Tanzania tuna uhuru wa habari, ila media oga! Tungekuwa mbali sana kimaendeleo, rushwa, uhujumu, ufisadi, ubadhirifu vingeibuliwa kabla

utakuwaje mwoga kama una uhuru ?, samahani nimesoma heading na sio content, huenda nimepotoka.., kama ndivyo nisamehe.., ila heading yako ni imenipa maswali (kama kuna uhuru wanaogopa nini au wanamwogopa nani)
 
Wanabodi,
wale wenye access angalieni Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa live na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi, leo Mtangazaji Mahiri, Leonard Mapuli yuko na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Press Clubs, UTPC, Aboubakar Karsan, anamwaga nondo za kufa mtu, kwanza kwa kuwaita baadhi ya viongozi ni "Vichwa Maji".

Aboubakar Karsan, anasema Tanzania tuna sheria nzuri inayotoa uhuru mkubwa wa habari tatizo ni Tanzania hatuna Media zenye uwezo wa kuutumia ipasavyo uhuru tulionao, amesema Tanzania tuna media iliyojaa uoga katokana na kuwaogopa viongozi vichwa maji!.

Karsan anasema, media ya Tanzania, ingeutumia vizuri na kikamilifu uhuru tulionao, Tanzania tungekuwa mbali sana kimaendeleo, kwa sababu vitendo vya rushwa, uhujumu, ufisadi, ubadhirifu na madudu yote yanayoibuliwa kwenye ziara za Mhe. Rais, vingeibuliwa kabla na serious media na sio kusubiri hadi rais afanye ziara ndipo madudu yaibuliwe.

Aboubakar Karsan, anasema ile kauli ya rais, John Pombe Joseph Magufuli kuvionya vyombo vya habari kuwa "Watch out, you are not that free", ilitolewa kwa nia njema, kuwaasa media kuwa hakuna uhuru usio mipaka, na kila haki inaadamana na wajibu. Kupitia kauli hii, baadhi ya wasaidizi wa rais wakiwemo mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya, ambao amewaita "vichwa maji", wakaitafsiri vibaya kauli hiyo, na kuanza kuvibinya vyombo vya habari na kuwabinya waandishi wa habari, ikiwemo kuvifungia vyombo vya habari na kuviadhibu.

Karsan anasema, haungi mkono fungia fungia ya vyombo vyombo vya habari yakiwemo magazeti ni kuwanyima haki haki wananchi wanaotegemea media hiyo kupata habari, ameshauri zitumike adhabu mbadala.

Karsan anasema, uhuru wa kweli wa habari, uanzie ndani ya vyombo vyenyewe vya habari, kwa wamiliki wa vyombo vya habari, kuwalipa vizuri waandishi wao, wawape haki zote za msingi za wanahabari, ikiwemo vitendea kazi bora, mazingira bora ya Kazi, bima ya afya, kinga maalum kwa waandishi wa habari za kiuchunguzi. Baada ya waandishi kupata haki zao na stahiki zao newsroom ndipo sasa tukatafute hiyo haki nje ya newsroom kwa kusisitiza sheria, taratibu, na kanuni zifuatwe.

Karsan anasema kuna waandishi wa kweli wa habari, na wanaharakati wa kihabari, kazi za uandishi wa habari, sio uanaharakapti za kihabari, ila amekiri kwenye media kuna sera za media za kihabari na media za ki propaganda na za kiharakati, akatolea mfano gazeti la Uhuru, tangu usajili wake ni gazeti la propaganda ya Chama cha Mapinduzi, hivyo likiandika propaganda yoyote ndiko kutimiza wajibu wake. Lakini vyombo vya kawaida vya habari, vinatakiwa kuwa impartial kwa kuripoti balanced news. Amelaani magazeti huru kujigeuza vyombo vya propaganda za vyama Fulani akatolea mfano gazeti la Tanzania Daima ni gazeti huru, likifanya propaganda ya Chadema, ni kinyume cha sera ya gazeti hilo.

