Tanzania' small haven

NewDawnTz

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
1,667
362
Wakati niko kule kijijini kwetu Ntyuka Idodomelaa nikisikia DSM najua ni Pepo Ndogo duniani,

doh salaleee, japo kwetu kijijini hakuna gorofa lakini hatuna haya, bwana.

Anyway, ngoja nijiandae kujipoza weekend baada ya kuumia na harufu
 

Attachments

  • IMG0076A.jpg
    IMG0076A.jpg
    52.3 KB · Views: 173
Where do you want to point your accusatory finger to? Yaeh, that is the haven you have been hearing of!
 
Hahaaa, na majitaka (maji na vinyes juu) no you cant be serious!!! Put these things well bana, Dsm is the face (reception) of our country. Nyie ndo mnawafanya viongozi wa nchi hii they dont care, hujakaa maeneo haya au kupita kuona inavyokera

Ahhhh!! nimegundua, wewe wa magogoni, samahani mkuu maana huyajui haya!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
:embarrassed: duuuuhhhh ilimradi unaona kajani na ua.....
hapo kuziri hivyo......
halafu mnalami hapo mjini sana .....
ukinda nilikotoka ukipanda kamti mbuzi wanamaliza kabla hata mizizi haijafika chini....
 
:embarrassed: duuuuhhhh ilimradi unaona kajani na ua.....
hapo kuziri hivyo......
halafu mnalami hapo mjini sana .....
ukinda nilikotoka ukipanda kamti mbuzi wanamaliza kabla hata mizizi haijafika chini....

Afrodenzi nimependa signature yako simple lakini ina ujumbe mzito nakuombea upate mtu wa matarajio yako.
 
Wakati niko kule kijijini kwetu Ntyuka Idodomelaa nikisikia DSM najua ni Pepo Ndogo duniani,

doh salaleee, japo kwetu kijijini hakuna gorofa lakini hatuna haya, bwana.

Anyway, ngoja nijiandae kujipoza weekend baada ya kuumia na harufu

Solutio hapo ni kidogotu, rudi kwenu kwasababu umeseme hakuna hizo maharufu, lakini kama hiyo haifai basi fanya mpango wa kuondoa hzo maharufu.hyo ikikushinda basi ka kimy nusia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom