Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania kuendelea leo kwa mchezo mmoja kupigwa katika uwanja wa Karume Mjini Musoma, ambapo Biashara United wakiwakaribisha Simba SC
Mchezo huu unatarajiwa kuwa mgumu kwa muda wote wa dakika tisini.
Biashara United, wanahitaji alama tatu ambazo ni muhimu kwao ili wajinasue katika mstari wa kushuka daraja.
Simba SC, wao kwa upande wao wanataka alama tatu ili waweze kuendelea na mbio zao za kutetea ubingwa..!
•••========•••
90' Mchezo umemalizika katika dimba la karume ambapo Simba SC wameweza kuifunga Biashara United mabao mawili bila majibu
Mabao yote yakiwekwa kimiani na John Bocco 34, 41
Biashara United 0-2 Simba SC
Mchezo huu unatarajiwa kuwa mgumu kwa muda wote wa dakika tisini.
Biashara United, wanahitaji alama tatu ambazo ni muhimu kwao ili wajinasue katika mstari wa kushuka daraja.
Simba SC, wao kwa upande wao wanataka alama tatu ili waweze kuendelea na mbio zao za kutetea ubingwa..!
•••========•••
90' Mchezo umemalizika katika dimba la karume ambapo Simba SC wameweza kuifunga Biashara United mabao mawili bila majibu
Mabao yote yakiwekwa kimiani na John Bocco 34, 41
Biashara United 0-2 Simba SC