Wanabodi,
wale wenye access angalieni Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa live na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi, leo Mtangazaji Mahiri, Leonard Mapuli yuko na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Press Clubs, UTPC, Aboubakar Karsan, anamwaga nondo za kufa mtu, kwanza kwa kuwaita baadhi ya viongozi ni "Vichwa Maji".
Aboubakar Karsan, anasema Tanzania tuna sheria nzuri inayotoa uhuru mkubwa wa habari tatizo ni Tanzania hatuna Media zenye uwezo wa kuutumia ipasavyo uhuru tulionao, amesema Tanzania tuna media iliyojaa uoga katokana na kuwaogopa viongozi vichwa maji!.
Karsan anasema, media ya Tanzania, ingeutumia vizuri na kikamilifu uhuru tulionao, Tanzania tungekuwa mbali sana kimaendeleo, kwa sababu vitendo vya rushwa, uhujumu, ufisadi, ubadhirifu na madudu yote yanayoibuliwa kwenye ziara za Mhe. Rais, vingeibuliwa kabla na serious media na sio kusubiri hadi rais afanye ziara ndipo madudu yaibuliwe.
Aboubakar Karsan, anasema ile kauli ya rais, John Pombe Joseph Magufuli kuvionya vyombo vya habari kuwa "Watch out, you are not that free", ilitolewa kwa nia njema, kuwaasa media kuwa hakuna uhuru usio mipaka, na kila haki inaadamana na wajibu. Kupitia kauli hii, baadhi ya wasaidizi wa rais wakiwemo mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya, ambao amewaita "vichwa maji", wakaitafsiri vibaya kauli hiyo, na kuanza kuvibinya vyombo vya habari na kuwabinya waandishi wa habari, ikiwemo kuvifungia vyombo vya habari na kuviadhibu.
Karsan anasema, haungi mkono fungia fungia ya vyombo vyombo vya habari yakiwemo magazeti ni kuwanyima haki haki wananchi wanaotegemea media hiyo kupata habari, ameshauri zitumike adhabu mbadala.
Karsan anasema, uhuru wa kweli wa habari, uanzie ndani ya vyombo vyenyewe vya habari, kwa wamiliki wa vyombo vya habari, kuwalipa vizuri waandishi wao, wawape haki zote za msingi za wanahabari, ikiwemo vitendea kazi bora, mazingira bora ya Kazi, bima ya afya, kinga maalum kwa waandishi wa habari za kiuchunguzi. Baada ya waandishi kupata haki zao na stahiki zao newsroom ndipo sasa tukatafute hiyo haki nje ya newsroom kwa kusisitiza sheria, taratibu, na kanuni zifuatwe.
Karsan anasema kuna waandishi wa kweli wa habari, na wanaharakati wa kihabari, kazi za uandishi wa habari, sio uanaharakapti za kihabari, ila amekiri kwenye media kuna sera za media za kihabari na media za ki propaganda na za kiharakati, akatolea mfano gazeti la Uhuru, tangu usajili wake ni gazeti la propaganda ya Chama cha Mapinduzi, hivyo likiandika propaganda yoyote ndiko kutimiza wajibu wake. Lakini vyombo vya kawaida vya habari, vinatakiwa kuwa impartial kwa kuripoti balanced news. Amelaani magazeti huru kujigeuza vyombo vya propaganda za vyama Fulani akatolea mfano gazeti la Tanzania Daima ni gazeti huru, likifanya propaganda ya Chadema, ni kinyume cha sera ya gazeti hilo.
Hitimisho.
Karsan anasisitiza, Tanzania tuna Uluru mkubwa wa habari kwa mujibu wa sheria, unakwamishwa na viongozi vichwa maji, na media zenye uoga, hivyo amesisitiza media tutimize wajibu wetu bila uoga kwa mujibu wa sheria, tukiacha uoga, tutaisaidia sana serikali, tutaisaidia jamii na kulisaidia Taifa.
Asanteni kufuatilia.
Paskali
Rejea
Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?.
