Uchaguzi 2020 Tanzania ni nchi ya 4 kutokea chini katika orodha ya Nchi Zinazokosa Furaha, CUF tumekuja na sera ya ''Tanzania yenye furaha inawezekana''

Tulishasema Tanzania watu wasio na furaha ni manyani fc ambayo mwenyekiti wenu ni shabiki yao sisi wengine tuko happy
 
Kwani hii N.G.O ina uwezo kweli wa kutulutea furaha ikiwa wao wenyewe hawana furaha
 
Ilimu aliyo Tupa Prof Paulo hii hapa
IMG_20200807_191434_531.jpg
 

"Taarifa ya furaha duniani inasema Tanzania ni nchi ya 4 kutokea chini katika orodha ya nchi zinazokosa furaha na sisi CUF tumekuja na sera ya Tanzania yenye furaha inawezekana" - Prof. Ibrahim Lipumba.
-
"Unaposema uchumi wa nchi unakua na wakati wananchi mifukoni hawana kitu ni kitu ambacho kwa upande wangu si sawa" - Prof. Ibrahim Lipumba, mgombea Urais wa Chama cha Wananchi CUF
Prof umeamua kuongea tuu au kweli hajui kwa nchi kama yetu bila maendeleo uzalishaji bidhaa yaani viwanda pamoja na huduma za msingi kama barabara, mahospitali, mashule, nishati .... hatuwezi kuwa na mapesa mifukoni tukakua kiuchumi
 

"Taarifa ya furaha duniani inasema Tanzania ni nchi ya 4 kutokea chini katika orodha ya nchi zinazokosa furaha na sisi CUF tumekuja na sera ya Tanzania yenye furaha inawezekana" - Prof. Ibrahim Lipumba.
-
"Unaposema uchumi wa nchi unakua na wakati wananchi mifukoni hawana kitu ni kitu ambacho kwa upande wangu si sawa" - Prof. Ibrahim Lipumba, mgombea Urais wa Chama cha Wananchi CUF
Ccm bana,mnatudhiaki kupitia Cuf
 

"Taarifa ya furaha duniani inasema Tanzania ni nchi ya 4 kutokea chini katika orodha ya nchi zinazokosa furaha na sisi CUF tumekuja na sera ya Tanzania yenye furaha inawezekana" - Prof. Ibrahim Lipumba.
-
"Unaposema uchumi wa nchi unakua na wakati wananchi mifukoni hawana kitu ni kitu ambacho kwa upande wangu si sawa" - Prof. Ibrahim Lipumba, mgombea Urais wa Chama cha Wananchi CUF
Ccm bana,
 

"Taarifa ya furaha duniani inasema Tanzania ni nchi ya 4 kutokea chini katika orodha ya nchi zinazokosa furaha na sisi CUF tumekuja na sera ya Tanzania yenye furaha inawezekana" - Prof. Ibrahim Lipumba.
-
"Unaposema uchumi wa nchi unakua na wakati wananchi mifukoni hawana kitu ni kitu ambacho kwa upande wangu si sawa" - Prof. Ibrahim Lipumba, mgombea Urais wa Chama cha Wananchi CUF
Nonsense, hivi kwanini hamtaki kutumia ubongo mnatumia ,,,,,,,, kufikiri? Hivi hizi nilizoorodhesha chini wana furaha kuliko Tanzania? Kama ni kweli naona mwisho wa dunia umeishafika.
Tembea dunia ujifunze sio kukalili kama Kasuku.
Yemen
Somalia
Syria
North Korea
South Sudan
DRC
Iran
Afghanistan
Mozambique
Kenya
Mali
Central Afrique
Venezuela
Pakistan
Bangladesh
Libya
Mauritania
South Africa
Nigeria
New Papua Guinea
East Timor
Haiti
 

"Taarifa ya furaha duniani inasema Tanzania ni nchi ya 4 kutokea chini katika orodha ya nchi zinazokosa furaha na sisi CUF tumekuja na sera ya Tanzania yenye furaha inawezekana" - Prof. Ibrahim Lipumba.
-
"Unaposema uchumi wa nchi unakua na wakati wananchi mifukoni hawana kitu ni kitu ambacho kwa upande wangu si sawa" - Prof. Ibrahim Lipumba, mgombea Urais wa Chama cha Wananchi CUF

Ni kweli kabisa bora mmechagua furaha ya kuwa upande wawatawala maana mngesononeka sana...
 
pelekini ujinga wenu huko... Mwaka huu ruzuku mwisho maana 2020 hamtoshinda hata udiwani
 
Back
Top Bottom