Kwa walioangalia chanel 10 jana 01/10/07 [Jenerali on Monday} watakubaliana na mimi kuwa uwezo wa wataalam wetu unatia shaka, mahojiano hayo yalihusha kamisna wa madini na mwanasheria wa wizara ya madini wote hawa wana PHD, mada kuu ilikuwa ni kujibu hoja za mwanaharakati Tindu Lisu.
Mahojiano yaliboa kwani kamisna wa madini na mwansheria walionekana kushindwa kujieleza na kujibu mwaswali ya wasikilizaji. Kujichanganya huku kulipelekea kamishna wa madini kuutangazia uma kuwa kuna baadhi ya makampuni makubwa ya madini yanachimba madini bila kuwa na mkataba.
Mtazamaji mmoja alimuulizwa kutakaka kujua ni kampuni gaini inachimba madini bila mkataba, kamisha wa madini akatamka kuwa ni Tanzania one, hawa wana lesini lakini hawana mkataba.
Swali, Tanzania one inamilikiwa na nani, na kwanini haina mkataba?
Mahojiano yaliboa kwani kamisna wa madini na mwansheria walionekana kushindwa kujieleza na kujibu mwaswali ya wasikilizaji. Kujichanganya huku kulipelekea kamishna wa madini kuutangazia uma kuwa kuna baadhi ya makampuni makubwa ya madini yanachimba madini bila kuwa na mkataba.
Mtazamaji mmoja alimuulizwa kutakaka kujua ni kampuni gaini inachimba madini bila mkataba, kamisha wa madini akatamka kuwa ni Tanzania one, hawa wana lesini lakini hawana mkataba.
Swali, Tanzania one inamilikiwa na nani, na kwanini haina mkataba?