Wanabodi Leo ni Siku ya Kimataifa ya kuadhimisha Uhuru wa Habari. Kwa Tanzania, maadhimisho rasmi yanafanyikia jijini Mwanza, katika kuadhimisha siku hii kwa Tanzania tunaadhimisha nini haswa?. Wakati tukiadhimisha hicho tunachoadhimisha, hakuna ubaya tukitafakari baadhi maswali haya... 1.Jee...www.jamiiforums.com
Tanzania tuna uhuru mkubwa wa habari na uhuru wa kujieleza, Serikali ina nia njema kusajili na Kudhibiti-Dr. Hassan Abbas afafanua live on Chan.10
Wanabodi, Naangalia kipindi cha Baragumu ambacho kiko live on Channel Ten, Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Maelezo, Dr. Hassan Abbas, afafanua mambo mbalimbali ya Habari Tanzania, amesema Tanzania Tuna Uhuru Mkubwa wa Habari na Uhuru mkubwa wa Kujieleza, ila pia amefafanua usajili wa mitandao ya...www.jamiiforums.com
Siku ya Uhuru wa Habari: Absalom Kibanda azungumza Ukweli Mchungu! Apata a Standing Ovation!
Wanabodi, Leo ndio Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Habari, ambapo kwa hapa Tanzania, siku hii imeadhimishwa kwa siku mbili, jana na leo, katika hoteli ya Nashera mjini Morogoro. Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absolom Kibanda, amezungumza kwa ukali na kwa uchungu jinsi utawala wa JK ilivyo...www.jamiiforums.com
Mkuu Everest Chahali, kwanini hili swali uniulize mimi?.Where is Azory, Bwana Paskali? Tuanzie hapo!
sidhani kama Karsan katumwa, bali Paskali katoa maelezo ya karsan kwa namna yake na tafsiri yake, kama una access nzuri ya internet we ingia tu youtube utafute hicho kipindi cha JICHO LETU KATIKA HABARI umsikie mwenyewe ndipo umjaji. Kumbuka Paskali kwasasa ni mpiga matarumbeta wa msukuma mwenzie, Hayupo real kivile kama alivyokuwa awali, japo yeye bado anajiona ana uwezo mkubwa wa kuwashawishi watu kwakuwa tu tulimwamini sana kwa machapisho yake yaliyokuwa yana utafiti mzuri hapo awali.Yaani we Paskali, unashikiwa akili na huyo Karsani kirahisi hivyo? Bado ninaimani na hoja zako nyingi Lakini ktk hili hapana buana. Huyo katumwa tu na kitengo cha propaganda cha jiwe ili kutuliza hali ya mambo kufuatia mvua ya mashambulizi ya Amnesty..... na Human.......!
Duh aiseee!! jamaa sijui siku hizi ukoje au umetupiwa mapepo maana hata sikuelewi.
Hivi azory gwanda sijui ndio jina lake hilo, hivi alikuwa mwanasiasa au mwandishi wahabari?
Yote yanawezekana Pascal Mayalla alikuwa mfano kwangu ila kwasasa aiseee namkataaMpunga labda
Tatizo media nyingi zinapenda kuandika Habari za umbeya tu
Umesema kweli, imekuwa Wasukuma wote wamekuwa CCM, tena wakereketwa.Mkuu mi
sidhani kama Karsan katumwa, bali Paskali katoa maelezo ya karsan kwa namna yake na tafsiri yake, kama una access nzuri ya internet we ingia tu youtube utafute hicho kipindi cha JICHO LETU KATIKA HABARI umsikie mwenyewe ndipo umjaji. Kumbuka Paskali kwasasa ni mpiga matarumbeta wa msukuma mwenzie, Hayupo real kivile kama alivyokuwa awali, japo yeye bado anajiona ana uwezo mkubwa wa kuwashawishi watu kwakuwa tu tulimwamini sana kwa machapisho yake yaliyokuwa yana utafiti mzuri hapo awali.
