Teddy1
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 213
- 201
Leo Yanga yenu inakufa goli 4Walipocheza na pyramid mwaka jana au juzi
Leo Yanga yenu inakufa goli 4Walipocheza na pyramid mwaka jana au juzi
Acha zako wewe. Simba anakufa 5 bilaLeo Yanga yenu inakufa goli 4
Nasikia Yanga eti walikimbia uwanja?Acha zako wewe. Simba anakufa 5 bila
Nani amekuuliza?Shika adabu yako wewe. Mimi ni simba damu
Yanga utopolo vidimbwi ndio saa mbovuMikia saa mbovu sana
Kwa uelewa wangu ni kwamba, Derby ni mechi inayohusisha timu mbili zinazotoka eneo moja kama vile Simba na Yanga. Kama sipo sahihi ninaomba unisahihishe mkuu.Unaelewa maana ya derby mkuu
Mkia unadhihirisha uzuzu wakoTuliza hiko kipago basi nyie utopolo
Wewe wasemaKwa hiyo ikipitia siku bila kuwataja mikia hausikii raha hata kidogo?
Wapinzani wanokosa adabu wanapotaka kujilinganisha na Rais Samia Huyu Samia ana uwezo mkubwa sana ujue?chadema kwa mara nyingine sera na ilani walichopanga kusema tayari Samia ameshafanya na anatarajia kufanya makubwa zaidi.
Nitaamrisha watoto wangu kila moja aite mtoto wake moja jina Samia Hili jina limejaa uzalendoWapinzani wanokosa adabu wanapotaka kujilinganisha na Rais Samia Huyu Samia ana uwezo mkubwa sana ujue?
Samia Mungu azidi kukulinda Rais wetuNitaamrisha watoto wangu kila moja aite mtoto wake moja jina Samia Hili jina limejaa uzalendo
Rais Samia kaza hapo hapo usigeuke nyuma, Watanzania wengi hawajui wanataka niniSamia Mungu azidi kukulinda Rais wetu
Samia miaka mitano tena .ameleta mabadiliko makubwa huyu mamaRais Samia kaza hapo hapo usigeuke nyuma, Watanzania wengi hawajui wanataka nini
Okay mkuuHoja zingine buana hata hazin kichwa wala miguu
Unajua mkuu, ukitoa sababu ya mada yangu kutokuwa na kichwa wala miguu unakuwa umenisaidia na kunisahihisha ili nisije kuandika tena jambo la hovyo/utumbo humu JF kuliko kunicheka tu bila kunikosoa kwa hoja. Unataka niendelee kuwa mjinga?Hoja zingine buana hata hazin kichwa wala miguu
Mkuu nakushauri tu uungane na Samia lasivyo October mtapokea kipigo cha mbwa mwizi.Samia miaka mitano tena .ameleta mabadiliko makubwa huyu mama