Vijana jazz enzi hizo vijana wanajitosa kwenye meli mara wengine wanatoswa baharini. Waliofanikiwa bado wapo hasa watoto wa Magomeni walijilipua wengi miaka ya 70-80sHili jina Ngapulila umenikumbusha mbali sana.
Vijana jazz enzi hizo vijana wanajitosa kwenye meli mara wengine wanatoswa baharini. Waliofanikiwa bado wapo hasa watoto wa Magomeni walijilipua wengi miaka ya 70-80sHili jina Ngapulila umenikumbusha mbali sana.
Miaka ya 90 uzungu wa unga uliibuka. Vijana wa Magoneni walipata hela sana.Vijana jazz enzi hizo vijana wanajitosa kwenye meli mara wengine wanatoswa baharini. Waliofanikiwa bado wapo hasa watoto wa Magomeni walijilipua wengi miaka ya 70-80s
Mr Teacher ambaye kwasasa yupo Texas?Halafu huyo mwenye kofia nyeupe na shati nyekundu sio yule wanayemuita Teacher?
Daaah ee bana eeh jamaa alikuwa na maneno mengi sana. Vipi na yule Mfinanga aliishia wapi? Nilikuwa namuona an fwedha tangia wakati ule
Huku akifyonza nya na kumwaga porini huko,ukimwuliza atakwambia "no"mi nilikua naendesha roli tu"Wille alikuwa anakusanya degree tatu Marekani
Degree zilipatikana kwa kujisomea kwenye local library wakati wabongo wanapiga JD na nyama choma.Huku akifyonza nya na kumwaga porini huko,ukimwuliza atakwambia "no"mi nilikua naendesha roli tu"
Mambo ya makimba yaliojaa mule sijui
Alijitahidi anyway,siku hizi kaungana nao na wanamlisha mjini hapo.Degree zilipatikana kwa kujisomea kwenye local library wakati wabongo wanapiga JD na nyama choma.
Mfinanga mara ya mwisho kumuona ilikuwa 2013 na bado ana fedha kama kawaida,pia naona age imeenda kapunguza makeke.Daaah ee bana eeh jamaa alikuwa na maneno mengi sana. Vipi na yule Mfinanga aliishia wapi? Nilikuwa namuona an fwedha tangia wakati ule
Uchawi mwingine walikuwa wanaleta masanduku kwa wapenzi wao, ndani yana walk man, jeans, vi just because vya kumwaga, Raba mtoni, mabegi ya shule yale ya kickers.Wadada walikuwa wanaacha shule kwa ajili ya hawa watu,maana baharia akiwa mapumziko hela yake yote anachakaza kwa kujirusha,kwahiyo wadada kuchomoka ilikuwa ni ngumu sana...
Duh ulijuaje?bila ya kusahau tapes original,zile zinakuwa na karatasi kwa ndani zimeandikwa nyimbo zote,so you can even sing along wakati inacheza kwenye tape recorder...Uchawi mwingine walikuwa wanaleta masanduku kwa wapenzi wao, ndani yana walk man, jeans, vi just because vya kumwaga, Raha mtoni, mabegi ya shule yale ya kickers.
Wale ma dada maarufu wengi walipata manaharia, assembly walikuwa wanawaka. Lakini wengi hawakufika A level.
View attachment 1055083
Wakati huo mdada anasikiliza Reggae kwenye walk man
Duuu miaka imeenda, mie nilikutana nae mwaka 1996 Perea nikitokea Canada nilikaa hapo Ellas miezi miwili tulikuwa dry dock halafu tukaloweka Perama kwa mwezi mzimaMfinanga mara ya mwisho kumuona ilikuwa 2013 na bado ana fedha kama kawaida,pia naona age imeenda kapunguza makeke.
Sent using Jamii Forums mobile app