cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Hili liko wazi jamii za kimataifa zimewahi kuituhumu serikali ya Tanzania kuwa wanaficha data za ugonjwa wa Ebola kitu ambacho kilipingwa na serikali ya Rais Magufuli
Serikali ya Magufuli ilisema ni wivu tu unawasumbua kuhusu hatua tunazopiga kuhusu maendeleo ya wananchi kwa kuibua miradi mikubwa
Baadae hali ilitulia na maisha yakaendelea na punde limeibuka gonjwa la Covid 19 ambalo awali serikali ilikuwa wazi kwa wananchi na jamii za kimataifa
Lakini sasa data za Corona zimeanza kusua sua hasa baada ya hotuba ya mheshimiwa pale Chato hasa kwa upande wa Tanzania bara ambapo ana mamlaka ya moja kwa moja
Je jamii ya kimataifa inaanzaje kuitazama Tanzania kuhusu Covid 19 na Ebola hasa suala la data na transparency?
Hatuoni kwamba jumuiya za kimataifa zitaanza kuamini kuwa Tanzania tumewahi kukumbwa na Ebola na kuficha data?
Ni maswali magumu sana kujibiwa kipindi hiki na tunajenga mazingira magumu ya kuaminika kwenye jamii na jumuiaya za Kimataifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ya Magufuli ilisema ni wivu tu unawasumbua kuhusu hatua tunazopiga kuhusu maendeleo ya wananchi kwa kuibua miradi mikubwa
Baadae hali ilitulia na maisha yakaendelea na punde limeibuka gonjwa la Covid 19 ambalo awali serikali ilikuwa wazi kwa wananchi na jamii za kimataifa
Lakini sasa data za Corona zimeanza kusua sua hasa baada ya hotuba ya mheshimiwa pale Chato hasa kwa upande wa Tanzania bara ambapo ana mamlaka ya moja kwa moja
Je jamii ya kimataifa inaanzaje kuitazama Tanzania kuhusu Covid 19 na Ebola hasa suala la data na transparency?
Hatuoni kwamba jumuiya za kimataifa zitaanza kuamini kuwa Tanzania tumewahi kukumbwa na Ebola na kuficha data?
Ni maswali magumu sana kujibiwa kipindi hiki na tunajenga mazingira magumu ya kuaminika kwenye jamii na jumuiaya za Kimataifa
Sent using Jamii Forums mobile app