Wakuu,
Kwa kuwa Wabunge wetu (hasa wa CCM) wametuangusha sana kwenye masuala mengi ya kitaifa naomba tuanzishe hilo Bunge hapa.
Mods na wajuvi wengine watusaidie kwa namna gani bora tunaweza kuliendesha na kuleta ufanisi wa hali ya juu na kuwa na impact kubwa katika nchi yetu.
Kama wazo hili litakubalika ni muhimu kuhakikisha kuwa kila shule na chuo wanalijua hili Bunge la kwenye mtandao.
Kwa kuwa Wabunge wetu (hasa wa CCM) wametuangusha sana kwenye masuala mengi ya kitaifa naomba tuanzishe hilo Bunge hapa.
Mods na wajuvi wengine watusaidie kwa namna gani bora tunaweza kuliendesha na kuleta ufanisi wa hali ya juu na kuwa na impact kubwa katika nchi yetu.
Kama wazo hili litakubalika ni muhimu kuhakikisha kuwa kila shule na chuo wanalijua hili Bunge la kwenye mtandao.