Tanzania ni yetu sote na tusifike mahali vyeo vyetu na nafasi kuwafanya watu wajisikie wakimbizi ama wasio na haki na taifa lao.
Mimi ni mtanzania kitovu changu kipo tanzania na nitafia tanzania hiyo ndio silaha pekee kwa kila mwenye pumzi ndani ya taifa hili.
Wapo viongozi wanataka kufanya watu eti wajione wao sio watanzania, hawana haki hawana chakusema isipokuwa wao tu jambo ambalo sii kweli.
Wanasahau jambo moja kubwa kuwa kiongozi ni processes ambayo mwanadam hawezi ikamilisha bila Neema za Mungu. Wanasahau kuna watu katikati yao wanaakili kuliko hata yeye anajiita kiongozi lakini hawakuwa viongozi. Wanasahau ata shuleni kulikuwa na vipanga zaidi yao ila uwenda kutokana na hali ya maisha wao walishindwa kwenda mbele au hawakubaatika kufika pale wamefika but wapo vizuri kuliko wao.
Usingiz huu wa madaraka kwa viongozi wa kitaifa huwafanya kuwanyanyasa watu wao nakufikia hatuwa kuwafanya wajione wao sio wenye kitu mbele ya taifa lao pendwa na hili hufanya wao kuwa juu wakati walio wachaguwa wakiwa chini.
Wapo ambao hujiona wanahaki yakula cake yataifa peke yao na familia zao na hawa ujeuka kuwa mabeberu mabinafsi
Wapo wanao ona akuna mwenye akili isipokuwa yeye na hawa ujeuka kuwa makatili na wasio furahia lolote lakujenga toka kwa wengine isipokuwa kwao hawa uwa mabeberu wa fikra za watu wake na mara nyingi nihatari kwa ustawi wa watu wa taifa lake kwakuwa ana amini kile ana amini.
Wapo wano ona maliyote ya taifa ni yake na mara nyingi hawa kile kipo kizuri wanataka kwanza wao na wengine watafuwata na hapa ndipo mafisadi utokea.
Kitu ambacho viongozi hawa hawana na utashi wakujuwa nafasi aliopo inaitaji mtu mmoja tu ktktaifa na ili uyo mtu apayikane basi watu walikaa na kuchambuwa mengi wakampa nafasi sii kwamba ndio bora peke yake hapana ila kwakuwa anaitajika mtu mmoja tu naa kwa neema yeye wamempa kwa mapatano na watu wengine uwenda wazuri kuliko yeye hata hawakupata...
Shida inakuja akisha pata anasahu yote nakuwa peke yake nakuanza kupiga mziki ambao kwakuwa yeye ndoe mpiga ngoma,jitaa,dramss,piano,muimbaji yeye hushuudia aina ya mziki atawadikilizaji wanashindwa kuelewa amepata wapi melods zake kwakweli anasikitisha. Na mbaya hurudi kwa mashabiki nakujisifia ngoma anayopiga mwenyewe na kama hayupo smart mashabiki wanaweza kuwa wakipiga chereko zaakutosha pasipo sikia sauti toka toka toka ujiwi kuimba..
Ukiwa kiongozi na ukitaka kuwa kiongoz wa watu uishi ktk maisha yao kumbuka watu wako yani amini wao ndio watu wako wanakufanya uwe hapo jisikie uchungu wao na uwe mwenye kusikia maumivu yao...
Msikilize hata mtoto uwenda akawa na jambo kubwa kuliko wewe.
Kiongozi wa watu anawezakuwa yule mwenye kujali sio kwa vipande vipande ilabkwa ujumla wao.
Ukiwa kiongozi lazima uwe natabia yakuondoa hisia mbaya kwa wale unawaongoz anaukumbuke pale walipo ni nguvu na jasho lao na wewe wape shavu wazidi kuwa namaisha mazuri...
Usisome sheria nakushindwa itafasiri ita watu wakusaidie maana zipo sheria mbadala kuliko kile unakiwaza.
Kama wewe ni last say aisee chunga sana kauli zako maana watu watatekeleza mwanzo mwisho na kwa kuws wewe ni last say basi hakuna kurudi nyuma na hapo ndipo panaya
.
Kama wew upo kiongoz wa kati basi heshimu wengine wala usipende sana watu wajuwe una mtu juu maana ukifanya hivyo unajichimbia kaburi lakujizika mwenyewe ktk uongozi.
Taifa hili ni letu na kiukweli hatuwezi kuwa viongozi ila wale viongozi tuna waheshim sana na tunawapend hata kama wao hawatupendi hiyo ni sheria ya Mungu na marabnyingi ulilpa.
Nawashangaa wanao pambana na viongozi na ona wamesahau kutii bika shuruti na mwisho watapata taji.
Sisi tutaheshim mamlaka zilizopo hata kama watatuona jatufai. Kumbukumbu zinasema walikuwepo viongozi walio itikisa dunia na wengine wakawa Mungu ila leo hawapo tena wala sehem yao aijulikani. Kwanini uwe mpweke kwa taifa lako na ni kwanin umdharau mwingine
Tujifunze kwa kukumbuka hapo tena na sisi ni nani....
