Hii n ya lipumbafuCuf zipo kama 4 hivi.
Hii ni cuf ipi?
Prof umeamua kuongea tuu au kweli hajui kwa nchi kama yetu bila maendeleo uzalishaji bidhaa yaani viwanda pamoja na huduma za msingi kama barabara, mahospitali, mashule, nishati .... hatuwezi kuwa na mapesa mifukoni tukakua kiuchumi
"Taarifa ya furaha duniani inasema Tanzania ni nchi ya 4 kutokea chini katika orodha ya nchi zinazokosa furaha na sisi CUF tumekuja na sera ya Tanzania yenye furaha inawezekana" - Prof. Ibrahim Lipumba.
-
"Unaposema uchumi wa nchi unakua na wakati wananchi mifukoni hawana kitu ni kitu ambacho kwa upande wangu si sawa" - Prof. Ibrahim Lipumba, mgombea Urais wa Chama cha Wananchi CUF
Ccm bana,mnatudhiaki kupitia Cuf
"Taarifa ya furaha duniani inasema Tanzania ni nchi ya 4 kutokea chini katika orodha ya nchi zinazokosa furaha na sisi CUF tumekuja na sera ya Tanzania yenye furaha inawezekana" - Prof. Ibrahim Lipumba.
-
"Unaposema uchumi wa nchi unakua na wakati wananchi mifukoni hawana kitu ni kitu ambacho kwa upande wangu si sawa" - Prof. Ibrahim Lipumba, mgombea Urais wa Chama cha Wananchi CUF
Ccm bana,
"Taarifa ya furaha duniani inasema Tanzania ni nchi ya 4 kutokea chini katika orodha ya nchi zinazokosa furaha na sisi CUF tumekuja na sera ya Tanzania yenye furaha inawezekana" - Prof. Ibrahim Lipumba.
-
"Unaposema uchumi wa nchi unakua na wakati wananchi mifukoni hawana kitu ni kitu ambacho kwa upande wangu si sawa" - Prof. Ibrahim Lipumba, mgombea Urais wa Chama cha Wananchi CUF
Na wewe nawe Bi mgen !!!!!!!!!Ilimu aliyo Tupa Prof Paulo hii hapa View attachment 1530116
Na wewe nawe Bi mgen !!!!!!!!!
Nonsense, hivi kwanini hamtaki kutumia ubongo mnatumia ,,,,,,,, kufikiri? Hivi hizi nilizoorodhesha chini wana furaha kuliko Tanzania? Kama ni kweli naona mwisho wa dunia umeishafika.
"Taarifa ya furaha duniani inasema Tanzania ni nchi ya 4 kutokea chini katika orodha ya nchi zinazokosa furaha na sisi CUF tumekuja na sera ya Tanzania yenye furaha inawezekana" - Prof. Ibrahim Lipumba.
-
"Unaposema uchumi wa nchi unakua na wakati wananchi mifukoni hawana kitu ni kitu ambacho kwa upande wangu si sawa" - Prof. Ibrahim Lipumba, mgombea Urais wa Chama cha Wananchi CUF
"Taarifa ya furaha duniani inasema Tanzania ni nchi ya 4 kutokea chini katika orodha ya nchi zinazokosa furaha na sisi CUF tumekuja na sera ya Tanzania yenye furaha inawezekana" - Prof. Ibrahim Lipumba.
-
"Unaposema uchumi wa nchi unakua na wakati wananchi mifukoni hawana kitu ni kitu ambacho kwa upande wangu si sawa" - Prof. Ibrahim Lipumba, mgombea Urais wa Chama cha Wananchi CUF