Nawatakia waandishi wenzangu wote wa habari, maandimisho mema ya siku hii ya kimataifa ya uhuru wa habari.Wanabodi,
wale wenye access angalieni Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa live na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi, leo Mtangazaji Mahiri, Leonard Mapuli yuko na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Press Clubs, UTPC, Aboubakar Karsan, anamwaga nondo za kufa mtu, kwanza kwa kuwaita baadhi ya viongozi ni "Vichwa Maji".
Aboubakar Karsan, anasema Tanzania tuna sheria nzuri inayotoa uhuru mkubwa wa habari tatizo ni Tanzania hatuna Media zenye uwezo wa kuutumia ipasavyo uhuru tulionao, amesema Tanzania tuna media iliyojaa uoga katokana na kuwaogopa viongozi vichwa maji!.
Karsan anasema, media ya Tanzania, ingeutumia vizuri na kikamilifu uhuru tulionao, Tanzania tungekuwa mbali sana kimaendeleo, kwa sababu vitendo vya rushwa, uhujumu, ufisadi, ubadhirifu na madudu yote yanayoibuliwa kwenye ziara za Mhe. Rais, vingeibuliwa kabla na serious media na sio kusubiri hadi rais afanye ziara ndipo madudu yaibuliwe.
Aboubakar Karsan, anasema ile kauli ya rais, John Pombe Joseph Magufuli kuvionya vyombo vya habari kuwa "Watch out, you are not that free", ilitolewa kwa nia njema, kuwaasa media kuwa hakuna uhuru usio mipaka, na kila haki inaadamana na wajibu. Kupitia kauli hii, baadhi ya wasaidizi wa rais wakiwemo mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya, ambao amewaita "vichwa maji", wakaitafsiri vibaya kauli hiyo, na kuanza kuvibinya vyombo vya habari na kuwabinya waandishi wa habari, ikiwemo kuvifungia vyombo vya habari na kuviadhibu.
Karsan anasema, haungi mkono fungia fungia ya vyombo vyombo vya habari yakiwemo magazeti ni kuwanyima haki haki wananchi wanaotegemea media hiyo kupata habari, ameshauri zitumike adhabu mbadala.
Karsan anasema, uhuru wa kweli wa habari, uanzie ndani ya vyombo vyenyewe vya habari, kwa wamiliki wa vyombo vya habari, kuwalipa vizuri waandishi wao, wawape haki zote za msingi za wanahabari, ikiwemo vitendea kazi bora, mazingira bora ya Kazi, bima ya afya, kinga maalum kwa waandishi wa habari za kiuchunguzi. Baada ya waandishi kupata haki zao na stahiki zao newsroom ndipo sasa tukatafute hiyo haki nje ya newsroom kwa kusisitiza sheria, taratibu, na kanuni zifuatwe.
Karsan anasema kuna waandishi wa kweli wa habari, na wanaharakati wa kihabari, kazi za uandishi wa habari, sio uanaharakapti za kihabari, ila amekiri kwenye media kuna sera za media za kihabari na media za ki propaganda na za kiharakati, akatolea mfano gazeti la Uhuru, tangu usajili wake ni gazeti la propaganda ya Chama cha Mapinduzi, hivyo likiandika propaganda yoyote ndiko kutimiza wajibu wake. Lakini vyombo vya kawaida vya habari, vinatakiwa kuwa impartial kwa kuripoti balanced news. Amelaani magazeti huru kujigeuza vyombo vya propaganda za vyama Fulani akatolea mfano gazeti la Tanzania Daima ni gazeti huru, likifanya propaganda ya Chadema, ni kinyume cha sera ya gazeti hilo.
Hitimisho.
Karsan anasisitiza, Tanzania tuna Uluru mkubwa wa habari kwa mujibu wa sheria, unakwamishwa na viongozi vichwa maji, na media zenye uoga, hivyo amesisitiza media tutimize wajibu wetu bila uoga kwa mujibu wa sheria, tukiacha uoga, tutaisaidia sana serikali, tutaisaidia jamii na kulisaidia Taifa.
Asanteni kufuatilia.
