Tanzania Premier League: Kuna ulazima wa klabu moja wapo (Simba au Yanga) iondoke Dar na kuhamia Arusha au Mwanza ili kuongeza ladha ya mchezo wa soka

chadema kwa mara nyingine sera na ilani walichopanga kusema tayari Samia ameshafanya na anatarajia kufanya makubwa zaidi.
 
Hoja zingine buana hata hazin kichwa wala miguu
Unajua mkuu, ukitoa sababu ya mada yangu kutokuwa na kichwa wala miguu unakuwa umenisaidia na kunisahihisha ili nisije kuandika tena jambo la hovyo/utumbo humu JF kuliko kunicheka tu bila kunikosoa kwa hoja. Unataka niendelee kuwa mjinga?
 
Back
Top Bottom