hayaland
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 712
- 399
:baby:Utafiti uliofanyika na wataalam toka marekani wametoa taarifa yao na nchi yetu imekuwa ni nchi ya pili Afrika mashariki kwa rushwa ikitanguliwa na UGANDA,uku kenya iliyokuwa ni kinala wa rushwa katika ukanda wa huu ni nchi ya tatu.Burundi ni ya nne na mwisho ni nchi ya RWANDA.kutokana na hali hii je watanzania tunajifunza nini?