Paskali
Rejea
Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?.
Wanabodi Leo ni Siku ya Kimataifa ya kuadhimisha Uhuru wa Habari. Kwa Tanzania, maadhimisho rasmi yanafanyikia jijini Mwanza, katika kuadhimisha siku hii kwa Tanzania tunaadhimisha nini haswa?. Wakati tukiadhimisha hicho tunachoadhimisha, hakuna ubaya tukitafakari baadhi maswali haya... 1.Jee...www.jamiiforums.com
Tanzania tuna uhuru mkubwa wa habari na uhuru wa kujieleza, Serikali ina nia njema kusajili na Kudhibiti-Dr. Hassan Abbas afafanua live on Chan.10
Wanabodi, Naangalia kipindi cha Baragumu ambacho kiko live on Channel Ten, Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Maelezo, Dr. Hassan Abbas, afafanua mambo mbalimbali ya Habari Tanzania, amesema Tanzania Tuna Uhuru Mkubwa wa Habari na Uhuru mkubwa wa Kujieleza, ila pia amefafanua usajili wa mitandao ya...www.jamiiforums.com
Siku ya Uhuru wa Habari: Absalom Kibanda azungumza Ukweli Mchungu! Apata a Standing Ovation!
Wanabodi, Leo ndio Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Habari, ambapo kwa hapa Tanzania, siku hii imeadhimishwa kwa siku mbili, jana na leo, katika hoteli ya Nashera mjini Morogoro. Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absolom Kibanda, amezungumza kwa ukali na kwa uchungu jinsi utawala wa JK ilivyo...www.jamiiforums.com
Wito kwa wanahabari: If you can't get what you want, just take what you get!
Wanabodi, Huu ni wito kwa wana tasnia ya habari, "Moja shika sii kumi nenda rudi " and "if you can't get what you want, then just take what you get", baada ya kusainiwa kwa sheria mpya ya habari, sasa tuzivunje kambi zote pingamizi, tutoe ushirikiano kwa utekelezaji wa sheria hii mpya. Tumpe...www.jamiiforums.com
MEI 3 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari, Mimi Pascal Mayalla, kwa niaba yangu kama mwanahabari na kwa niaba ya kampuni yangu ya PPR as chombo cha habari, niwatakie wanahabari wenzangu wote, maadhimisho mema ya siku hii, huku nikidurusu, niliwahi kusema nini kuhusu uhuru wa habari Kwa media za Tanzania yetu.Wanabodi,
wale wenye access angalieni Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa live na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi, leo Mtangazaji Mahiri, Leonard Mapuli yuko na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Press Clubs, UTPC, Aboubakar Karsan, anamwaga nondo za kufa mtu, kwanza kwa kuwaita baadhi ya viongozi ni "Vichwa Maji".
Aboubakar Karsan, anasema Tanzania tuna sheria nzuri inayotoa uhuru mkubwa wa habari tatizo ni Tanzania hatuna Media zenye uwezo wa kuutumia ipasavyo uhuru tulionao, amesema Tanzania tuna media iliyojaa uoga katokana na kuwaogopa viongozi vichwa maji!.
Karsan anasema, media ya Tanzania, ingeutumia vizuri na kikamilifu uhuru tulionao, Tanzania tungekuwa mbali sana kimaendeleo, kwa sababu vitendo vya rushwa, uhujumu, ufisadi, ubadhirifu na madudu yote yanayoibuliwa kwenye ziara za Mhe. Rais, vingeibuliwa kabla na serious media na sio kusubiri hadi rais afanye ziara ndipo madudu yaibuliwe.
MEI 3 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari, Mimi Pascal Mayalla, kwa niaba yangu kama mwanahabari ambaye ni mwandishi wa habari huru na wa kujitegemea kwa kujitolea na kwa niaba ya kampuni yangu ya PPR as chombo huru cha habari, niwatakie wanahabari wenzangu wote, maadhimisho mema ya siku hii, huku nikidurusu, niliwahi kusema nini kuhusu uhuru wa habari kwa media zetu za Tanzania yetu.Wanabodi,
wale wenye access angalieni Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa live na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi, leo Mtangazaji Mahiri, Leonard Mapuli yuko na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Press Clubs, UTPC, Aboubakar Karsan, anamwaga nondo za kufa mtu, kwanza kwa kuwaita baadhi ya viongozi ni "Vichwa Maji".
