Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Mbona Africa hii hii ilitupigia kura turepresent Waafrika wote kwenye UN security council kwa miaka miwili?Nafasi zote mnazogombania Africa na duniani mnashindwa, mnagombana na majirani wote, nani ataheshimu Kenya?. Any way sisi hatutaki mahusiano na ninyi, mnao majirani wengi tu, Somalia, Ethiopia, SSudan na Uganda, achaneni na Tanzania,