jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,612
- 4,386
Hii elimu kama angekuwa ametaabikia na hakika angejihudhuru kulinda elimu yake
Kuliko kuwa ndumilakuwili
Kuliko kuwa ndumilakuwili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mzee sijui aliwaza nini aisee"60% ya watumishi wa umma ni hamnazo" Prof. Assad.
Hakuna kitu inazuia Corona zaidi ya chajo nayo siyo sure,barako na sanitizer zinasaidia kupunguza maambukizi kwahiyo hizi vitu zina umuhimu wake..Lakini hizk barakoa hazizuii corona! Zingekuwa zinazuia kusingekuwa na maambukizi mapya nchi ambazo ni lazima kuvaa barakoa!!
🤔 Si ni huyu huyu alikuwa anasema tunywe Mizizi.
Nonsense!Lisu amekuja na kufanya kampeni hapa kwa miezi 3 bila kuvaa barakoa lakini kwa unafiki alionao aliporudi kwa wanaomfuga akatangaza Tanzania kuna Corona.
Mbowe pia kwenye konyagi anaonekana bila barakoa lakini kwenye vikao vyake uchwara anaonekana amevaa barakoa ili wafadhili wampe pesa zaidi!!!
Hakuna anayekufa kwa sababu ya kukana corona wala anayenusurika kwa kuikubali corona, ndio maana Maalim hakuikana corona ila kaipata corona akajitangaza na bado ikamuuwa sasa hili la kulazimisha kwamba Magufuli kapata corona kwa sababu alikuwa anaikana ni hoja ya kitoto.Maalim kwani alikuwa anakana uwepo wa corona? Tunamsema Magu kwa sababu ni mfano wa mtu aliyekufa kwa sababu ya ubishi.
aliwaza nini vipi? that is a professor ndugu akisema kitu anakuwa anahadhiri. huyu mama si ndiyo juzi tu alikuwa anatembea na malimao na tangawizi na kizimba cha nyungu? leo tena anakuja na kamba za kutuambia tufuate nja za kisayansi 😆 60% kabisa!Huyu mzee sijui aliwaza nini aisee
Yaani huyu mama dakitari nae yumo kwenye 60%? Sitaki kuamini mkuualiwaza nini vipi? that is a professor ndugu akisema kitu anakuwa anahadhiri. huyu mama si ndiyo juzi tu alikuwa anatembea na malimao na tangawizi na kizimba cha nyungu? leo tena anakuja na kamba za kutuambia tufuate nja za kisayansi 😆 60% kabisa!
Itakuwepo!.Kwani korona ipo nchini?
TeteteteAcha ujeuri wewe, vaa barakoa tupate mkopo.
Wajinga sn waleMwenye lake jambo alikuwa yule bwana. Wengine hawa walikuwa ki njaa zao zaidi.
ALienda na coronaAjiulize yule mungumtu wao kilimsomba nini.....
Media zilitangaza kafa kwa ugonjwa wa Moyo, kama ni Corona ndo kwanza tunasikia kwako.. maana walio tangaza walikuwa ni viongozi wa juu wa nchi, sasa wewe wa babati hizo reference zako cjui n za wapi.ALienda na corona
Kwani mi nimemtaja nani na wewe una mjua nani?Media zilitangaza kafa kwa ugonjwa wa Moyo, kama ni Corona ndo kwanza tunasikia kwako.. maana walio tangaza walikuwa ni viongozi wa juu wa nchi, sasa wewe wa babati hizo reference zako sijui n za wapi