Tanzania ni nchi ya masihara

Ngambo Ngali

JF-Expert Member
Apr 17, 2009
3,517
1,360
Kupitia Tangazo la serikali GN NO 185, 186 na 189, serikali imefanya mabadiliko kwenye ada inayolipwa na watu wanaotaka huduma ya vibali vya Makazi ( residence permits),visa, ada ya maombi ya uraia na vibali vya kuishi.

Kinachonishangaza kwenye upande wa huduma za makazi kuna category nne:

Class A: Wawekezaji wakubwa kwenye makampuni ya madini, kilimo, uvuvi na viwanda
Class A: Peasants (wakulima wadogo)
Class B: Wafanyakazi kwenye viwanda, makampuni Binafsi,Mashirika ya umma,Uvuvi, Madini, usafirishaji na fani ya muziki
Class C: Wamisionari,Watafiti na wanafunzi

Masihara yanakuja pale unapoambiwa kuwa peasant anatoka kwao kuja kufanya kazi Tanzania na sisi tunatoa kibali cha makazi kwa mtu kama huyo.

Ni sawa kuleta peasants toka nje kuja kufanya kazi hapa kwetu?
 
kuna siku viongozi weengi saa wa hii nchi watafungwa baada ya kufilisiwa.labda hata kunyongwa.
kama yametokea tunisia na egypt tanzania ni suala la mdatu.yatakuaja.
 
Kupitia Tangazo la serikali GN NO 185, 186 na 189, serikali imefanya mabadiliko kwenye ada inayolipwa na watu wanaotaka huduma ya vibali vya Makazi ( residence permits),visa, ada ya maombi ya uraia na vibali vya kuishi.

Kinachonishangaza kwenye upande wa huduma za makazi kuna category nne:

Class A: Wawekezaji wakubwa kwenye makampuni ya madini, kilimo, uvuvi na viwanda
Class A: Peasants (wakulima wadogo)
Class B: Wafanyakazi kwenye viwanda, makampuni Binafsi,Mashirika ya umma,Uvuvi, Madini, usafirishaji na fani ya muziki
Class C: Wamisionari,Watafiti na wanafunzi

Masihara yanakuja pale unapoambiwa kuwa peasant anatoka kwao kuja kufanya kazi Tanzania na sisi tunatoa kibali cha makazi kwa mtu kama huyo.

Ni sawa kuleta peasants toka nje kuja kufanya kazi hapa kwetu?

Hata mimi ilibidi nisome mara mbilimbili maana sikuamini macho yangu!

Niliiweka kiporo nije kuuliza wahusika wanipe undani zaidi wa hekma iliyoongoza uamuzi huo.
 
Hata mimi ilibidi nisome mara mbilimbili maana sikuamini macho yangu!

Niliiweka kiporo nije kuuliza wahusika wanipe undani zaidi wa hekma iliyoongoza uamuzi huo.

WOS, hakuna atakayepuja jibu na ukipewa hutamuelewa,

Nilisoma kwa kiswahili nikaona wakulima wadogo nikadhani wamekosea, gazeti la kiingereza wameandika peasant nikapata goose pimples.

Tujiulize seriously, hivi huku juu viongozi wanafikiria kweli au wamechoka. Usikute mtu kapewa mamilioni kutengeneza hii GN akafanya Copy and Paste toka South Africa.
 
Back
Top Bottom