Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 2,658
- 3,035
Ndugu zanguni, uzalendo, nafikiri hiyo ndiyo charisma, kila mtu anao kama mimi na wewe sasa hivi tunapotoa mawazo yetu. Sisi hapa is true tunaweza tukawa wazalendo kwa sasa kwa hali tuliyonayo. Binadamu is guilty, naturally, halafu kuna kitu kinaitwa temptation. Uzalendo unakwishaje; ni pale mtu anaona kuna loophole kuwa anaweza kufaidika hata kwa haramu bila madhara yoyote. Kama watu ni wajinga basi wenye akili ndiyo hufaidika. Waulize waasia wote au westerner wote (I mean wote) wanakuja Africa kuchuma kwetu, moja ya sababu kubwa ni kuwa sisi tumelala. Yaani hatuna elimu, hata wale wenye elimu ni rahisi kununuliwa kwa sababu wana uelewo mkubwa kuliko watu wao, lakini wnauelewo mdogo kuliko hao foreigners.
Waasia au Westerners wanaokuja huku wanataka kuonana na waziri au director au Rais, kwa nini? Unajua jibu. Sasa kama sisi tungekuwa tumelimika wengi na ile quality education ingekuwa vigumu sana viongozi wetu kupuuza sheria. Sheria zinapuuzwa kwa sababu sheria hizo wanazijua viongozi wengi, wengi wao wana elimu, na wale wananchi weng hawajui sheria. Hivi tunajua kuwa gari likipinduka watu wakifariki inabidi walipwe insurance, hivi kuna wangapi wa hawa wanachi ambao huwa wanadai insurance!! mfano mdogo sana huu, ambao unaonyesha watu wanasukumwa tu bila ya elimu na wanakubali kila kitu.
Unaongelea kuwa wasomi ndiyo walifanya mikataba, je, hivi wewe unajua nchi za Africa, kama Tanzania kuna gap kiasi gani kiongozi na mwananchi wa kawaida. Hivi jamani Tanzania ya sasa ina middle class? Mimi naona tu kuna walalahoi na viongozi wao. Walalahoi ndiyo wamechanganyana humo humo wenye elimu ambao ni wachache na wale wasio na elimu wengi. Hiyo mikataba husainiwa tu na sisi aidha kuarifiwa magazetini au la baada ya kutokea scandal. Semeni jamani ile ya IPTL, ya Mkapa kupewa million tatu dollar, nani alijua? NSSF, nk nk Hata ile ya IPTL ingekuwa siyo yule mzungu kuandika ule ushahidi hatungejua.
Elimu kuzungumziwa ni neno pana sana, ubora na hata dicipline, je elimu yetu inatufaa, tunahitaji exchange na wenzetu? Hata wachina baada kujifungia miaka zaidi ya 50 ilibidi wafungue ili wafanye exchange, akili zao zinafumbuka. Elimu yetu haitoshi.
Clinton ni msomi sana alikuwa professa, blair kasoma, na wanaeleweka. Watu wao wamesoma na wako informed. Hata kama sisi watu wa nchi hii wangekuwa informed basi tungekuwa mbali.
Tuache ubishi, hasa nyie mlie majuu mnajua wazi kuwa huko mliko mtiririko wa information upo babu kubwa, na mtu ambaye anazembea hana nafasi.
Solution is massive investment in education, including adult education. Access to information.
Education is liberation of mind, information is power!
Waasia au Westerners wanaokuja huku wanataka kuonana na waziri au director au Rais, kwa nini? Unajua jibu. Sasa kama sisi tungekuwa tumelimika wengi na ile quality education ingekuwa vigumu sana viongozi wetu kupuuza sheria. Sheria zinapuuzwa kwa sababu sheria hizo wanazijua viongozi wengi, wengi wao wana elimu, na wale wananchi weng hawajui sheria. Hivi tunajua kuwa gari likipinduka watu wakifariki inabidi walipwe insurance, hivi kuna wangapi wa hawa wanachi ambao huwa wanadai insurance!! mfano mdogo sana huu, ambao unaonyesha watu wanasukumwa tu bila ya elimu na wanakubali kila kitu.
Unaongelea kuwa wasomi ndiyo walifanya mikataba, je, hivi wewe unajua nchi za Africa, kama Tanzania kuna gap kiasi gani kiongozi na mwananchi wa kawaida. Hivi jamani Tanzania ya sasa ina middle class? Mimi naona tu kuna walalahoi na viongozi wao. Walalahoi ndiyo wamechanganyana humo humo wenye elimu ambao ni wachache na wale wasio na elimu wengi. Hiyo mikataba husainiwa tu na sisi aidha kuarifiwa magazetini au la baada ya kutokea scandal. Semeni jamani ile ya IPTL, ya Mkapa kupewa million tatu dollar, nani alijua? NSSF, nk nk Hata ile ya IPTL ingekuwa siyo yule mzungu kuandika ule ushahidi hatungejua.
Elimu kuzungumziwa ni neno pana sana, ubora na hata dicipline, je elimu yetu inatufaa, tunahitaji exchange na wenzetu? Hata wachina baada kujifungia miaka zaidi ya 50 ilibidi wafungue ili wafanye exchange, akili zao zinafumbuka. Elimu yetu haitoshi.
Clinton ni msomi sana alikuwa professa, blair kasoma, na wanaeleweka. Watu wao wamesoma na wako informed. Hata kama sisi watu wa nchi hii wangekuwa informed basi tungekuwa mbali.
Tuache ubishi, hasa nyie mlie majuu mnajua wazi kuwa huko mliko mtiririko wa information upo babu kubwa, na mtu ambaye anazembea hana nafasi.
Solution is massive investment in education, including adult education. Access to information.
Education is liberation of mind, information is power!