Tanzania tuanzishe Coast Guard (Uokozi Majini)

Asante sana ndugu yangu!
HICHO KIKOSI KIPO NA KINAFANYA KAZI NA WATU WA SA, hakikuanza leo, kiko muda mrefu tu walahi
Hivi kwa nini watu hawafanyi uchunguzi kabla ya kuanzisha uzi? TUIPENDE NCHI YETU KWA DHATI JAMANI HATUNA NYINGINE WALAHI!
Duh!
Ingekuwa ni jambo la kuchekesha sana kwa nchi iliyozungukwa na water bodies za kutosha kukosa coastal guard...tukubali tu kwamba wapo kimaslahi zaidi na wapo kwa kuwa protocal inataka iwepo ila hakuna wanachofanya!
 
hakuna kikosi kama hicho tanzania wewe ukiona tu Navy JWTZ au Polisi marine basi unajua wako kuokoa ajali za majini
Point yako hapa ni kwamba vikosi vya uokoaji surface na marine tulivyokuwa navyo vilishindwa kuwa competent kwenye uokoaji kwa kuwa hawakuwa delegated kufanya hivyo na kwamba kilitakiwa kikosi maalum?
 
hakuna kikosi kama hicho tanzania wewe ukiona tu Navy JWTZ au Polisi marine basi unajua wako kuokoa ajali za majini
Kipo fanya uchunguzi kijana mdogo walahi
Usijibu kwa ajili ya kubishana!
Ehhh duh
 
Point yako hapa ni kwamba vikosi vya uokoaji surface na marine tulivyokuwa navyo vilishindwa kuwa competent kwenye uokoaji kwa kuwa hawakuwa delegated kufanya hivyo na kwamba kilitakiwa kikosi maalum?
tanzania hatuna mfumo makini ktk uokozi aidha nchi kavu au majini......angalia kikosi cha zimamoto utendaji wake tu ni shida kila kona hivyo vikosi vingine viko wapi?
 
gqInFimB.jpg
 
tanzania hatuna mfumo makini ktk uokozi aidha nchi kavu au majini......angalia kikosi cha zimamoto utendaji wake tu ni shida kila kona hivyo vikosi vingine viko wapi?
Kuna kitu kimoja kipo katika ajira,kwamba kwenye utumishi wa umma ukiwa demoted demotion haigusi kipato chako kabla hujashushwa, leo kuna watu mfano kina Andengenye wamekalia tu viti Zimamoto na uokoaji ili umri wa kustaafu ufike basi! Nini umuhimu wa idara ya maafa iliyo chini ya Ofisi ya waziri mkuu? Ni aibu ofisi na idara za serikali kugeuka mawakala wa kugawa fedha tena zilizochangishwa kwa waathirika wa majanga wakati iliwezekana kabisa kuzuia ama kupunguza kabisa majanga hayo kutokea hasa ukizingatia ni ya kujirudia?
 
Jiulize wewe hilo swali ukipata na jibu utakuwa nalo. Naamini ATC imekufa kabla hujazaliwa au ulikuwa unanyonya bado , ndio maana ukauliza swali lisilokuwa la umri wako.
Boeing za zamani ATC zilikuwa zinaendeshwa na nani?
 
Ndio wale walikuwa wanatumia mitumbwi bila oxygen kuokoa watu ile siku ya tukio sio? Wadanganyika sie tunasafari ndefu sana.
Asante sana ndugu yangu!
HICHO KIKOSI KIPO NA KINAFANYA KAZI NA WATU WA SA, hakikuanza leo, kiko muda mrefu tu walahi
Hivi kwa nini watu hawafanyi uchunguzi kabla ya kuanzisha uzi? TUIPENDE NCHI YETU KWA DHATI JAMANI HATUNA NYINGINE WALAHI!
Duh!
 
Wazo zuri ila sasa linaweza kuanzishwa likakosa vìfaa ikawa kazi bure, mfano mzuri jeshi la zimamoto na uokoaji hawa wanavifaa duni sana
 
View attachment 878957
Nadhani kuna umuhimu wa kuanzisha kikosi maalumu cha uokozi Baharani ni kwenye maziwa makubwa kitakachiotwa Coast Guard ili kukiimarisha na kukifanya kiweze kufanya kazi saa 24 yaani usiku n mchana pale itakapotokea ajali yoyote ya majini.

Kwani kwa vikosi vyetu vya majini yaani Police Marine na Navy kwa JWTZ hivyo ukiangalia zaidi vipo kwa ajili ya ulinzi zaidi wa majini.

Ukienda nchi za wenzatu kama Norway kitengo cha uokozi kina boti ziendazo kasi,helcopter na ndege pia kiasi ambacho likitokea lolote eneo la majini wanafanya kazi saa 24 haijalishi kuna giza wala mwanga wa jua na kupeleka majeruhi popote pale ambako wanafikiri wanaweza kupata msaada kulingana na tatizo la majeruhi.

Kwa Tanzania hilo linawezekana kabisa kama vile KMKM kule Zanzibar ambavyo wanaweza kudhibiti magendo eneo kuu la bahari pia tunaweza pia kuweza kuanzisha kitengo cha uokozi.

Kila mmoja anakumbuka MV Bukoba walitoka wazamiaji toka Afrika ya Kusini kuja kuokoa majeruhi na maiti pia kuzitoa melini....Unakumbuka zile meli mbili zilizozama Zanzibara suala la uokozinlilikuwa changamoto sana ingawa kikosi cha JWTZ kilifanya kila linalowezekana kuhakikisha wanaokoa abiria na kutoa maiti lakini ni kwa juhudi za kizalendo zaidi.
Tatum kwa mara ya kwanza nakuunga mkono kwenye hili. Wenzetu kenya wana cost guard,america wanayo na zimewasaidia nyakati zote.
 
Ni kutafuta tu ulaji kwa majina ya kigeni, nini majukumu ya kikosi cha polisi maji,kikosi cha uokoaji na zimamoto na kikosi maji cha jeshi au hata idara ya maafa iliyo chini ya ofisi ya waziri mkuu? Hicho kikosi kingine labda kitolewe nje ya nchi kwa mkopo wa muda mrefu tulipe hilo deni hata kwa kulipa kodi ya kichwa!
Si lazima kitoke nje. Wenzetu wanacho.. haswa wa america wanafanya maritime patrol na uokozi na wako equiped and standby muda wowote.
Yes polis wako, zimamoto na uokozi wapo.. laki n kutoka na record za matukio imeonyesha hawa watu si wepes kufika eneo la tukio... muda mwingi haswa polic wame concetrate kwenye ukamataji na si uokozi.

Kinahitajika kitengo maalum kitakachokuwa standby muda wote.
 
Hiyo ndege iliyonunuliwa haina mafundi Wala marubani. Ndio wapoTraining sasa hivi na ndege zipo kwenye packing lot yetu.
Ndege zimeshaanza kufanya safari siku nyingi.
Maruban hupelekwa course kabla ya ndege kununuliwa.
 
Back
Top Bottom