Tanzania nzima inaweza msahau Hayati Magufuli ila sio Tabora

Miaka 60 ya utawala wa chama chake watu hawana maji. Na yanapoletwa hawana 2000 za kila wiki ili waunganishiwe maji.
Miaka 60 ya kujitawala mwananchi anaona ni ajabu kupata maji.
Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiria.

Amandla...
Wewe kula kulala unajua nini katika uchumi wa dunia. Subiri upate chakula cha mchana then uangalie movie and lastly ukalale.
 
Nimefika Tabora ndugu zangu, nimelia sana baada ya kukumbuka kuwa JPM hayupo tena duniani.

Magufuli, Magufuli, Magufuli, nimekuita mara tatu, najua hunisikii, ila Mungu atakulipa siku ya ufufuo. Ni miaka 60 tangu tupate uhuru, mkoa wa Tabora ulisahaulika sana...hasahasa kwenye huduma muhimu za kijamii.

Awamu zote kabla ya JPM zilipita,bila kuwaletea wana Tabora maji safi na salama. JPM aliwahi kusema, ukiomba mkopo ili upeleke huduma ya maji Tabora, wahisani wanakataa.... JPM aliamua kutumia hela anayokusanya (Kodi) kupeleka maji katika mkoa mkubwa wenye historia iliyotukuka.

Kilichoniliza sio JPM kufa, wala kuleta maji Tabora. Kilichoniliza, kuna bibi mmoja, aliniomba hela 2,000...nikasita kumpatia maana anaonekana ni mlevi. Mimi msabato, ni makosa kumpatia mtu hela akanunue kitu kitakachomuangamiza.

Nikamuuliza ya nini 2000, akanambia "Mjukuu wangu, hii naenda kulipia mkopo wa bomba la maji" Nilishituka, ikabidi nimuite dogo mmoja, alikuwa anapita, nikamuuliza kama kuna mikopo ya hivyo.

Dogo akanambia baada ya maji kufika wilaya ya nzega kipindi cha JPM, changamoto ilikuwa wananchi wengi hawakuwa na uwezo wa kuvuta mabomba ya maji kutoka ziwa Viktoria. Serikali ya wanyonge, kupitia rais Magufuli akatoa order, kila asiyenauwezo wa kuvuta bomba la maji, atakopeshwa, atakuwa analipa 2000 kila wiki mpaka itakapo timia 40,000.

Bibi yule nilimpa 2000. Sasa leo Napita zangu mitaa ile yule bibi ananiletea risti inayodhibitisha kalipia maji. Nilishangaa sana. Nilimpa 20,000 ili akalipe deni lote. Baada ya kufika, napolalaga, nilianza kulia baada ya kukumbuka kuwa JPM hayupo tena duniani.

Tabora nayoifahamu mimi, leo ndoo mbili shilingi 50? Miaka 60 bila maji, Magufuli akaleta maji.

AsanteMagufuli- Kweli vizuri havidumu
Wenziontulisha saau alale pema peponi...endelea kumkumbuka kwa niaba ya walipata maji
 
Nimefika Tabora ndugu zangu, nimelia sana baada ya kukumbuka kuwa JPM hayupo tena duniani.

Magufuli, Magufuli, Magufuli, nimekuita mara tatu, najua hunisikii, ila Mungu atakulipa siku ya ufufuo. Ni miaka 60 tangu tupate uhuru, mkoa wa Tabora ulisahaulika sana...hasahasa kwenye huduma muhimu za kijamii.

Awamu zote kabla ya JPM zilipita,bila kuwaletea wana Tabora maji safi na salama. JPM aliwahi kusema, ukiomba mkopo ili upeleke huduma ya maji Tabora, wahisani wanakataa.... JPM aliamua kutumia hela anayokusanya (Kodi) kupeleka maji katika mkoa mkubwa wenye historia iliyotukuka.

