Raphael gadau
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,005
- 303
Hivi ni kweli Tanzania kuna anae uza simu new brand asilimia kubwa ni second wanunuzi wengi wetu hatujii simu unaweza nunua ipo Sealed box lakini ni second
Hizi zinakuaje mkuuSimu nyingi za Bongo ni refurbished unapewa full box ukijua ni brand new
Hamna kitu kama hichoMh mm mbona nimewah kuwa na brand new ya lumia
Sema huwaga zinakuaga na milolongo mirefu hadi ikubali kutumia kwa line zetu coz mi yang ilikuwa ya italyHamna kitu kama hicho
simu zote zenye mawakala zinakuwa ni mpya,Hamna kitu kama hicho
Hizi zinakuaje mkuu
http://istore.co.tz/contactChief-Mkwawa MAWAKALA WA APPLE TZ WAPO SEHEMU GANI
Regent Estate - Chato Street opp na Container BarChief-Mkwawa MAWAKALA WA APPLE TZ WAPO SEHEMU GANI