Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Moja na watu waliyoitwa kwenye interview ya TPB na hatimae kupata nafasi ya kazi hapo kama Team Leader amedai kuwa wameambiwa kuwa ofisi haitakuwa ikiwalipa mshahara bali itakuwa ikiwapa commission kutokana na idadi ya wateja ambao watakuwa wakiwaleta katika bank yao.
Ambapo kwa kile mteja ambaye utakuwa ukimpeleka utakuwa ukipewa kamisheni ya sh. 1000/ elfu moja yaani BUKU.
Ambapo kwa kile mteja ambaye utakuwa ukimpeleka utakuwa ukipewa kamisheni ya sh. 1000/ elfu moja yaani BUKU.