Kilichoniliza sio JPM kufa, wala kuleta maji Tabora. Kilichoniliza, kuna bibi mmoja, aliniomba hela 2,000...nikasita kumpatia maana anaonekana ni mlevi. Mimi msabato, ni makosa kumpatia mtu hela akanunue kitu kitakachomuangamiza.

Nikamuuliza ya nini 2000, akanambia "Mjukuu wangu, hii naenda kulipia mkopo wa bomba la maji" Nilishituka, ikabidi nimuite dogo mmoja, alikuwa anapita, nikamuuliza kama kuna mikopo ya hivyo.

Dogo akanambia baada ya maji kufika wilaya ya nzega kipindi cha JPM, changamoto ilikuwa wananchi wengi hawakuwa na uwezo wa kuvuta mabomba ya maji kutoka ziwa Viktoria. Serikali ya wanyonge, kupitia rais Magufuli akatoa order, kila asiyenauwezo wa kuvuta bomba la maji, atakopeshwa, atakuwa analipa 2000 kila wiki mpaka itakapo timia 40,000.

Bibi yule nilimpa 2000. Sasa leo Napita zangu mitaa ile yule bibi ananiletea risti inayodhibitisha kalipia maji. Nilishangaa sana. Nilimpa 20,000 ili akalipe deni lote. Baada ya kufika, napolalaga, nilianza kulia baada ya kukumbuka kuwa JPM hayupo tena duniani.

Tabora nayoifahamu mimi, leo ndoo mbili shilingi 50? Miaka 60 bila maji, Magufuli akaleta maji.

AsanteMagufuli- Kweli vizuri havidumu
Sifia, lakini ukweli uwe wazi. Maji kutoka ziwa victoria mradi si kwa fedha ya ndani, ni mkopo wa zaidi ya 600b toka India, (rejea hotuba ya Magufuli akiwa Tabora wakati wa uzinduzi wa mradi huo). Ujio wa maji hayo hakuna ahueni kwa mkoa wa Tabora, gharama yake ni mara mbili ya maji yanayo zalishwa toka mabwawa ya Kazima na Igombe. Mamlaka za maji zina madeni makubwa kwa msimamizi wa mradi huo, KASHIWASA, kwa sababu ya uaghali wa maji wanunuayo. Serikali imezigomea kuanza kutumia bei mpya ilioidhinishwa kuanza July 2020. Mgao wa maji unao ushuhudiwa mkoani Tabora ni kuendelea kutumia vyanzo vya maji vya zamani na kukwepa hayo ya mv Victoria kwa gharama yake.
 
Upo sahihi mkuu,
Rais haleti maji ila kodi za wananchi zinaleta maji.

JPM alikubali kutukanwa na kuambiwa anachukua kodi kwa nguvu ili apate hela ya kupeleka maji Tabora.

Kukusanya kodi kwa wafanyabiashara waliozoea kusamehewa na kukwepa kodi sio mchezo mkuu.

Si unajua kuna baadhi ya wafanyabiashara walihamishia biashara zao nje ya nchi ili kukwepa kodi? Akiwepo tajiri Freeman Mbowe wa Moshi?

Miaka yote ya uhuru, kodi imekusanywa, Tabora ni miongoni mwa mikoa inayotoa mapato makubwa sana, mbona maji hayakuwepo?

JPM will forever live in peoples's hearts.
Mtajiliwaza Sana lakini yamepita...ni muda wenu Sasa kulalamikalalamika Kama walivyokuwa wapinzani kipindi kile...kinachonishangaza hivi Sasa wote wanaokosoa utawala wa mama ni wana ccm...utawagundua tu maana lazima watataja jina la marahemu..mtanuna mpaka mtaumwa Kama musiba...nasikia anapigania afya yake
 
Upo sahihi mkuu,
Rais haleti maji ila kodi za wananchi zinaleta maji.

JPM alikubali kutukanwa na kuambiwa anachukua kodi kwa nguvu ili apate hela ya kupeleka maji Tabora.

Kukusanya kodi kwa wafanyabiashara waliozoea kusamehewa na kukwepa kodi sio mchezo mkuu.