Taifa langu Tanzania
Mimi ni mtanzania kitovu changu kipo tanzania na nitafia tanzania hiyo ndio silaha pekee kwa kila mwenye pumzi ndani ya taifa hili.
Wapo viongozi wanataka kufanya watu eti wajione wao sio watanzania, hawana haki hawana chakusema isipokuwa wao tu jambo ambalo sii kweli.
Wanasahau jambo moja kubwa kuwa kiongozi ni processes ambayo mwanadam hawezi ikamilisha bila Neema za Mungu. Wanasahau kuna watu katikati yao wanaakili kuliko hata yeye anajiita kiongozi lakini hawakuwa viongozi. Wanasahau ata shuleni kulikuwa na vipanga zaidi yao ila uwenda kutokana na hali ya maisha wao walishindwa kwenda mbele au hawakubaatika kufika pale wamefika but wapo vizuri kuliko wao.
Usingiz huu wa madaraka kwa viongozi wa kitaifa huwafanya kuwanyanyasa watu wao nakufikia hatuwa kuwafanya wajione wao sio wenye kitu mbele ya taifa lao pendwa na hili hufanya wao kuwa juu wakati walio wachaguwa wakiwa chini.
Wapo ambao hujiona wanahaki yakula cake yataifa peke yao na familia zao na hawa ujeuka kuwa mabeberu mabinafsi
Wapo wanao ona akuna mwenye akili isipokuwa yeye na hawa ujeuka kuwa makatili na wasio furahia lolote lakujenga toka kwa wengine isipokuwa kwao hawa uwa mabeberu wa fikra za watu wake na mara nyingi nihatari kwa ustawi wa watu wa taifa lake kwakuwa ana amini kile ana amini.
Wapo wano ona maliyote ya taifa ni yake na mara nyingi hawa kile kipo kizuri wanataka kwanza wao na wengine watafuwata na hapa ndipo mafisadi utokea.
Kitu ambacho viongozi hawa hawana na utashi wakujuwa nafasi aliopo inaitaji mtu mmoja tu ktktaifa na ili uyo mtu apayikane basi watu walikaa na kuchambuwa mengi wakampa nafasi sii kwamba ndio bora peke yake hapana ila kwakuwa anaitajika mtu mmoja tu naa kwa neema yeye wamempa kwa mapatano na watu wengine uwenda wazuri kuliko yeye hata hawakupata...
Shida inakuja akisha pata anasahu yote nakuwa peke yake nakuanza kupiga mziki ambao kwakuwa yeye ndoe mpiga ngoma,jitaa,dramss,piano,muimbaji yeye hushuudia aina ya mziki atawadikilizaji wanashindwa kuelewa amepata wapi melods zake kwakweli anasikitisha. Na mbaya hurudi kwa mashabiki nakujisifia ngoma anayopiga mwenyewe na kama hayupo smart mashabiki wanaweza kuwa wakipiga chereko zaakutosha pasipo sikia sauti toka toka toka ujiwi kuimba..
Ukiwa kiongozi na ukitaka kuwa kiongoz wa watu uishi ktk maisha yao kumbuka watu wako yani amini wao ndio watu wako wanakufanya uwe hapo jisikie uchungu wao na uwe mwenye kusikia maumivu yao...
Msikilize hata mtoto uwenda akawa na jambo kubwa kuliko wewe.
Kiongozi wa watu anawezakuwa yule mwenye kujali sio kwa vipande vipande ilabkwa ujumla wao.
Ukiwa kiongozi lazima uwe natabia yakuondoa hisia mbaya kwa wale unawaongoz anaukumbuke pale walipo ni nguvu na jasho lao na wewe wape shavu wazidi kuwa namaisha mazuri...
Usisome sheria nakushindwa itafasiri ita watu wakusaidie maana zipo sheria mbadala kuliko kile unakiwaza.
Kama wewe ni last say aisee chunga sana kauli zako maana watu watatekeleza mwanzo mwisho na kwa kuws wewe ni last say basi hakuna kurudi nyuma na hapo ndipo panaya
.
Kama wew upo kiongoz wa kati basi heshimu wengine wala usipende sana watu wajuwe una mtu juu maana ukifanya hivyo unajichimbia kaburi lakujizika mwenyewe ktk uongozi.
Taifa hili ni letu na kiukweli hatuwezi kuwa viongozi ila wale viongozi tuna waheshim sana na tunawapend hata kama wao hawatupendi hiyo ni sheria ya Mungu na marabnyingi ulilpa.
Nawashangaa wanao pambana na viongozi na ona wamesahau kutii bika shuruti na mwisho watapata taji.
Sisi tutaheshim mamlaka zilizopo hata kama watatuona jatufai. Kumbukumbu zinasema walikuwepo viongozi walio itikisa dunia na wengine wakawa Mungu ila leo hawapo tena wala sehem yao aijulikani. Kwanini uwe mpweke kwa taifa lako na ni kwanin umdharau mwingine
Tujifunze kwa kukumbuka hapo tena na sisi ni nani....
Taifa langu Tanzania