Tanzania now catches up with Kenya in infrastructure projects

Ukweli gani? Bagamoyo is dead na hata nyinyi mnajua hiyo, LPG is a dream that will never come to pass. Oil pipeline is hopeless.
Delloite ni kampuni kubwa la kidunia linajua zaidi kuliko sisi wote hapa. Achana na hayo makosa yangu ya kimaandishi na kihesabu jikite zaidi katika hii report ya Delloite. Hahahaha. Mnaanza kuwakosoa hata Delloite kwasababu ya kuwaambia ukweli?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata upige nduru na uruke juu ukweli utabaki kuwa your SGR is full loan. Can you remember how world Bank and IMF exposed you about your economy growth when you used to cheat us here that you are growing at 7% ? That's the same way we are going to expose you.

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na Economic Growth
1)Tanzania $60B
2)Kenya $36B
Hahaha, Hahahaha, hahaha
 
Sasa hayo mtajuana na Delloite, ila sisi tunajua kwamba
1)Tanzania $60B
2)Kenya $36B
Hadi hapo tutakapopata taarifa tofauti na hii toka katika "Credible soureces" , ila kwasasa Tanzania baba lao.
Ok let's just do simple mathematics which I know you are not good at. GDP will be released in March and I expect the gap between Kenya and Tanzania to be less than $20b. According to Dalloite, you had projects worth $60b while Kenya had $36b. That's a staggering difference of $24b and right now the gap between Kenya and Tanzania is $39b in terms of GDP. So we expect you to reduce the gap by $24b in 2019 and reduce that gap to $15b.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok let's just do simple mathematics which I know you are not good at. GDP will be released in March and I expect the gap between Kenya and Tanzania to be less than $20b. According to Dalloite, you had projects worth $60b while Kenya had $36b. That's a staggering difference of $24b and right now the gap between Kenya and Tanzania is $39b in terms of GDP. So we expect you to reduce the gap by $24b in 2019 and reduce that gap to $15b.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo waambie Delloite waliotoa hiyo ripoti. Delloite ni kampuni linaloaminika duniani kote, Delloite anasema.
1)Tanzania $60B
2)Kenya $36B
Tanzania ni baba lao katika ukanda wote huu. Mwaka huu tutawapa tena chakula cha bure kwasababu mumepata kisingizio cha "locust". Failed State.
 
Delloite ni kampuni kubwa la kidunia linajua zaidi kuliko sisi wote hapa. Achana na hayo makosa yangu ya kimaandishi na kihesabu jikite zaidi katika hii report ya Delloite. Hahahaha. Mnaanza kuwakosoa hata Delloite kwasababu ya kuwaambia ukweli?.
Delloite sio Mungu. Delloite pia wanaweza fanya makosa.
 
Hata Delloite wanajua hilo, lakini bado wanasema
1)Tanzania $60B
2)Kenya $36B
Tanzania baba laoo
Ni kama Marekani walivyosema kuwa Guaido ndio rais wa Venezuela na sisi tukubali tu kwa sababu Marekani ni credible source.
 
Delloite sio Mungu. Delloite pia wanaweza fanya makosa.
Hata NASA walikataa kukubaliana na maamuzi ya Tume ya Chibukati ya kumtangaza Uhuru Kenyatta kuwa ndio rais wa Kenya, walienda mbali zaidi kwa kumuapisha Raila kama rais wao, Je nani sasa hivi ni rais?.
Official announcements do not need approval From anybody, how it stands:
Tanzania $60B
Kenya $36B
 
Hata NASA walikataa kukubaliana na maamuzi ya Tume ya Chibukati ya kumtangaza Uhuru Kenyatta kuwa ndio rais wa Kenya, walienda mbali zaidi kwa kumuapisha Raila kama rais wao, Je nani sasa hivi ni rais?.
Official announcements do not need approval From anybody, how it stands:
Tanzania $60B
Kenya $36B
Delloite si official. Delloite ni kampuni ya kibinafsi. Sitabishana na wazimu.
 
Hivi hiyo ya kwenu ni SGR au SI-GA-RA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inatoa moshi eti?
tapatalk_1580637488640.jpeg
tapatalk_1577090471103.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom