Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,873
Kwanza, nakumbuka mwaka 2011 Hoseah alituahidi kuja na Sheria ya Kulinda watoa Taarifa; lakini katika chungulia yangu nikashangaa kidogo (kwakuwa si mtaalamu wa masuala ya sheria) kuwa Tafsiri ya Kiswahili haijaakisi kilicho kwenye sheria ya Kiingereza.
Tunaitunga sheria hii kwa maslahi ya Watanzania au kuridhisha wahisani?
Na, imekuja kwenye public domain baada ya watu kulalamika kuwa Cybercrimes Act (Sheria ya Makosa ya Mtandao) haiwalindi Whistleblowers?
Wanasheria, tusaidieni kuweza kutufafanulia...
Wakuu EMT, Pasco na Nguruvi3, sijajua kama Mchambuzi naye yupo fit; tuwekeni sawa... Are we safe under this new law?
Natumaini kuwa Serikali ya Awamu ya Tano itaenda mbali zaidi, itakuwa na tovuti kama Whistleblower Protection Program (wengine wanaiita No Fear Act)
Meanwhile, nashauri wadau wasome attachment nyingine yenye uchambuzi wa kurasa mbili tu ya hali ilivyo kwa sasa.
Mkuu nngu007, thanks for your 2011 thread!
Tunaitunga sheria hii kwa maslahi ya Watanzania au kuridhisha wahisani?
Na, imekuja kwenye public domain baada ya watu kulalamika kuwa Cybercrimes Act (Sheria ya Makosa ya Mtandao) haiwalindi Whistleblowers?
Wanasheria, tusaidieni kuweza kutufafanulia...
Wakuu EMT, Pasco na Nguruvi3, sijajua kama Mchambuzi naye yupo fit; tuwekeni sawa... Are we safe under this new law?
Natumaini kuwa Serikali ya Awamu ya Tano itaenda mbali zaidi, itakuwa na tovuti kama Whistleblower Protection Program (wengine wanaiita No Fear Act)
Meanwhile, nashauri wadau wasome attachment nyingine yenye uchambuzi wa kurasa mbili tu ya hali ilivyo kwa sasa.
Mkuu nngu007, thanks for your 2011 thread!
Attachments
Last edited by a moderator: