Hoja yako inanikumbusha wakati uliposhupaa kuwa kuna baa la njaa halafu baadaye ukayeyuka kama barafu mbele ya joto bila kuleta mrejesho!
Leo umekuja na suala la ufukara na ninajua baada ya muda utateyuka na kuibuka na suala lingine!
Zitto siku hizi ndani ya ACT-Wazalendo amekuwa Kiongozi Mkuu, Mbunge, katibu Mwenezi, Mweka hazina, Mkuu wa Idara ya Mahusiano ya nchi za nje na ...
He's John Cheyo in making!
LINK>>>Je, ACT-Wazalendo ya Zitto Kabwe kuwa kama UDP ya John Cheyo
Mkuu, kwani kuna ubaya wowote Zitto kuwa na uwezo wa kufanya kazi zote hizo yeye mwenyewe? To me, that's a strength, not a weakness. Jibuni hoja, kwanini tunaonekana kurudi nyuma kimaendeleo ktk maeneo ambayo ameyataja Zitto?