Tanzania signs a land deal in Iowa (last week)...

Huu ni mwanzo wa mwisho wetu walalahoi. Hakika sasa hatuna cha kupoteza zaidi ya umasikini wetu. Tumeuzwa pamoja na wake zetu na wahuni wachache. Agrh
 
Hii land grabing inayoendelea italeta tatizo kubwa siku nyingi. Kwa kiasi kikubwa watu maskini wa vijijini wameweza kusalimika na njaa kwa sababu ya kuwepo maeneo ya kilimo. Kwanini tunayagawa kwa wenye navyo na kusahau kuwaendeleza hawa wanavijiji watumie vyema ardhi waliyonayo? Hakuna kitu kibaya katika maisha ya binadamu kama kukosa akili.
 
Acheni ujinga msiwe kama mnafikiria kwa kutumia masaburi! Ahh! Mbona mnakuwa hivi! Ah! Ardhi mbona ipo kubwa tu! Tena haina kazi? Kwani akipewa mwekezaji kunakosa gani?Yaani tuache kuwapa wawekezaji kisa kelele za wafamaji.inakadiriwa asilimia 80 ya ardhi haifanyiwi kazi Tanzania huu ni ujinga kuogopa kuwapa wawekezaji.Acheni woga.
 
Kinachofurahisha na kusikitisha hapa ni
1. watanzania tunaletewa GMO ambayo for sure maradhi lazima ya ongezeke na life expectancy lazima ishuke to less than 40 years kwa vizazi vijavyo.

2. Investers are interested in production of maize for biofuel na si chakula. Rukwa ni kati ya mikoa ambayo ni Mhimili wa Tanzania kwa chakula halafu ibadilishwe, hivi nchi hii tutakua nini?

3. Makabulu wanakuja kuwa farm managers, watanzania watakuwa manamba/vibarua kwenye ardhi yao. Natutegemee watanzania kuwashwa risasi na makabulu.
4.Pinda aliapa bungeni kuwa atafia kwenye huu mkataba hivyo nadhani naye ndo deal lake ameamua asiondoke hivihivi.

5. Chadema kazi kwenu kuna wapiga kura 160,000 wako kule Rukwa watatimuliwa kwenye ardhi waliyokaa zaidi ya 40 years. Naamini wengi wao ni raia tayari. Mtumeni Mdee akapambane kwa ajili yao.
5. La mwisho tunafarijika kwamba Mungu anazidi kuwapiga upofu watesi wetu iliwaendelee kuharibu mambo Ili kuharakisha ushindi.
 
Ni aibu kusikia kwamba hata mtoto wa mkulima, Waziri Pinda anakula ufisadi wa wakina Iddi simba.

Wiki Iliyopita Waziri Mkuu alikuwa Iowa Marekani kukutana na Kampuni ya Cargil Energy ambao wananunua mamillion ya hekari Tanzania kwa ajili ya GMO.

Ili kuleta mabadiliko Tanzania, tunahitaji wapiganaji wakweli ambao wapo tayari kufa kwa ajili ya taifa lao kama,

Dr. Wilbroad Slaa 15
Generali ulimwengu 5
Dr. Harrison Mwakyembe 8
Johnson Mbwambo 5
John Mashaka 10
Zitto Kabwe 10
John Mnyika 10
Tindu Lissu 10
Alima Mdee 10
Ananilea Nkya 10
January Makamba 10
John Shibuda 10
Maggid Mjengwa 10
***************
Dr. Emanuel Nchimbi -0
Nape Nnauye -5
Makongolo Mahanga -0


Tanzania itaendelea na Itanyooka Tena mafisadi wa kifikra na kimaadili watatoweka.
 
wananchi hii dili ndo imeshapita na hakuna chochote tunaweza kufanya. sasa hivi hii kampuni inailazimisha serikali kubadili sheria moja tu ili waweze ku-export mazao hata kama kuna njaa nchini.

[video=youtube_share;ByeyjMhwMxU]http://youtu.be/ByeyjMhwMxU[/video]

[video=youtube_share;2s-Q2vZGN9g]http://youtu.be/2s-Q2vZGN9g[/video]

HII SI BURE WATANGANYIKA TUTAKUA TUMEROGWA KWA KWELI HAIWEZEKANI NCHI ZINGINE WAWEZE KUPINGA KWA NGUVU ZOTE JAMBO KAMA LA KUPANDA KWA BEI YA SUKARI NA SISI TUNASHINDWA KUKUPINGA MAMBO HAYA YA KIHAYAWANI TUNABAKI KULALAMIKIA PEMBENI TUU KILA KUKICHA. TUAMKE JAMANI HIVI TUNACHOSUBIRI NI NINI KWA KWELI? INASIKITISHA SANA.

