kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,288
- 12,579
Huwezi kuchanganya pamoja watu wanaoongeka idadi na wanyamapori wanaongezeka idadi kwenye eneo moja lisiloongezeka ukubwa milele. Kuendelea kufanya hivyo ni kuminya uhuru wa watu na wanyama hao.
Kama ilikuwa sahihi miaka mingi iliyopita haiwezi kuwa sawa Sasa na hata kesho na kesho kutwa, kwakuwa hata idadi na tabia za watu hao na wanyama hao zimebadilika sana, sio zile walizokuwa nazo wakati uwamuzi wa kuishi pamoja na wanyama kwenye eneo ulipofanywa.
Mmasai wa Leo anakula ubwabwa, anajenga nyumba za kudumu, anatibiwa Hospitali na anapeleka watoto shule.
Anaesema wamasai wasihame ngorongoro anawakosea heshima wamasai, wanyama na watanzania wote kwa wakati mmoja, atafakari.
Tanzania ni kubwa, sehemu tupu ya kuwapeleka tunapo bado, tuwapeleke TU ili wanyama na watu hao wawe huru kama wengine.
Kama ilikuwa sahihi miaka mingi iliyopita haiwezi kuwa sawa Sasa na hata kesho na kesho kutwa, kwakuwa hata idadi na tabia za watu hao na wanyama hao zimebadilika sana, sio zile walizokuwa nazo wakati uwamuzi wa kuishi pamoja na wanyama kwenye eneo ulipofanywa.
Mmasai wa Leo anakula ubwabwa, anajenga nyumba za kudumu, anatibiwa Hospitali na anapeleka watoto shule.
Anaesema wamasai wasihame ngorongoro anawakosea heshima wamasai, wanyama na watanzania wote kwa wakati mmoja, atafakari.
Tanzania ni kubwa, sehemu tupu ya kuwapeleka tunapo bado, tuwapeleke TU ili wanyama na watu hao wawe huru kama wengine.