Habari wana j.f
naomba watalam wa maswala ya fedha mni saidie.nimezunguka nchi nyingi utaratibu wa fedha upo hivi kuna sent 1,2,5 na10 na 50 baada ya hapo kuna 1 mfn 1usd,1kwacha,1rand au 1tsh ambayk kwa tanzania kwa sasa hatuna.na ikitoka hiyo inafwata 2,5,10,50 na 100.
na mfano ni southa africa ambao wana 1r,2r,5r,10r50r na 100r.
Swali langu ni je...
wana jamii naombeni mnieleweshe kidogo.mi navyo jua nikuwa tanzania tuna koin ya lakimoja 100,noti ya milion moja 1000 na billion moja10000.
Kama ni kweli.tunaomba nchi yetu ifanye mpango wa ku print not mpya ili kuwanusuru watanzania kutembea na mzigo mkubwa wa fedha
naomba watalam wa maswala ya fedha mni saidie.nimezunguka nchi nyingi utaratibu wa fedha upo hivi kuna sent 1,2,5 na10 na 50 baada ya hapo kuna 1 mfn 1usd,1kwacha,1rand au 1tsh ambayk kwa tanzania kwa sasa hatuna.na ikitoka hiyo inafwata 2,5,10,50 na 100.
na mfano ni southa africa ambao wana 1r,2r,5r,10r50r na 100r.
Swali langu ni je...
>100tsh=one hundredth tsh=laki moja??
>1000tsh=million kumi??
wana jamii naombeni mnieleweshe kidogo.mi navyo jua nikuwa tanzania tuna koin ya lakimoja 100,noti ya milion moja 1000 na billion moja10000.
Kama ni kweli.tunaomba nchi yetu ifanye mpango wa ku print not mpya ili kuwanusuru watanzania kutembea na mzigo mkubwa wa fedha