Alafu hivi ndivyo mtoto wa mkulima (PM) anavyotunadi watanzania kwa hawa wawekezaji huko alikoenda kufanya hizi deals, hivi huko mbele ya safari tutakua na majibu ya kwanini tuliyaangalia haya yakifanyika na tukakubali tuu?

When asked if AgriSol had considered potential job creation for local populations in the lease areas,
the response to the Institute was:
“You know, we haven’t done that...what I appreciate, from a practical standpoint, is how he [The Tanzanian Prime Minis- ter] understands the country and the capabilities and what we’ll need to bring in. They quite frankly think we’ll need to [bring in outside farmers], and they’re fine with bringing in South African farm managers...the white South African farm managers, to be able to provide that general expertise...”27
These comments directly contradict claims made by Pharos that AgriSol is in the process of “identifying local farm project managers.”28
 
Kilimo Kwanza, wakati Nyerere alitowa Ardhi kuwapa wakulima wa Canada na Wakichina bure, kwa miaka kadhaa, hakuna aliyesema hata kwii.

Leo tunaletewa mafunzo ya ukulima tunaouhitaji hapa hapa na kwa faida ya wote, tunaanza longolongo. Jee, ni nani asiotaka maendeleo?

Kabla ya kuleta longolongo tuanze na kusema ardhi yote waliopewa kanisa katoliki kulima irudishwe (Kanisa katoliki lina hodhi ardhi kubwa kuliko mwingine yoyote baada ya Serikali Tanzania hii). Mbona hilo hamlisemi? au kwa kuwa hawa hawajaja kwa mgongo wa kanisa? Msilete za kuleta hapa, wacheni watu wafanye kazi, ardhi imekaa bure kule, wacha watu wafaidike nayo.
 
Nchi yetu ni kama gari bovu. Litapona kama litapata fundi ambaye yupo tayari kulitengeneza kwa moyo wote bila kuongeza bei ya spea au kunyofoa vipuri.
 
Kilimo Kwanza, wakati Nyerere alitowa Ardhi kuwapa wakulima wa Canada na Wakichina bure, kwa miaka kadhaa, hakuna aliyesema hata kwii.

Leo tunaletewa mafunzo ya ukulima tunaouhitaji hapa hapa na kwa faida ya wote, tunaanza longolongo. Jee, ni nani asiotaka maendeleo?

Kabla ya kuleta longolongo tuanze na kusema ardhi yote waliopewa kanisa katoliki kulima irudishwe (Kanisa katoliki lina hodhi ardhi kubwa kuliko mwingine yoyote baada ya Serikali Tanzania hii). Mbona hilo hamlisemi? au kwa kuwa hawa hawajaja kwa mgongo wa kanisa? Msilete za kuleta hapa, wacheni watu wafanye kazi, ardhi imekaa bure kule, wacha watu wafaidike nayo.

FF
our population is Growing and we also need a space for our activities, it is not the matter of comparison, it is the matter of Displacement of those people!.

Kuna mchezo unaendelea wa kupora Ardhi Africa, kwa mfano tu Uganda kuna watu wanafanye hivo, Zambia, Malawi ndo nchio ninazozijua.

Hao wachina na Wakanada waliopewa ardhi na Nyerere (R.I.P) ilikuwa wapi na Hao wawekezaji wapo au inakuaje??
 
Nchi yetu ni kama gari bovu. Litapona kama litapata fundi ambaye yupo tayari kulitengeneza kwa moyo wote bila kuongeza bei ya spea au kunyofoa vipuri.

Kwanza uanze kwa kuagiza magari mapya na si mitumba. Na hili ulionalo ni gari jipya Model 2011, mpaka uanze kutafuta spare ni leo?

Waswahili hunena: "walozowea vya kunyonga vya kuchinja hawaviwezi".
 
FF
our population is Growing and we also need a space for our activities, it is not the matter of comparison, it is the matter of Displacement of those people!.

Kuna mchezo unaendelea wa kupora Ardhi Africa, kwa mfano tu Uganda kuna watu wanafanye hivo, Zambia, Malawi ndo nchio ninazozijua.

Hao wachina na Wakanada waliopewa ardhi na Nyerere (R.I.P) ilikuwa wapi na Hao wawekezaji wapo au inakuaje??


Displacement of who? those grounds were refugee camps and the refugees are either back to their homelands or have been neutralized and granted Tanzania nationality, they are not supposed to be there by now, if they are, they are illegals.

