Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Kupitia Tangazo la serikali GN NO 185, 186 na 189, serikali imefanya mabadiliko kwenye ada inayolipwa na watu wanaotaka huduma ya vibali vya Makazi ( residence permits),visa, ada ya maombi ya uraia na vibali vya kuishi.
Kinachonishangaza kwenye upande wa huduma za makazi kuna category nne:
Class A: Wawekezaji wakubwa kwenye makampuni ya madini, kilimo, uvuvi na viwanda
Class A: Peasants (wakulima wadogo)
Class B: Wafanyakazi kwenye viwanda, makampuni Binafsi,Mashirika ya umma,Uvuvi, Madini, usafirishaji na fani ya muziki
Class C: Wamisionari,Watafiti na wanafunzi
Masihara yanakuja pale unapoambiwa kuwa peasant anatoka kwao kuja kufanya kazi Tanzania na sisi tunatoa kibali cha makazi kwa mtu kama huyo.
Ni sawa kuleta peasants toka nje kuja kufanya kazi hapa kwetu?
Kinachonishangaza kwenye upande wa huduma za makazi kuna category nne:
Class A: Wawekezaji wakubwa kwenye makampuni ya madini, kilimo, uvuvi na viwanda
Class A: Peasants (wakulima wadogo)
Class B: Wafanyakazi kwenye viwanda, makampuni Binafsi,Mashirika ya umma,Uvuvi, Madini, usafirishaji na fani ya muziki
Class C: Wamisionari,Watafiti na wanafunzi
Masihara yanakuja pale unapoambiwa kuwa peasant anatoka kwao kuja kufanya kazi Tanzania na sisi tunatoa kibali cha makazi kwa mtu kama huyo.
Ni sawa kuleta peasants toka nje kuja kufanya kazi hapa kwetu?