Si unajua kuna baadhi ya wafanyabiashara walihamishia biashara zao nje ya nchi ili kukwepa kodi? Akiwepo tajiri Freeman Mbowe wa Moshi?

Miaka yote ya uhuru, kodi imekusanywa, Tabora ni miongoni mwa mikoa inayotoa mapato makubwa sana, mbona maji hayakuwepo?

JPM will forever live in peoples's hearts.
Ur ..may be only
 
Ilikuwa unampenda, ukisema ni wachache, unajidanganya. Kama wanao mchukia wapo tu jf, ni aina gani ya hao watu, wanawakilisha aina gani ya kundi la watu, na kwa nchi nzima wako wangapi? Kuwatawla wajinga ni rahisi sana, na hakuna mwana jf ambaye hakupita shule, chini kabisa ni darasa la 7.
 
You Must be wrong bro, ungesema hivi Tanzania nzima Inaweza Kumsahau ila sio kwa Wapinzani na na waliokataa Kuunga mkono Juhudi.
Kila mtanzania atamkumbuka kwa aliyomkuta chini ya utawala ile.
1. Rejea waathirika was tetemeko bukoba
2. Familia za Azory Gwand,Ben,vm saanane,Akwirina,Lissu na viongozi was vyama vya upinzani
Nao watakumbuka daima
 
Upo sahihi mkuu,
Rais haleti maji ila kodi za wananchi zinaleta maji.

JPM alikubali kutukanwa na kuambiwa anachukua kodi kwa nguvu ili apate hela ya kupeleka maji Tabora.

Kukusanya kodi kwa wafanyabiashara waliozoea kusamehewa na kukwepa kodi sio mchezo mkuu.

Si unajua kuna baadhi ya wafanyabiashara walihamishia biashara zao nje ya nchi ili kukwepa kodi? Akiwepo tajiri Freeman Mbowe wa Moshi?

Miaka yote ya uhuru, kodi imekusanywa, Tabora ni miongoni mwa mikoa inayotoa mapato makubwa sana, mbona maji hayakuwepo?

JPM will forever live in peoples's hearts.
Ndy maana tulisema nchi iliongozwa na washamba.
 
Mm siyo public figure, umri wa dikteta na wangu ni mbingu na ardhi one day nitakuwa public figure
Unajuaje utafika kwenye umri huo wakati uko hatarini hivyo na magonjwa kama covid 19 na ukimwi kwa umalaya wako huo??
 
Hivi Rais ndio analeta sehemu maji?

Haya mambo ndio yanatufanya tushinikize katiba mpya

"UGATUZI" watu wapate maendeleo wanayoyataka kwa kupanga wenyewe sio kupangiwa na yeyote

Maana watu ndio walipa kodi sio mtu anaamka kisa yeye ni Rais anajenga uwanja wa ndege kwao na Hifadhi ya wanyama

Hivi wananchi wa Chato kipaumbele chao ni Uwanja wa ndege na Mbuga ya wanyama?

Ndio rais ana Amua mkuu inchi ngumu hii
 
Wewe kula kulala unajua nini katika uchumi wa dunia. Subiri upate chakula cha mchana then uangalie movie and lastly ukalale.

Uchumi wa dunia unahusiana nini na Nzega, Isikizya, Tabora, Urambo, Kaliua, Igunga, Sikonge na vijiji vinavyozunguka miji hii kukosa maji ya uhakika toka tupate uhuru? Au miaka sitini baada ya uhuru tunajengewa vyoo na USAID katika shule zetu? Au tunazungumzia matundu ya vyoo miaka sitini baada ya uhuru badala ya shule ( utajengaje shule isio na vyoo vya kuaminika au utatumiaje majengo kama shule yasio na vyoo vyakuaminika) ?

Tatizo ni kubwa sana kama miaka 60 baada ya uhuru kuna watu kama wewe ambao wanadhani ni wajibu wa mabeberu kutupatia maji.

Amandla....
 
Back
Top Bottom