Fundi wacha utani Bwana. Wewe ni msomi na unajua siku zote Unapotaja Tanzania Unamaana Tanzania Bara. Kwa hiyo ndiyo maana na sisi tunashadidia Zanzibar kumaanaisha Visiwa vyetu viwili pale tunapotaka kujieleza bila ya kuwamo Bara. Fanya reference si kuna Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ( ambayo ndio Bara au Tanganyika -ukitaka) na kuna Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Two entities- hakuna ya tatu hapo. Fundi -analysis isikupige chenga Ndugu yangu- tena wakati huu.
Pakacha wewe umetengenezewa kwa mnazi wa kitamli nini? naona huvujishi. Give it to.......!