Kumbe Kenya mnatisha kwa kuwatumia waganga. It is an issue of Demand vs SupplyUganga, Tanzania mnatisha kwa uganga. Kenya kila eneo kuna mabango ya kupromote waganga toka sumbawanga, inaonekana mme specialize on this. Kenya pia wanatisha kwa utapeli, its not a good thing but I guess we are being honest here.