DAD'S SON
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 392
- 466
Kuna msemo unasema usimdharau mwenye njaa leo maana hata wewe kesho utalia njaa.
Miaka ya 2000 Ethiopia ndio ilikuwa nchi ya 3 kutoka mwisho katika zile nchi maskini duniani(was the third poorest county in the world).Pato la mtu kwa siku was almost $650.Zaidi ya 50% ya watu walikuwa wanaishi below the global poverty line,the highest poverty rate in the world.
What happened since is miraculous.
Kuanzaia mwaka 2000-2016 Ethiopia ikawa nchi ya tatu kwa ukuaji kiuchumi duniani ikuchuana na Myanmar ambayo ni ya pili bila kusahau China ambayo ni ya kwanza huku ikizibwaga Nchi kama India,Kazakhstan na Vietnam.According to IMF Ethiopia's economy has been growing rapidly since 2003.
Mwaka 2011 umaskini wa Ethiopia ulishuka kwa 31%(very interesting)
The outlook for the next 5 years is bright.
Ifike wakati viongozi wetu wajifunze kupitia the incredible economic rise of Ethiopia na sio bla bla za kwenye social media na Tv.
Ukisoma kiundani kuhusiana na historia ya Ethiopia utagu,ndua uchumi wa Ethiopia unategemea sekta kilimo na usafirishaji.Kwa Tanzania Mungu alitubalik kila kitu ikiwemo madini,vyanzo vya maji,misitu,ardhi yenye rutuba,nguvu kazi,gesi yaaani kiufupi Mungu alitupa kila kitu cha kutufanya tuwe one of the richest country in the world lakini leo hii Tanzania ni miongoni mwa nchi maskini duniani,raia wake bado wanaishi chini ya dola miaka na miaka(what a shame).
Kwa kuhitimisha viongozi tuliowapa dhima ya kutuongoza wajue uongozi ni kitu cha kupita na sio kitu cha milele,wasidhani wayafanyayo hatuyaoni japo wanadhani wanafanyia gizani,madaraka mliyonayo isiwe silaha ya kututishia kudai mlicho tupromise kwenye majukwaa,hali ya uchumi mtaani inatisha sana na ule msemo wenu wa kusema pesa mtaani haipo kwa sababu mmeziba machaka ya wapigaji dili ni uongo mkubwa sana kutokea duniani ni kauli ya watu walioshindwa kutimiza walicho ahidi.
Miaka ya 2000 Ethiopia ndio ilikuwa nchi ya 3 kutoka mwisho katika zile nchi maskini duniani(was the third poorest county in the world).Pato la mtu kwa siku was almost $650.Zaidi ya 50% ya watu walikuwa wanaishi below the global poverty line,the highest poverty rate in the world.
What happened since is miraculous.
Kuanzaia mwaka 2000-2016 Ethiopia ikawa nchi ya tatu kwa ukuaji kiuchumi duniani ikuchuana na Myanmar ambayo ni ya pili bila kusahau China ambayo ni ya kwanza huku ikizibwaga Nchi kama India,Kazakhstan na Vietnam.According to IMF Ethiopia's economy has been growing rapidly since 2003.
Mwaka 2011 umaskini wa Ethiopia ulishuka kwa 31%(very interesting)
The outlook for the next 5 years is bright.
Ifike wakati viongozi wetu wajifunze kupitia the incredible economic rise of Ethiopia na sio bla bla za kwenye social media na Tv.
Ukisoma kiundani kuhusiana na historia ya Ethiopia utagu,ndua uchumi wa Ethiopia unategemea sekta kilimo na usafirishaji.Kwa Tanzania Mungu alitubalik kila kitu ikiwemo madini,vyanzo vya maji,misitu,ardhi yenye rutuba,nguvu kazi,gesi yaaani kiufupi Mungu alitupa kila kitu cha kutufanya tuwe one of the richest country in the world lakini leo hii Tanzania ni miongoni mwa nchi maskini duniani,raia wake bado wanaishi chini ya dola miaka na miaka(what a shame).
Kwa kuhitimisha viongozi tuliowapa dhima ya kutuongoza wajue uongozi ni kitu cha kupita na sio kitu cha milele,wasidhani wayafanyayo hatuyaoni japo wanadhani wanafanyia gizani,madaraka mliyonayo isiwe silaha ya kututishia kudai mlicho tupromise kwenye majukwaa,hali ya uchumi mtaani inatisha sana na ule msemo wenu wa kusema pesa mtaani haipo kwa sababu mmeziba machaka ya wapigaji dili ni uongo mkubwa sana kutokea duniani ni kauli ya watu walioshindwa kutimiza walicho ahidi.