Aboubakar Karsan, anasema Tanzania tuna sheria nzuri inayotoa uhuru mkubwa wa habari tatizo ni Tanzania hatuna Media zenye uwezo wa kuutumia ipasavyo uhuru tulionao, amesema Tanzania tuna media iliyojaa uoga katokana na kuwaogopa viongozi vichwa maji!.
Karsan anasema, media ya Tanzania, ingeutumia vizuri na kikamilifu uhuru tulionao, Tanzania tungekuwa mbali sana kimaendeleo, kwa sababu vitendo vya rushwa, uhujumu, ufisadi, ubadhirifu na madudu yote yanayoibuliwa kwenye ziara za Mhe. Rais, vingeibuliwa kabla na serious media na sio kusubiri hadi rais afanye ziara ndipo madudu yaibuliwe.
Aboubakar Karsan, anasema ile kauli ya rais, John Pombe Joseph Magufuli kuvionya vyombo vya habari kuwa "Watch out, you are not that free", ilitolewa kwa nia njema, kuwaasa media kuwa hakuna uhuru usio mipaka, na kila haki inaadamana na wajibu. Kupitia kauli hii, baadhi ya wasaidizi wa rais wakiwemo mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya, ambao amewaita "vichwa maji", wakaitafsiri vibaya kauli hiyo, na kuanza kuvibinya vyombo vya habari na kuwabinya waandishi wa habari, ikiwemo kuvifungia vyombo vya habari na kuviadhibu.
Karsan anasema, haungi mkono fungia fungia ya vyombo vyombo vya habari yakiwemo magazeti ni kuwanyima haki haki wananchi wanaotegemea media hiyo kupata habari, ameshauri zitumike adhabu mbadala.
Karsan anasema, uhuru wa kweli wa habari, uanzie ndani ya vyombo vyenyewe vya habari, kwa wamiliki wa vyombo vya habari, kuwalipa vizuri waandishi wao, wawape haki zote za msingi za wanahabari, ikiwemo vitendea kazi bora, mazingira bora ya Kazi, bima ya afya, kinga maalum kwa waandishi wa habari za kiuchunguzi. Baada ya waandishi kupata haki zao na stahiki zao newsroom ndipo sasa tukatafute hiyo haki nje ya newsroom kwa kusisitiza sheria, taratibu, na kanuni zifuatwe.
Karsan anasema kuna waandishi wa kweli wa habari, na wanaharakati wa kihabari, kazi za uandishi wa habari, sio uanaharakapti za kihabari, ila amekiri kwenye media kuna sera za media za kihabari na media za ki propaganda na za kiharakati, akatolea mfano gazeti la Uhuru, tangu usajili wake ni gazeti la propaganda ya Chama cha Mapinduzi, hivyo likiandika propaganda yoyote ndiko kutimiza wajibu wake. Lakini vyombo vya kawaida vya habari, vinatakiwa kuwa impartial kwa kuripoti balanced news. Amelaani magazeti huru kujigeuza vyombo vya propaganda za vyama Fulani akatolea mfano gazeti la Tanzania Daima ni gazeti huru, likifanya propaganda ya Chadema, ni kinyume cha sera ya gazeti hilo.
Hitimisho.
Karsan anasisitiza, Tanzania tuna Uluru mkubwa wa habari kwa mujibu wa sheria, unakwamishwa na viongozi vichwa maji, na media zenye uoga, hivyo amesisitiza media tutimize wajibu wetu bila uoga kwa mujibu wa sheria, tukiacha uoga, tutaisaidia sana serikali, tutaisaidia jamii na kulisaidia Taifa.
Asanteni kufuatilia.
Paskali