Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,073
- 2,450
Mfumo mbovu wa kijamaa huo. Mtu kachimba madini kwa jasho lake halafu serikali inaingilia mauzo yake. Halafu hiyo serikali haina uwajibikaji wowote, imejaa wezi na mafisadi wanaofuja jasho la wananchi.Kuna utaratibu wa kuexport madini na tozo au kodi za serikali.
Kuna hela kibao hapo serikali itapata.