Hitimisho.
Karsan anasisitiza, Tanzania tuna Uluru mkubwa wa habari kwa mujibu wa sheria, unakwamishwa na viongozi vichwa maji, na media zenye uoga, hivyo amesisitiza media tutimize wajibu wetu bila uoga kwa mujibu wa sheria, tukiacha uoga, tutaisaidia sana serikali, tutaisaidia jamii na kulisaidia Taifa.
Asanteni kufuatilia.
Paskali
Rejea



Where is Azory, Bwana Paskali? Tuanzie hapo!
 
Anachunguza anagundua kuna UFISADI,anamfuata mtuhumiwa atoe pesa au asubiri kuumbuka kwenye media (Blackmailer).
Kuna uchafu mwingi,sio kuangalia sehemu mmoja tu.
Habari imegeuka maslahi ya mtu au kundi la watu ni ipi iandikwe na ipi itupwe kapuni.
Tuna safari ndefu ya kuwa upande sahihi wa habari.
 
Hii habari umeileta vizuri sana lakini huko kwenye "vichwa maji"yaani ukisomama kwa umakini yakinifu na wewe umekandia fulani ni kweli "vichwa maji"
 
Where is Azory, Bwana Paskali? Tuanzie hapo!
Mkuu Everest Chahali, kwanini hili swali uniulize mimi?.

Azory yuko hapo alipo alipopelekwa na wale watu waliomchukua so does Ben Saanane wetu, no one knows majaaliwa yao hivyo it's not fair, kuniuliza mimi walipo.

Na sii hao tuu, hata Tundu Lissu, alishambuliwa na watu wasiojulikana.
P.
 
Mkuu mi
Yaani we Paskali, unashikiwa akili na huyo Karsani kirahisi hivyo? Bado ninaimani na hoja zako nyingi Lakini ktk hili hapana buana. Huyo katumwa tu na kitengo cha propaganda cha jiwe ili kutuliza hali ya mambo kufuatia mvua ya mashambulizi ya Amnesty..... na Human.......!
sidhani kama Karsan katumwa, bali Paskali katoa maelezo ya karsan kwa namna yake na tafsiri yake, kama una access nzuri ya internet we ingia tu youtube utafute hicho kipindi cha JICHO LETU KATIKA HABARI umsikie mwenyewe ndipo umjaji. Kumbuka Paskali kwasasa ni mpiga matarumbeta wa msukuma mwenzie, Hayupo real kivile kama alivyokuwa awali, japo yeye bado anajiona ana uwezo mkubwa wa kuwashawishi watu kwakuwa tu tulimwamini sana kwa machapisho yake yaliyokuwa yana utafiti mzuri hapo awali.
 
Wanabodi,
Leo ni siku ya kimataifa ya uhuru wa habari, kila mwaka sisi waandishi huwa tunakutana mahali kwa siku 2 na kujadili mambo mbalimbali kuhusu uhuru wa habari, na katika mkusanyiko huo, serikali, vyama vya habari na Taasisi za habari hutoa matamko kede kede kuhusu uhuru wa habari, lakini kwa mwaka huu, kufuatia janga la Corona, hakuna maadhimisho yoyote rasmi ya kukutana, ila nilitegemea wizara ya habari, vyama vya habari na mashirika na Taasisi za habari zitoe matamko mbalimbali.

Bado sijabahatika kuona tamko lolote!, ila usikute zile speech huwa zinaandaliwa kwa ajili ya presentations kwenye kongamano hotelini, safari na per diem!, leo hakuna safari, no trip, no per diem, no hotel gathering, hivyo this time hata speech tuu hakuna?!.

Nawatakia waandishi wenzangu, maadhimisho haya ya kimya kimya, nawashauri wale wafadhili mbalimbali wa tukio hili, kwa vile hatukusafiri, wala kula na kulala hotelini, then naomba hao wafadhili watutumie tuu hizo per diem, tutahama majumbani mwetu na kuhamia hotelini 3 days kisha tutatoa matamko.

