JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,017
..hivi Tanzania tuna matatizo gani ktk hii mikataba tunayosaini?
..katika nchi zote za eac Tanzania ndiyo tuna population kubwa, ardhi kubwa na yenye rutuba, na utajiri mwingine wa madini na maliasili kibao.
..sasa katika mazingira hayo does it make sense kwa m-Tanzania yeyote yule, kwamba Kiswahili is not the official language of East African Community?
..for your information my fellow Tanzanians, English is the official language of EAC, and Kiswahili has the status of "lingua-franca"!!!
..kama hivyo ndivyo viongozi wetu waliosaini hiyo makataba waliona inafaa, kwanini mpaka leo hawajabadilisha mitaala ya elimu na kukipa Kingereza uzito uleule kama ilivyo ktk shule za Kenya na Uganda?
..our leaders have known this for more than 20 yrs since these negotiations for East African Community/Federation started. to make matters even worse walitaka Federation ije mwaka 2013!!!
..tukubali tu kwamba wadogo zetu, haswa wale wanaohitimu ktk sekondari za kata, na vyuo vikuu vya yebo-yebo, wataishia kuwa wapagazi tu ktk Shirikisho la Afrika Mashariki.
..katika nchi zote za eac Tanzania ndiyo tuna population kubwa, ardhi kubwa na yenye rutuba, na utajiri mwingine wa madini na maliasili kibao.
..sasa katika mazingira hayo does it make sense kwa m-Tanzania yeyote yule, kwamba Kiswahili is not the official language of East African Community?
..for your information my fellow Tanzanians, English is the official language of EAC, and Kiswahili has the status of "lingua-franca"!!!
..kama hivyo ndivyo viongozi wetu waliosaini hiyo makataba waliona inafaa, kwanini mpaka leo hawajabadilisha mitaala ya elimu na kukipa Kingereza uzito uleule kama ilivyo ktk shule za Kenya na Uganda?
..our leaders have known this for more than 20 yrs since these negotiations for East African Community/Federation started. to make matters even worse walitaka Federation ije mwaka 2013!!!
..tukubali tu kwamba wadogo zetu, haswa wale wanaohitimu ktk sekondari za kata, na vyuo vikuu vya yebo-yebo, wataishia kuwa wapagazi tu ktk Shirikisho la Afrika Mashariki.