Kenya iliongoza kundi la nchi tatu za Kenya, Rwanda and Uganda kuunda "Coalition of the Willing", Kenya failed terribly.Yaani ukijumuisha Stock exchange ya hizi nchi tatu unapata $14 billion na huku stock exchange ya Kenya ni $22 billion. Yaani sisi tumedouble hizi nchi malazy tatu combined
Alafu Kenya ndio ilijiondoa yenyewe kwenye mradi huo, ambao ni wa World Bank, mwaka wa 2015. ..."Kenya, which runs the largest stockHehehe sijui nicheke juu hii ripoti ama nihuzunike?
Let them try competing with the giant. Hata waongeze Burundi an South Sudan kwa hicho kikundi chao bado hawatoshi mboga.Alafu Kenya ndio ilijiondoa yenyewe kwenye mradi huo, ambao ni wa World Bank, mwaka wa 2015"Kenya, which runs the largest stock
market in the region in terms of market capitalisation and number of listed companies pulled out of the project in 2015 after expressing
dissatisfaction on how the Pakistan firm was awarded the contracting citing procurement irregularities"
Yaani ukijumuisha Stock exchange ya hizi nchi tatu (TZ $6B, UG $5B, RW $3 B) unapata $14 billion na huku stock exchange ya Kenya ni $22 billion. Yaani sisi tumedouble hizi nchi malazy tatu combined.
This is good, jambo la kushangaza baadhi ya wakenya wameanza kulalamika kutengwa. Anyway sisi tunasonga mbele, ninyi endeleeni kususaAlafu Kenya ndio ilijiondoa yenyewe kwenye mradi huo, ambao ni wa World Bank, mwaka wa 2015. ..."Kenya, which runs the largest stock
market in the region in terms of market capitalisation and number of listed companies pulled out of the project in 2015 after expressing
dissatisfaction on how the Pakistan firm was awarded the contracting citing procurement irregularities"...
I promise you 100% Kenya shall rejoin very soonRem when top 20 Tanzanian companies couldn't post even half of what kenyan's telco made in profits?.
Wakenya wamelalamika lini kwamba wanatengwa na wametengwa kivipi? Mradi wenyewe ni wazo la World Bank kwa 100%, wale wale mnaopenda kuwaita 'mabeberu'. Wameubuni wao, wamewashawishi mjiunge wao wenyewe, wanautekeleza wao. Ila Kenya tukajiondoa kwasababu ya ukosefu wa uwazi kwenye kuipa kampuni ya Pakistan kandarasi ya kutekekeza mradi wenyewe. Unachekesha unaposema mnasonga mbele, wakati Stock Exchange zenu zote kwa pamoja, UG, Tz na RW ni karibia nusu ya Nairobi SE. Kwani Kenya imefika hapo ilipo kwa usaidizi wa nani?This is good, jambo la kushangaza baadhi ya wakenya wameanza kulalamika kutengwa. Anyway sisi tunasonga mbele, ninyi endeleeni kususa
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
This guy dreams of Kenyans complaining about Tanzania.Wakenya wamelalamika lini kwamba wanatengwa na wametengwa kivipi? Mradi wenyewe ni wazo la World Bank kwa 100%, wale wale mnaopenda kuwaita 'mabeberu'. Wameubuni wao, wamewashawishi mjiunge wao wenyewe, wanautekeleza wao. Ila Kenya tukajiondoa kwasababu ya ukosefu wa uwazi kwenye kuipa kampuni ya Pakistan kandarasi ya kutekekeza mradi wenyewe. Unachekesha unaposema mnasonga mbele, wakati Stock Exchange zenu zote kwa pamoja, UG, Tz na RW ni karibia nusu ya Nairobi SE. Kwani Kenya imefika hapo ilipo kwa usaidizi wa nani?
Angalia twitter junsi wakenya wanavyolalamika kutengwa, au nikuletee twittes za wakenya?.Wakenya wamelalamika lini kwamba wanatengwa na wametengwa kivipi? Mradi wenyewe ni wazo la World Bank kwa 100%, wale wale mnaopenda kuwaita 'mabeberu'. Wameubuni wao, wamewashawishi mjiunge wao wenyewe, wanautekeleza wao. Ila Kenya tukajiondoa kwasababu ya ukosefu wa uwazi kwenye kuipa kampuni ya Pakistan kandarasi ya kutekekeza mradi wenyewe. Unachekesha unaposema mnasonga mbele, wakati Stock Exchange zenu zote kwa pamoja, UG, Tz na RW ni karibia nusu ya Nairobi SE. Kwani Kenya imefika hapo ilipo kwa usaidizi wa nani?
Bado wanafurahia ushindi wa Kenya kusalimu amri kwa kuruhusu Tanzania ambayo haijachukua hatua zozote za kupambana na maambukizi ya Corona, na bado hatutoi idadi ya wagonjwa lakini bado Kenya imetuweka katika kundi la nchi ambazo ni salamaJoto, hili uzi hata watanzania wamelihepa kwa aibu.
did you read before posting?Kenya, which runs the largest stock market in the region in terms of market capitalisation and number of listed companies pulled out of the project in 2015 after expressing dissatisfaction on how the Pakistan firm was awarded the contracting citing procurement irregularities.
It is just a matter of time, stay tuned.The saddest part is that Kenya Stock Exchange Market is almost twice that of Tanzania, Uganda and Rwanda. Hii ni aibu ya hali ya juu.
Mnatia huruma....
The market capitalisation of the Nairobi Securities Exchange (NSE) for the six months period to June 16, 2020 stood at $22.1 billion compared with DSE, USE and RSE whose value of listed shares stood at $6.5 billion, $5.1 billion and $3.52 billion respectively.
Tunakuja tutakufikia tu
Mlishindwa kutufikia 2010 wakati tofauti ya GDP kati ya Kenya na Tanzania ilikuwa $8 billion pekee, sahi ni $42 billion mtawezana?Tunakuja tutakufikia tu
Cheka kutokea hapo kibera kwenye kijumba chako cha mabati huku ukiringia uchumi wa kwenye makaratasi while dhiki na ukosefu wa ajira umekujaaHehehe sijui nicheke juu hii ripoti ama nihuzunike? 😂 😂