Paskali
 
Rais ni sehemu ya Bunge, ndiye boss. Ndio maana Job ana mhanya jamaa. Anasema yeye ndiye mlipaji.

Uliona wapi bunge linakusanya kodi..? Sasa wewe mchezee bwana Mapato uone kama utapewa mgao.

Utapata 4% ya bajeti. Ama unajifanya huoni wizara zinavyopigwa panga kwa bajeti iliyopitishwa na bunge na hakuna lolote lile.

Acha kuwaingiza chaka akina Job na timu yake,wasije limia meno.

Sent using iphone pro max
 
Mkuu mi

sidhani kama Karsan katumwa, bali Paskali katoa maelezo ya karsan kwa namna yake na tafsiri yake, kama una access nzuri ya internet we ingia tu youtube utafute hicho kipindi cha JICHO LETU KATIKA HABARI umsikie mwenyewe ndipo umjaji. Kumbuka Paskali kwasasa ni mpiga matarumbeta wa msukuma mwenzie, Hayupo real kivile kama alivyokuwa awali, japo yeye bado anajiona ana uwezo mkubwa wa kuwashawishi watu kwakuwa tu tulimwamini sana kwa machapisho yake yaliyokuwa yana utafiti mzuri hapo awali.
Umesema kweli, imekuwa Wasukuma wote wamekuwa CCM, tena wakereketwa.
Wako radhi hata kukushambulia uksema vibaya mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,
wale wenye access angalieni Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa live na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi, leo Mtangazaji Mahiri, Leonard Mapuli yuko na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Press Clubs, UTPC, Aboubakar Karsan, anamwaga nondo za kufa mtu, kwanza kwa kuwaita baadhi ya viongozi ni "Vichwa Maji".

Aboubakar Karsan, anasema Tanzania tuna sheria nzuri inayotoa uhuru mkubwa wa habari tatizo ni Tanzania hatuna Media zenye uwezo wa kuutumia ipasavyo uhuru tulionao, amesema Tanzania tuna media iliyojaa uoga katokana na kuwaogopa viongozi vichwa maji!.

Karsan anasema, media ya Tanzania, ingeutumia vizuri na kikamilifu uhuru tulionao, Tanzania tungekuwa mbali sana kimaendeleo, kwa sababu vitendo vya rushwa, uhujumu, ufisadi, ubadhirifu na madudu yote yanayoibuliwa kwenye ziara za Mhe. Rais, vingeibuliwa kabla na serious media na sio kusubiri hadi rais afanye ziara ndipo madudu yaibuliwe.

Aboubakar Karsan, anasema ile kauli ya rais, John Pombe Joseph Magufuli kuvionya vyombo vya habari kuwa "Watch out, you are not that free", ilitolewa kwa nia njema, kuwaasa media kuwa hakuna uhuru usio mipaka, na kila haki inaadamana na wajibu. Kupitia kauli hii, baadhi ya wasaidizi wa rais wakiwemo mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya, ambao amewaita "vichwa maji", wakaitafsiri vibaya kauli hiyo, na kuanza kuvibinya vyombo vya habari na kuwabinya waandishi wa habari, ikiwemo kuvifungia vyombo vya habari na kuviadhibu.

Karsan anasema, haungi mkono fungia fungia ya vyombo vyombo vya habari yakiwemo magazeti ni kuwanyima haki haki wananchi wanaotegemea media hiyo kupata habari, ameshauri zitumike adhabu mbadala.

Karsan anasema, uhuru wa kweli wa habari, uanzie ndani ya vyombo vyenyewe vya habari, kwa wamiliki wa vyombo vya habari, kuwalipa vizuri waandishi wao, wawape haki zote za msingi za wanahabari, ikiwemo vitendea kazi bora, mazingira bora ya Kazi, bima ya afya, kinga maalum kwa waandishi wa habari za kiuchunguzi. Baada ya waandishi kupata haki zao na stahiki zao newsroom ndipo sasa tukatafute hiyo haki nje ya newsroom kwa kusisitiza sheria, taratibu, na kanuni zifuatwe.

