Tanzania "Shamba la bibi" hadi lini? Hii Ruby ni yetu. Iweje iko sokoni Dubai na serikali yetu haijui? Nasaidia, mchimbaji huyu, anzieni hapa!

Mzee ulitoka nchini miaka 11 iliyopita. wakati hayati JPM akiwa bado ni waziri. Na ipo mizigo iliyomtajirisha Laizer mmasai wa Arusha, hatuna uhakika kama hilo jiwe ni mmojawapo ya mawe hayo.
No mawe ya Sanilu Laizer ni jiwe la Tanzanite ya Mererani, hili jiwe ni Ruby ya Longido, haina thamani sana kivile, hivyo ili kuiongezea thamani, wakatengeneza certificate of origin fake kuonyesha ni ruby ya Dodoma. Wakatengeneza certificate of valuation fake kutoka Italy.
P
 
Kwamba unaweza kuchota na kuondoka pasi kujulikana?.
No linasaidia kujua udhaifu wa huko nyuma, yaani wajanja wanaweza kutengeneza certificate of origin fake za madini na watu wakapigwa!. Hili jiwe ni fake, certificate of origin ni fake, certificate of valuation ni fake na ndio sasa liko sokoni!.
P
 
Matapeli ni hao wanunuzi wa Dubai?.
No matapeli sio hao wanunuzi wa Dubai, mpaka hapa tulipo, hao wanunuzi wa Dubai hawajui kuwa hiyo ruby yao ni fake, wao wanajua ni genuine ndio maana wanauza openly.

Jiwe hili liko on display for public kwa mwezi mzima Dubai, tuna ubalozi wetu pale, tungekuwa ni nchi tunaojua economic intelligence, by now tungekuwa na data zote za jiwe hili at finger tips. Mtu wetu wa ubalozini angepose kama interested party, angeonyeshwa jiwe na papers zake ili kulifanyia due diligence kujiridhisha na its authenticity.

Angetuma tuu hiyo certificate of origin, Ingefanyiwa search na within no time wangebaini it's fake.
P
 
No linasaidia kujua udhaifu wa huko nyuma, yaani wajanja wanaweza kutengeneza certificate of origin fake za madini na watu wakapigwa!. Hili jiwe ni fake, certificate of origin ni fake, certificate of valuation ni fake na ndio sasa liko sokoni!.
P
Good but...
Wamesubiri jamaa aondoke na baada ya kuondoka kweli wameona fulsa ya kupiga ipo hapa ndipo wakalitoa hilo jiwe fake, they mean kuna udhaifu on time they can use to win.

Hapo ndipo tunamuona tycoon akisaini mkataba as Tanzania businessman amiri jeshi akishuhudia.

Haya mambo haya kaka ni kutafuta nafasi na sisi tuingie tule Asali, vinginevyo tutabaki kupiga zumari kumfurahisha mfalme meza kuu.
 
Dunia ina umafia mwingi saaana..

Biashara ya madini inamilikiwa na cartels fulani ambazo zina matawi kila mahala na zipo kuhakikisha maslahi ya mabwanyenye yanastawi.. Kudeal na huu umafia kunahitaji akili kubwa zaidi ya hizi akili za kina Joti na Mpoki...

DRC ni nchi kubwa sana yenye madini kila mahala lakini ukiwa pale Lubumbashi aka Katanga province utakuta raia wana njaa na umasikini japo huko polini mamafia wa dunia wanakamua watakavyo midege ikitua na kuruka
Kifupi nchi imetekwa na wahuni ndio wanaimiliki.

Tanzania iko mikononi mwa wahuni toka enzi za uhuru, madalali wa hao wahuni tuko nao tunaishi nao na wengine tunaamini kama ndugu zetu but they are here purposely, Kupitia hao madalali ndio hata uongozi wa juu na maeneo nyeti wanapatikana watu.... Kuvuka hiki kikwazo na kuukata mnyororo wa wahuni huhitaji demokrasia bali unahitaji kiburi, unyama, kutojali na ukatili mwingi, ukiwavuruga ndipo utapata nafasi ya kuset na kuokoa maslahi ya Taifa...

Watanzania kwa kupenda maisha mazuri mepesi wamegeuka maagent wa cartels na kusaidia ustawi wao pale penye ugumu, Cartels hizi zimejipenyeza Kanisani, misikitini, Kwenye vyama vya siasa na kila penye influence ili kulinda maslahi yao kila yanapoingiliwa..
Umeongea point kubwa sana na jambo la msingi sana. Ili tuweze kuinuka kiuchumi ni lazima tulinde rasilimali zetu, Leo hii nchi zote zilizoendelea huwezi kuona watu wanacheza na rasilimali zao.
Ila shida ni Nani atamfunga paka kengele?
Mama Samia akitaka kuona uraisi mgumu basi aanze kudeal na hao cartels.
 
Umeongea point kubwa sana na jambo la msingi sana. Ili tuweze kuinuka kiuchumi ni lazima tulinde rasilimali zetu, Leo hii nchi zote zilizoendelea huwezi kuona watu wanacheza na rasilimali zao.
Ila shida ni Nani atamfunga paka kengele?
Mama Samia akitaka kuona uraisi mgumu basi aanze kudeal na hao cartels.
JPM alisema kweli vita ya kiuchumi ni vita mbaya!. Unaweza kukuta waliomtoa roho sio karma ya matendo yake bali ilikuwa ni lazima aondoshwe ili kupisha njia. Kuna vitu tulivisema humu kama utani, vikaja kutokea.


Halafu hapa nikaonya tena

Haikusaidia kitu, jamaa ama akaondoka, ama akaondoshwa.
P
 
Umeongea point kubwa sana na jambo la msingi sana. Ili tuweze kuinuka kiuchumi ni lazima tulinde rasilimali zetu, Leo hii nchi zote zilizoendelea huwezi kuona watu wanacheza na rasilimali zao.
Ila shida ni Nani atamfunga paka kengele?
Mama Samia akitaka kuona uraisi mgumu basi aanze kudeal na hao cartels.
Nigeria ni nchi ya 3 wao wanazalisha mafuta lkn rasilimali za mafuta haziko
Mkononi mwao!hawafaidiki kivile

Sababu ni viongozi wetu kutokua na msimamo na ubinafsi

Ova
 
Duh...!. Mkuu fundimchundo!, That is the base kabisa!. Kumbe watu humu mnatufahamu hadi home!. Tuwe tunatambulishana utakuta mtu unamtukana kumbe ni mtu wako kabisa.
P
We nlikosakosa kukupiga haha
We Wenzako watoto mboga 7 hapo
Gorofani nliwapigaga
Nkitoka hapo nakwenda kota za tanesco mule
Ss ndy tulikuwa wajanja wenu,mipango yote tunawaletea
Sema ttz we ukikuwa mkuda,John kisomo

Ova
 
Hebu peruse mitandaoni uone ni nini kilitokea huko Winza hadi kupelekea eneo hili maarufu kwa madini ya Vito likageuka kuwa mufilisi kabisa. Ukienda huko hutaamini kwamba hata yale maendeleo ya Mji wa Mpwapwa sasa ni hadithi tu.
 
Back
Top Bottom