Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,007
- 9,873
Jarida la Global Innovation Index limeionyesha Tanzania kuwa nchi ya 88 katika ugunduzi kwa mwaka 2020. Jarida hilo linatolewa na World Intellectual Property Organization, WIPO.
Tanzania imekuwa ni nchi ya pili kwa Afrika Mashariki, ya kwanza ikiwa ni Kenya ambayo imeshika nafasi ya 86. Rwanda ni ya 91 na Uganda imekuwa ni nchi ya 114
Jarida hilo limeiweka Switzerland (Uswizi) kuwa Nchi ya kwanza kwa ugunduzi ikifuatiwa na Sweden na Marekani.
Aidha nchi tatu za mwisho kwa Ugunduzi ni Yemen, Guinea na Myanmar.
Release of the Global Innovation Index 2020: Who Will Finance Innovation?
Tanzania imekuwa ni nchi ya pili kwa Afrika Mashariki, ya kwanza ikiwa ni Kenya ambayo imeshika nafasi ya 86. Rwanda ni ya 91 na Uganda imekuwa ni nchi ya 114
Jarida hilo limeiweka Switzerland (Uswizi) kuwa Nchi ya kwanza kwa ugunduzi ikifuatiwa na Sweden na Marekani.
Aidha nchi tatu za mwisho kwa Ugunduzi ni Yemen, Guinea na Myanmar.
Release of the Global Innovation Index 2020: Who Will Finance Innovation?