Karsan anasema kuna waandishi wa kweli wa habari, na wanaharakati wa kihabari, kazi za uandishi wa habari, sio uanaharakapti za kihabari, ila amekiri kwenye media kuna sera za media za kihabari na media za ki propaganda na za kiharakati, akatolea mfano gazeti la Uhuru, tangu usajili wake ni gazeti la propaganda ya Chama cha Mapinduzi, hivyo likiandika propaganda yoyote ndiko kutimiza wajibu wake. Lakini vyombo vya kawaida vya habari, vinatakiwa kuwa impartial kwa kuripoti balanced news. Amelaani magazeti huru kujigeuza vyombo vya propaganda za vyama Fulani akatolea mfano gazeti la Tanzania Daima ni gazeti huru, likifanya propaganda ya Chadema, ni kinyume cha sera ya gazeti hilo.

Hitimisho.
Karsan anasisitiza, Tanzania tuna Uluru mkubwa wa habari kwa mujibu wa sheria, unakwamishwa na viongozi vichwa maji, na media zenye uoga, hivyo amesisitiza media tutimize wajibu wetu bila uoga kwa mujibu wa sheria, tukiacha uoga, tutaisaidia sana serikali, tutaisaidia jamii na kulisaidia Taifa.
Asanteni kufuatilia.
Paskali
Rejea



Nawatakia waandishi wenzangu wote wa habari, maandimisho mema ya siku hii ya kimataifa ya uhuru wa habari.
P.
 
Tanzania tuna uhuru mkubwa wa habari kama alivyosema Rais Mama Samia. Tatizo ni sisi media wenyewe
p
 
Wanabodi,
wale wenye access angalieni Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa live na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi, leo Mtangazaji Mahiri, Leonard Mapuli yuko na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Press Clubs, UTPC, Aboubakar Karsan, anamwaga nondo za kufa mtu, kwanza kwa kuwaita baadhi ya viongozi ni "Vichwa Maji".

Aboubakar Karsan, anasema Tanzania tuna sheria nzuri inayotoa uhuru mkubwa wa habari tatizo ni Tanzania hatuna Media zenye uwezo wa kuutumia ipasavyo uhuru tulionao, amesema Tanzania tuna media iliyojaa uoga katokana na kuwaogopa viongozi vichwa maji!.

Karsan anasema, media ya Tanzania, ingeutumia vizuri na kikamilifu uhuru tulionao, Tanzania tungekuwa mbali sana kimaendeleo, kwa sababu vitendo vya rushwa, uhujumu, ufisadi, ubadhirifu na madudu yote yanayoibuliwa kwenye ziara za Mhe. Rais, vingeibuliwa kabla na serious media na sio kusubiri hadi rais afanye ziara ndipo madudu yaibuliwe.
MEI 3 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari, Mimi Pascal Mayalla, kwa niaba yangu kama mwanahabari na kwa niaba ya kampuni yangu ya PPR as chombo cha habari, niwatakie wanahabari wenzangu wote, maadhimisho mema ya siku hii, huku nikidurusu, niliwahi kusema nini kuhusu uhuru wa habari Kwa media za Tanzania yetu.

Nawatakia uhuru wa habari mwema.
Paskali.
 
Wanabodi,
wale wenye access angalieni Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa live na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi, leo Mtangazaji Mahiri, Leonard Mapuli yuko na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Press Clubs, UTPC, Aboubakar Karsan, anamwaga nondo za kufa mtu, kwanza kwa kuwaita baadhi ya viongozi ni "Vichwa Maji".

Aboubakar Karsan, anasema Tanzania tuna sheria nzuri inayotoa uhuru mkubwa wa habari tatizo ni Tanzania hatuna Media zenye uwezo wa kuutumia ipasavyo uhuru tulionao, amesema Tanzania tuna media iliyojaa uoga katokana na kuwaogopa viongozi vichwa maji!.

