Tanzania ranked 8th tourist performer in sub-Saharan Africa; Kenya je?

Hawajielewi tu, China viwanda vyenye uwezo wa kuajiri watu kuanzia 1k kwenda juu ni vichache, vingi ni kama hivyo ulivyosema, viwanda vidogovidogo macro kabisa...

Mfano kiwanda kama hiki, mtu anaweza kukidharau lakini kinapeleka bidhaa zake mpaka ulaya na America, na hivi ndio viwanda vinavyotakiwa, na kiukweli kwa sasa watanzania wamehamasika sana kwenye value adding chain,

Vitu vidogovidogo kama hivi ndio vyenye largest consumptions and demand, wanaohitaji magari na gadgets nyingine wanaweza kuwa wachache lakini wanaohitaji bidhaa za vyakula, nguo, bidhaa za ujenzi ni kila mtu

View attachment 1234927View attachment 1234928

Halafu kuna lingine ambalo hatulielewi, in China, when speaking about skilled labours, they don't mean the graduates. They mean the work force which have been trained just a basic but applied knowledge of something. Large working population of China attended the trade or vocational schools. In these schools, they are taught the well established tailor made knowledge which will be applied by trainees immediately after completing their studies. Apart from learning their technical skills such as carpentry, tailoring, masonry, welding to name a few, they are also learning some basics on Accounts, entrepreneurship, marketing, costumer care etc. This is why the big capital of Chinese economy is the pool of skilled workers. (Not graduates, like how we are using to think).
 
Halafu kuna lingine ambalo hatulielewi, in China, when speaking about skilled labours, they don't mean the graduates. They mean the work force which have been trained just a basic but applied knowledge of something. Large working population of China attended the trade or vocational schools. In these schools, they are taught the well established tailor made knowledge which will be applied by trainees immediately after completing their studies. Apart from learning their technical skills such as carpentry, tailoring, masonry, welding to name a few, they are also learning some basics on Accounts, entrepreneurship, marketing, costumer care etc. This is why the big capital of Chinese economy is the pool of skilled workers. (Not graduates, like how we are using to think).
Fact 👌
 
Endeleeni kujipa moyo mkija kustuka mtakuta Tz wapinzani wake SA NIGERIA EGYPT na co East African Countries
Hivi Ni vitu vya kawaida Kenya haswa hizo umeweka hapo za kutengeneza viti vya magari na bodyworks...nilianza kuziona Kenya in the mid 90s kwa garages Yani hivyo Ni vitu vianfanywa na mechanics was kawaida hapa Kenya. Kama hivyo kwenu Ni viwanda Basi ndio maana tunawaambia mpo zaidi ya miaka 10 nyuma.
 

Yani huo ni uongo ulopitiliza walai
Bado vyuma vinakaza...the comments are hilarious
Jukwaa la siasa linakupa picha halisi ya ugumu wa mwananchi wa Tz.
 
Ku pack ubuyu pia aina ya kiwanda...duh!!noma sana...

Basi km ni hvo kenya tutakua na viwanda vingi mara kumi ya hvyo vyenu
Viwanda vya kubangua na kupack korosho na vyenyewe ni viwanda tunavyovitambua, huyo anayeshangaa hana hata buku mfukoni au ameajiriwa anapelekeshwa kama gari bovu na boss wake huku akiwacheka wamiliki wa viwanda vya kupack korosho na ubuyu View attachment 1234726
 
Miaka karibu 60 baadae mpo wapi? Maendeleo gani umewafaa? Mbona mna maisha mabaya kuliko wenzenu wa EAC? Jibu ni nyinyi watu ovyo sana. Wivu, uzembe na uchungu umewajaa akilini mnashindwa kupiga hatua. Inasikitisha lakini inaonekana mmezoea hali yenu. Yaani mpo tu.
Af rudi shule ukasome historia ya Afrika vzr itakuambia Tz inamaanisha nn ktk ukombozi wa mtu mweusi co unaropoka tu apa eti mTz ana wivu watanzania wamewavumilia wamechoka ss wameamua km mbwai mbwai ndo mana wanakupeni sindano zenu kwn nani asiyejua roho za wakenya yn nyie hampatani na jirani yenu yeyote kwa7bu ya roho zenu za nanga
 
The last monthly collection was 1.7 T, Tanzania pays civil servants 400B monthly which is so far its biggest expenditure chunk, what do you expect 1.3 T would have been going? Probably bigger portion will be invested to the development projects
Mkuu tulia...yajayo yanafurahisha....Tanzania tupo pazuri tena sanaaa....Mimeona ukiongelea juu ya viwanda vidogo nimefurahi sanaaaaa.... viwanda vidogo vina advantage kubwa kwenye uchumi kuliko vikubwa...Bila viwanda vidogo China wasingekuwa walipo...
 
Tanzania tunaingiza pesa nyingi kuliko nchi yoyote afrika mashariki(sourceBank of Tanzania)
Screenshot_20191017-175629.jpeg
 
Back
Top Bottom