Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Sarafina ni Filamu iliyotengenezwa mwishoni mwa miaka ya themanini ikionyesha (depict) hali ya matarajio ya kuvunjiliwa mbali kwa mfumo wa Kibaguzi nchini Afrika ya kusini. Filamu hiyo ilitengenezewa nchini Zimbabwe.
Filamu hiyo nimeingalia tena leo mara mbili mfululizo na kufikia jitmai la kuamini moja kwa moja kwamba inahusiana na hali ya kisiasa ilivyo hapa nchi kwetu Tanzania. kwenye Sarafina kuna:
1. kuna Vitabu lukuki mashuleni vilivyojaa uongo wa kuwaptosha wanafunzi wa Kiafrika
2. Kuna wasaliti na vizabizabina
3. Kuna vilio na nyimbo za kimapinduzi
4. Kuna waalimu mafidhuli na wanafunzi wazalendo
5. Kuna polisi vibaraka na wananchi wanaoonewa
6. Kuna mifumo ya sheria isiyofanya kazi na watawala wasiojali.
7. Kuna............
Nenda kaiangalie tena na uilinganishe na Tanzania yetu ya sasa.
Filamu hiyo nimeingalia tena leo mara mbili mfululizo na kufikia jitmai la kuamini moja kwa moja kwamba inahusiana na hali ya kisiasa ilivyo hapa nchi kwetu Tanzania. kwenye Sarafina kuna:
1. kuna Vitabu lukuki mashuleni vilivyojaa uongo wa kuwaptosha wanafunzi wa Kiafrika
2. Kuna wasaliti na vizabizabina
3. Kuna vilio na nyimbo za kimapinduzi
4. Kuna waalimu mafidhuli na wanafunzi wazalendo
5. Kuna polisi vibaraka na wananchi wanaoonewa
6. Kuna mifumo ya sheria isiyofanya kazi na watawala wasiojali.
7. Kuna............
Nenda kaiangalie tena na uilinganishe na Tanzania yetu ya sasa.