Besides, every development has its victims, you can not stop developing because you are about to move peoples from one area to another. Its absurd and way back thinking. We need to move forward and the consequences are obvious.

You are talking about population growth, with your current farming methods, how are you going to feed the masses? lets be real.

Wachina = Mbarali

Wa Canada = Hanang.
 
We Faiza dont blind yourself, swala la wawekezaji kuja na kufanya kilimo cha kisasa hapa hakina hatari na kina faida endapo na sisi tunafaidi fairly katika mpango mzima, haya yanayoonekana kufanyika ni tofauti na mpanga ama nia kwa maana inaonekana wawekezaji ndio wanaoonekana wao ku-fulfill haja zao na sisi kubaki bila kupata hizo faida za hiyo mipango, kwa kifupi serekali inachosema na kinachotokea in reality sicho, sasa kama tuna vyuo vikuu vya kilimo manaake tunao wataalam wa kilimo, lakini hawa wajamaa wanasema PM kawaambia anategemea walete supervison yenye uwezo haswa kutoka SA wazungu (The Tanzanian Prime Minis- ter] understands the country and the capabilities and what we'll need to bring in. They quite frankly think we'll need to [bring in outside farmers], and they're fine with bringing in South African farm managers...the white South African farm managers) sasa hawa wasomi wetu wa kilimo wao wanafaa kwa lipi? na kama hawako compatible na hichi kilimo wanachokuja nacho wawekezaji kwanini vyuo havitoi wasomi compatible? Yaliyosemwa wakati wa kuwaleta wawekezaji katika madini na yaliopo sasa ni tofauti, haya ndio tunayolalamikia sio sawa, so usizungumze tuu inavyotakikana zungumza inavyofanyika ni sawa? unajua ukiangalia sera za sisiem utakubali ni nzuri na zinaweza kututoa katika umasikini ila sisiem ndio wanaotudidimiza, sababu hayafanywi yale yalioandikwa. we should speak for Tanzania and not just for some people. This is our TANZANIA in a whole.
 
We Faiza dont blind yourself, swala la wawekezaji kuja na kufanya kilimo cha kisasa hapa hakina hatari na kina faida endapo na sisi tunafaidi fairly katika mpango mzima, haya yanayoonekana kufanyika ni tofauti na mpanga ama nia kwa maana inaonekana wawekezaji ndio wanaoonekana wao ku-fulfill haja zao na sisi kubaki bila kupata hizo faida za hiyo mipango, kwa kifupi serekali inachosema na kinachotokea in reality sicho, sasa kama tuna vyuo vikuu vya kilimo manaake tunao wataalam wa kilimo, lakini hawa wajamaa wanasema PM kawaambia anategemea walete supervison yenye uwezo haswa kutoka SA wazungu (The Tanzanian Prime Minis- ter] understands the country and the capabilities and what we'll need to bring in. They quite frankly think we'll need to [bring in outside farmers], and they're fine with bringing in South African farm managers...the white South African farm managers) sasa hawa wasomi wetu wa kilimo wao wanafaa kwa lipi? na kama hawako compatible na hichi kilimo wanachokuja nacho wawekezaji kwanini vyuo havitoi wasomi compatible? Yaliyosemwa wakati wa kuwaleta wawekezaji katika madini na yaliopo sasa ni tofauti, haya ndio tunayolalamikia sio sawa, so usizungumze tuu inavyotakikana zungumza inavyofanyika ni sawa? unajua ukiangalia sera za sisiem utakubali ni nzuri na zinaweza kututoa katika umasikini ila sisiem ndio wanaotudidimiza, sababu hayafanywi yale yalioandikwa. we should speak for Tanzania and not just for some people. This is our TANZANIA in a whole.

You are blinding yourself, sasa katazame mashamba ya farm managers Watanzania halafu katazame mashamba ya ma farm managers wa South Africa halafu uniambie tunahitaji kujifunza kutoka kwao au hatuhitaji? wala usiende mbali, kuna shamba Handeni lilikuwa la Serikali likafa kaja mzungu kalichukuwa kaweka manager m South Africa sasa hivi linauza mbegu za mahindi, swafi kabisa. Kiliwashinda nini Watanzania na shamba lao, ardhi yao? na huyu Msouth Afrika ni wakuja tu lakini kaweza. Watanzania bado tupo nyuma na bila kupata ujuzi wa kilimo kutoka nje hatutendelea maisha. Tusijidai tunajuwa kumbe hata vyoo vyetu mpaka leo ukiingia unatafuta pakuiweka pua.
 