Karsan anasema, media ya Tanzania, ingeutumia vizuri na kikamilifu uhuru tulionao, Tanzania tungekuwa mbali sana kimaendeleo, kwa sababu vitendo vya rushwa, uhujumu, ufisadi, ubadhirifu na madudu yote yanayoibuliwa kwenye ziara za Mhe. Rais, vingeibuliwa kabla na serious media na sio kusubiri hadi rais afanye ziara ndipo madudu yaibuliwe.

Aboubakar Karsan, anasema ile kauli ya rais, John Pombe Joseph Magufuli kuvionya vyombo vya habari kuwa "Watch out, you are not that free", ilitolewa kwa nia njema, kuwaasa media kuwa hakuna uhuru usio mipaka, na kila haki inaadamana na wajibu. Kupitia kauli hii, baadhi ya wasaidizi wa rais wakiwemo mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya, ambao amewaita "vichwa maji", wakaitafsiri vibaya kauli hiyo, na kuanza kuvibinya vyombo vya habari na kuwabinya waandishi wa habari, ikiwemo kuvifungia vyombo vya habari na kuviadhibu.

Karsan anasema, haungi mkono fungia fungia ya vyombo vyombo vya habari yakiwemo magazeti ni kuwanyima haki haki wananchi wanaotegemea media hiyo kupata habari, ameshauri zitumike adhabu mbadala.

Karsan anasema, uhuru wa kweli wa habari, uanzie ndani ya vyombo vyenyewe vya habari, kwa wamiliki wa vyombo vya habari, kuwalipa vizuri waandishi wao, wawape haki zote za msingi za wanahabari, ikiwemo vitendea kazi bora, mazingira bora ya Kazi, bima ya afya, kinga maalum kwa waandishi wa habari za kiuchunguzi. Baada ya waandishi kupata haki zao na stahiki zao newsroom ndipo sasa tukatafute hiyo haki nje ya newsroom kwa kusisitiza sheria, taratibu, na kanuni zifuatwe.

Karsan anasema kuna waandishi wa kweli wa habari, na wanaharakati wa kihabari, kazi za uandishi wa habari, sio uanaharakapti za kihabari, ila amekiri kwenye media kuna sera za media za kihabari na media za ki propaganda na za kiharakati, akatolea mfano gazeti la Uhuru, tangu usajili wake ni gazeti la propaganda ya Chama cha Mapinduzi, hivyo likiandika propaganda yoyote ndiko kutimiza wajibu wake. Lakini vyombo vya kawaida vya habari, vinatakiwa kuwa impartial kwa kuripoti balanced news. Amelaani magazeti huru kujigeuza vyombo vya propaganda za vyama Fulani akatolea mfano gazeti la Tanzania Daima ni gazeti huru, likifanya propaganda ya Chadema, ni kinyume cha sera ya gazeti hilo.

Hitimisho.
Karsan anasisitiza, Tanzania tuna Uluru mkubwa wa habari kwa mujibu wa sheria, unakwamishwa na viongozi vichwa maji, na media zenye uoga, hivyo amesisitiza media tutimize wajibu wetu bila uoga kwa mujibu wa sheria, tukiacha uoga, tutaisaidia sana serikali, tutaisaidia jamii na kulisaidia Taifa.
Asanteni kufuatilia.
Paskali
MEI 3 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari, Mimi Pascal Mayalla, kwa niaba yangu kama mwanahabari ambaye ni mwandishi wa habari huru na wa kujitegemea kwa kujitolea na kwa niaba ya kampuni yangu ya PPR as chombo huru cha habari, niwatakie wanahabari wenzangu wote, maadhimisho mema ya siku hii, huku nikidurusu, niliwahi kusema nini kuhusu uhuru wa habari kwa media zetu za Tanzania yetu.

Nawatakia maadhimisho mema ya siku yetu hii ya leo na uhuru wa habari mwema.
Paskali.
 
Back
Top Bottom