguliwa kuwa Majaji.

Majaji wakuu waliopita walikuwa na uzoefu na hawakuruhusu mahakama kuwa sehemu ya kufichia maovu ya kisiasa. Mahakama kuu kwa ucheleweshaji wa makusudi wa kesi nyingi hasa za kisiasa badala ya kusaidia kutoa haki wamekuwa wanatumika kukandamiza haki. Yanni nina kesi bado za wabunge wa 2010-2015 hazijasikilizwa mfano rufaa ya Lissu ya kufukuzwa ubunge! tujiulize kwanini? Kuna kitu gani hasa cha kufanya kesi kama hizi za Covid 19 zitachukuwa miaka yote mpaka 2025! ? Sasa hii inaonyesha picha gani kwa wananchi kuhusu mahakama?. Tatizo ni viongozi wa hii mahakama
 
Baraza Kuu la Chadema limegeuzwa kuwa Baraza Kuu la wanywa kahawa, maamuzi yake yamefutwa kwa dakika chache tu
 
Wana-chadema wanapoona CHADEMA ni DJ wanahisi kila mfumo nchi ni mtu, mfumo mtu Tanzania ni CHADEMA na tunashukuru unaenda kufa
 
Hatuwezi kuwa na Mahakama ambayo kazi yake inasikilizia Serikali badala ya kufuata sheria. Kesi za msingi zinachukuwa miaka mingi pasipo ulazima.

Ni wakati wa huyu Professor kurudi kufundisha na kuokoa huu Muhimili muhumu kwa taifa letu. Lakini ni wakati wa kuwa na Jaji Mkuu ambaye katokana na mfumo ya sio hawa makada ambao wanachaguliwa kuwa Majaji.
kweli
 
Kwa yanayoendelea, Chadema inahitaji mwenyekiti mpya wa taifa, na katiba mpya ya chadema
 
Hatuwezi kuwa na Mahakama ambayo kazi yake inasikilizia Serikali badala ya kufuata sheria. Kesi za msingi zinachukuwa miaka mingi pasipo ulazima.

Ni wakati wa huyu Professor kurudi kufundisha na kuokoa huu Muhimili muhumu kwa taifa letu. Lakini ni wakati wa kuwa na Jaji Mkuu ambaye katokana na mfumo ya sio hawa makada ambao wanachaguliwa kuwa Majaji.

Majaji wakuu waliopita walikuwa na uzoefu na hawakuruhusu mahakama kuwa sehemu ya kufichia maovu ya kisiasa. Mahakama kuu kwa ucheleweshaji wa makusudi wa kesi nyingi hasa za kisiasa badala ya kusaidia kutoa haki wamekuwa wanatumika kukandamiza haki. Yanni nina kesi bado za wabunge wa 2010-2015 hazijasikilizwa mfano rufaa ya Lissu ya kufukuzwa ubunge! tujiulize kwanini? Kuna kitu gani hasa cha kufanya kesi kama hizi za Covid 19 zitachukuwa miaka yote mpaka 2025! ? Sasa hii inaonyesha picha gani kwa wananchi kuhusu mahakama?. Tatizo ni viongozi wa hii mahakama
Kwakweli siku hizi ujaji sio tena norble profession kama ilivyokuwa inaaminiwa.
 
Ni wakati wa huyu Professor kurudi kufundisha na kuokoa huu Muhimili muhumu kwa taifa letu. Lakini ni wakati wa kuwa na Jaji Mkuu ambaye katokana na mfumo ya sio hawa makada ambao wanachaguliwa kuwa Majaji.
Jaji mkuu anayetokana na mfumo ana sifa zipi?... Kumbuka Prof.Juma alihudumu kama naibu wa hiyo nafasi karibu miezi 6 kabla ya kuapishwa rasmi.

Huu muhimili Uhuru wake upo kwenye karatasi tu ila kiuhalisia hauna Uhuru wowote.
JokaKuu Pascal Mayalla Nguruvi3
Bulesi Yoda
 
Kila kitu kitakuja kwa muda muafaka hivo vumilia huu uhuni Hauna muda mrefu utaisha tu.Bora serikali ingekua inatumika hizi mbinu chafu kukiza uchumi wa nchi yetu kuliko kijiaibisha kiasi hivi.Tunataka umafya wa kukuza uchumi na sio umafya wa siasa za kihuni.
 
Hawa ilitakiwa wafutiwe usajili wa vyeti toka vyuo walivyo soma.
 
Hata ingekuwa wewe ,unasema tu Sababu uko nje ya huo mhimili,hata aje Nani lazima afate maelekezo
 
Hatuwezi kuwa na Mahakama ambayo kazi yake inasikilizia Serikali badala ya kufuata sheria. Kesi za msingi zinachukuwa miaka mingi pasipo ulazima.

Ni wakati wa huyu Professor kurudi kufundisha na kuokoa huu Muhimili muhumu kwa taifa letu. Lakini ni wakati wa kuwa na Jaji Mkuu ambaye katokana na mfumo ya sio hawa makada ambao wanachaguliwa kuwa Majaji.

Majaji wakuu waliopita walikuwa na uzoefu na hawakuruhusu mahakama kuwa sehemu ya kufichia maovu ya kisiasa. Mahakama kuu kwa ucheleweshaji wa makusudi wa kesi nyingi hasa za kisiasa badala ya kusaidia kutoa haki wamekuwa wanatumika kukandamiza haki. Yanni nina kesi bado za wabunge wa 2010-2015 hazijasikilizwa mfano rufaa ya Lissu ya kufukuzwa ubunge! tujiulize kwanini? Kuna kitu gani hasa cha kufanya kesi kama hizi za Covid 19 zitachukuwa miaka yote mpaka 2025! ? Sasa hii inaonyesha picha gani kwa wananchi kuhusu mahakama?. Tatizo ni viongozi wa hii mahakama
Tuna takataka tupu.... Kiazi Mkuu
 
Huyo Professa does not measure up to the job!! Inawezekana mfumo wetu wa kupata Jaji mkuu hautupatii the best that we can have in the country!! Katiba mpya will have to address this process and rectify its shortcomings.
Mapendekezo ya Warioba Ni kuwa nafasi hiyo itangazwe wafanyiwe interview ambayo itakuwa live on air! Kila mtanzania apewa nafasi ya kutoa maoni yake Nani anafaa
 
Back
Top Bottom