Displacement of who? those grounds were refugee camps and the refugees are either back to their homelands or have been neutralized and granted Tanzania nationality, they are not supposed to be there by now, if they are, they are illegals.

Besides, every development has its victims, you can not stop developing because you are about to move peoples from one area to another. Its absurd and way back thinking. We need to move forward and the consequences are obvious.

You are talking about population growth, with your current farming methods, how are you going to feed the masses? lets be real.

Wachina = Mbarali

Wa Canada = Hanang.

Asante FF
Tuendelee na maisha!. Tutaona mwisho wake!.
 
Displacement of who? those grounds were refugee camps and the refugees are either back to their homelands or have been neutralized and granted Tanzania nationality, they are not supposed to be there by now, if they are, they are illegals.

Besides, every development has its victims, you can not stop developing because you are about to move peoples from one area to another. Its absurd and way back thinking. We need to move forward and the consequences are obvious.

You are talking about population growth, with your current farming methods, how are you going to feed the masses? lets be real.

Wachina = Mbarali

Wa Canada = Hanang.

By the way Wachina waliingia mbarali mwaka 1960, Na sijui nyerere alitoa hayo mashamba wakati gani na akiwa kama nani!
 
You are blinding yourself, sasa katazame mashamba ya farm managers Watanzania halafu katazame mashamba ya ma farm managers wa South Africa halafu uniambie tunahitaji kujifunza kutoka kwao au hatuhitaji? wala usiende mbali, kuna shamba Handeni lilikuwa la Serikali likafa kaja mzungu kalichukuwa kaweka manager m South Africa sasa hivi linauza mbegu za mahindi, swafi kabisa. Kiliwashinda nini Watanzania na shamba lao, ardhi yao? na huyu Msouth Afrika ni wakuja tu lakini kaweza. Watanzania bado tupo nyuma na bila kupata ujuzi wa kilimo kutoka nje hatutendelea maisha. Tusijidai tunajuwa kumbe hata vyoo vyetu mpaka leo ukiingia unatafuta pakuiweka pua.

Still blinding urself swala hapo sio uzungu ni comitment na hayo waliosoma ama kufundishwa, stricness kwenye kufanya kazi na seriousness katika kutaka kufanya standard quality, ndio maana wachache wenye kuamua kusimamia quality developments personally wanaweza hapahapa tanzania, kwani Bakhresa ameweka hao wazungu? mbona amekua akitoa products mpya na ni quality?
IF YOU HAVE NO CONFIDENCE IN SELF, YOU ARE TWICE DEFEATED IN THE RACE, BUT WITH CONFIDENCE YOU HAVE WON EVEN BEFORE YOU HAVE STARTED THE RACE. na hayo ya kuwaleta wawekezaji wa dizaini hizo huku ukiwaambia walete ma-manager wazungu sababu sisi hatuna sio kuwafundisha waTZ bali ni kuwa-undermine intelligence capability yao, wawekeze kwenye
vyuo in terms of waalimu na vifaa ili wazalishe graduates compatible na pia wafundishe maadili ya kusimamia na kutekeleza profession zao katika utendaji, anachofanya huyo mzungu ni kua na ujuzi na kwenda na principles basi that we should be able to do as well.
 
hakuna anayesema uwekezaji ni mbaya na sote tunajua kuwa hakuna nchi ambayo imeendelea duniani bila kufanya uwekezaji katika sekta mbalimbali uwe uwekezaji wa ndani au wa nje. Point ambayo mista President ameendelea kuikosa ni mfumo gani wa uwekezaji. Kwa namna sisi watz tunavyowakaribisha hao wawekezaji toka nje wachukue rasilimali zetu kupitia mikataba mibovu inayowapa wao manufaa zaidi yetu sisi wenye rasilimali haitakaa iingie akilini tuone kuwa uwekezaji huu ni mzuri. Ardhi ya pale Mpanda waliyopewa hizo ekari 800,000 bei yake ni sh. 700 za kitanzania kwa kila eka kwa mwaka. Ni nani mwenye akili timamu atafanya biashara ya hivyo kwa mkataba wa miaka 99 kama tiulivyofanya sisi? Mi naamini kuandamana nchi nzima kupinga madhila ya hivi kutawarudishia akili zao hawa jamaa wanaojishau
 
Nimegundua nikiendelea kulalamika badala ya kuchangamkia fursa kama hizi wanangu watakuja kunilaumu. If you can't beat them, join them. I don't want to be the next national hero of this God-forsaken country....!!
 
Back
Top Bottom