engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
10% loading...
Viongozi wetu wanawaza kutengeneza madili feki ili wapate 10%.
haikuhusu tunafanyia nini nazo! mlima hauondoki pale ulipo lets say kuhamia Kenya au sehemu nyingine! Utaendelea kuleta wapandaji na "mbwigambwigwa" kama wewe kuja kupanda kwa malipo milele!Hela sio tatizo, tunawaletea kama jinsi mnaletewa na Wazungu ila tatizo hamfanyi kitu cha maana nazo, kila siku kibakuli ughaibuni hadi hata wameanza kuwakataa hebu soma hapa IMF warns Dar over borrowing spree - National - thecitizen.co.tz
haikuhusu tunafanyia nini nazo! mlima hauondoki pale ulipo lets say kuhamia Kenya au sehemu nyingine! Utaendelea kuleta wapandaji na "mbwigambwigwa" kama wewe kuja kupanda kwa malipo milele!
haikuhusu tunafanyia nini nazo! mlima hauondoki pale ulipo lets say kuhamia Kenya au sehemu nyingine! Utaendelea kuleta wapandaji na "mbwigambwigwa" kama wewe kuja kupanda kwa malipo milele!
Hakuna hujuma hapo mkuu, kama nchi haina shirika lake la ndege unategemea nini, ndio haya yanayotokea, hawa jamaa nadhani ni kuwashukuru maana wanatutangazia vivutio vyetu kiaina ila kinachotakiwa na huku kupanga mkakati tukawa na ndege yetu ambayo inaruka directly kwenda nchi za watu na kuja na wageni hata ukisema mlima upo Tz watakuelewa (viongozi wakienda nje wanapanda ndege za kigeni, timu za taifa zikisafiri vivyo hivyo, tunapoangalia utalii tunatakiwa tuangalie na nyanja nyingine maana ukiwa na ndege zako za kutosha hata kama mgeni anakwenda Rwanda unapitisha bongo kwanza on transit (anaacha vijisent kidogo) then anaunganisha kama wafanyavyo EmiratesHii ni hujuma khaa. Roho yaniuma.:-(