Tanzania register trade surplus with kenya

Nafasi zote mnazogombania Africa na duniani mnashindwa, mnagombana na majirani wote, nani ataheshimu Kenya?. Any way sisi hatutaki mahusiano na ninyi, mnao majirani wengi tu, Somalia, Ethiopia, SSudan na Uganda, achaneni na Tanzania,
Mbona Africa hii hii ilitupigia kura turepresent Waafrika wote kwenye UN security council kwa miaka miwili?
 
Ungekua mama samia ningekuamini, but then again your just another keyboard warrior, with a hateful heart
Ila kweli ninyi mnaipenda Tanzania 😅😅😅

Yaani ni kama mke anaepigwa kama kibaka na mumewe, keshavunjwa meno yote na mikono lakini bado tu anasema mume wangu bado nakupenda 😅😅😅 mnajiliwaza Magufuli ndio aliharibu uhusiano mzuri utafikiri tulishawahi kuwa na huo uhusiano mzuri 😂😂😂😂

Sio Kikwete alizuia KQ kuingia Tanzania baada ya ninyi kuzuia tour vans za Tanzania kuingia Kenya? Sio Nyerere aliefunga kabisa mpaka na Kenya? Sasa ni ukaribu upi tuliwahi kuwa na ninyi? 😅😅😅
 
Ila kweli ninyi mnaipenda Tanzania

Yaani ni kama mke anaepigwa kama kibaka na mumewe, keshavunjwa meno yote na mikono lakini bado tu anasema mume wangu bado nakupenda mnajiliwaza Magufuli ndio aliharibu uhusiano mzuri utafikiri tulishawahi kuwa na huo uhusiano mzuri

Sio Kikwete alizuia KQ kuingia Tanzania baada ya ninyi kuzuia tour vans za Tanzania kuingia Kenya? Sio Nyerere aliefunga kabisa mpaka na Kenya? Sasa ni ukaribu upi tuliwahi kuwa na ninyi?
@Tony254
 
Mbona Africa hii hii ilitupigia kura turepresent Waafrika wote kwenye UN security council kwa miaka miwili?
Hiyo nafasi ni "rotational" haijawahi tokea nchi ya Africa kupingwa na nchi ingine ya Africa baada ya kupitishwa na AU, Kenya pekee ndio imepingwa tena na nchi ndogo Sana kuonyesha jinsi Kenya isivyoheshimika Africa.
 
Sasa hio strong industrial policy yenu ingewasaidia vipi ikiwa Magufuli angeendeleza roho yake mbaya na Kenya? Sio lazima Kenya inunue hizo products zenu. Bado tungeendelea kufungiana border tu kama huyo jamaa bado angekuwa hai. Kutengeneza bidhaa ni rahisi ila kupata market ndio kazi ngumu. Mungesumbuka sana kupata soko ukanda huu maana nchi nyingi ukanda huu zina uchumi ndogo. Zambia, Uganda, Malawi hizi ni nchi masikini haziwezi kununua chochote kutoka kwenu. Kubali tu kwamba unyenyekevu wa mama ndio umefanya sisi tuanze kununua bidhaa zenu kwa wingi. Magu kama angekuwa hai bado mchezo wa kufungiana border ungekuwa unaendelea.
We jamaa mara nyingi unaongea fact bila kujali utaifa

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania recently years it has been improve it's export to Kenya and other EAC due to have strong industrialization policy driven by her Excellence. Samia suluhu
Sasa unaregister surplus ya trade halafu unamuuzia mwenzako unfinished goods yeye anaboresha na kuuza nje mara hata 10 ya bei uliyomuuzia hiyo surplus yako ina maana gani
 
Sasa unaregister surplus ya trade halafu unamuuzia mwenzako unfinished goods yeye anaboresha na kuuza nje mara hata 10 ya bei uliyomuuzia hiyo surplus yako ina maana gani
Nasisi tunauzia nchi nyingine pia finished goods
 
Kwa nyundo hizi kwa nini tusiwakimbize Wakunya? 👇

Screenshot_20211210-065257.png


Screenshot_20211210-065111.png


Screenshot_20211210-064643.png


Screenshot_20211210-064714.png


Screenshot_20211210-064404.png


Screenshot_20211210-064237.png


Screenshot_20211210-064159.png


Screenshot_20211209-214614.png


Screenshot_20211208-153820.png


Screenshot_20211208-153849.png
 
Back
Top Bottom