- Thread starter
- #41
Unaweza kuona ni bla bla. Pengine wewe ni mmoja wa watafuna kodi za walipa kodi. Ila jua ya kuwa, walipa kodi wako hoi, ukikamua sasa hivi utapata damu badala ya maziwa.hali ni Mbaya Mkuu. Serious!nilidhani ni mimi tu niliyeona bla bla za mleta mada! Kufanya fitina nacho ni kipaji!