Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninaangalia taarifa ya habari ya ITV,Libya imeendelea sana.Miundombinu safi,maji n.k.Libya ipo kwenye jangwa ila Tanzania licha ya rasilimali zote bado tunasuasua.Nimeumia sana.Jiji la Dar tu linawashinda viongozi,Je ni laana au ni viongozi?
Mbona Nigeria wana mafuta lakini ni choka mbaya?Libya wana petro-dollar wewe... Nyie uchumi wenu wa kuuza korosho, viazi, mchele, dhahabu na bongo fleva... Sio kwamba hatuna raslimali, lakini mafuta is a game changer... subiri uone Kampala baada ya miaka 10. Mafuta ogopa, yanaendesha uchumi wa dunia. Pamba na korosho hamna kitu..
Mbona Nigeria wana mafuta lakini ni choka mbaya?
Rasilimali tunazo za kutosha mkuu, ndo maana hata katika bendera yetu tuna rangi ya njano denoting rasilimali, tatizo kubwa tulilonalo ni utatu wa nafsi za viongozi wetu, yaani (I, Me and My self) nafsi zake hizo tatu zikishiba ndo afanye kazi aliyokabidhiwa. Simply naweza kusema tatizo letu ni ukosefu wa utawala bora
Libya wana petro-dollar wewe... Nyie uchumi wenu wa kuuza korosho, viazi, mchele, dhahabu na bongo fleva... Sio kwamba hatuna raslimali, lakini mafuta is a game changer... subiri uone Kampala baada ya miaka 10. Mafuta ogopa, yanaendesha uchumi wa dunia. Pamba na korosho hamna kitu..
Ninaangalia taarifa ya habari ya ITV,Libya imeendelea sana.Miundombinu safi,maji n.k.Libya ipo kwenye jangwa ila Tanzania licha ya rasilimali zote bado tunasuasua.Nimeumia sana.Jiji la Dar tu linawashinda viongozi,Je ni laana au ni viongozi?
Kiini cha matatizo makubwa kwa maendeleo ya Tanzania ni viongozi na si laana; kama ni laana basi ni y akuwachagua greedy leaders; hakuna lingine. Hakuna mipango ya kumwendeleza common person, whatever little we we have is used extravagantly by leaders you live spendthrift lives, yaani viongozi wetu hawangaike nini wakati wao wanaishi maisha as if they are not in Tanzania, they live even better than some people in the developed countries, they determine their own salaries and benefits, they squander what belong to the people, hivi hatuoni hata hiyo extreme difference between common man and the leaders and their business allies? Jamani hata sisi tunaruhusu maana ndio tunaopigania kwa hali n amali ili kuwarudisha madarakani those who rip us so much, tutamaka lini, tutaendelea tu kulalama umaskini umaskini wakati na sisi tuna-authorize? Tujifikirie na kufikiria vizazi vyetu vijavyo, kama wataishi katika umaskini somehow na sisi tume-contribute....what legacy are we leaving behind for our children and our children's children?
Rasilimali bila ingenuity ni good for nothing.
Na hiki ndicho kitakuwa kifo chetu waafrika, wakati wenzetu wanashikilia zaidi kuwa na akili za ku control vitu, kiasi hata sisi wenye rasilimali tunapangiwa bei nao, wenye dhahabu tunawaita wao watuchimbie, sis tunaishia kukodolea macho rasilimali.
Kuna balozi mmoja nafikiri wa Ujerumani yule nchini Tanzania, kuna siku ilibidi aweke diplomasia pembeni na kuwapa wabongo kitu na boksi, akawaambia kuna siku rasilimali zenu zitaisha hizi, inabidi muanze kujipanga kuunda uchumi ulio complex zaidi kuliko kutegemea rasilimali tu.
Bei za rasilimali kiujumla zimekuwa zikishuka kwa miaka 30 iliyopita, kuna siku wenzetu wataweza kutengeneza kila rasilimali yetu tunayoringia kwenye lab, sijui tutauza nini.
Je kanchi kama Rwanda? Tazameni kanavyokwenda mbio. huwezi amini Kigali ya leo kama ndio iliyosambaratishwa na vita! Ukija baadhi ya maeneo ya Dar ndipo unaweza kudhani ile vita ya kule ilipiganwa! Rasilimali hatuna!!! Kweli nakubali Tanzania hakuna rasilimali, ila WANASIASA WA TANZANIA WANAZO RASILIMALI BINAFSI... Hivi mbona huwa hawazitangazi mali zao wanachoogopa ni nini? Vijisenti au?Mbona Nigeria wana mafuta lakini ni choka mbaya?
Libya wana petro-dollar wewe... Nyie uchumi wenu wa kuuza korosho, viazi, mchele, dhahabu na bongo fleva... Sio kwamba hatuna raslimali, lakini mafuta is a game changer... subiri uone Kampala baada ya miaka 10. Mafuta ogopa, yanaendesha uchumi wa dunia. Pamba na korosho hamna kitu..
Libya wana petro-dollar wewe... Nyie uchumi wenu wa kuuza korosho, viazi, mchele, dhahabu na bongo fleva... Sio kwamba hatuna raslimali, lakini mafuta is a game changer... subiri uone Kampala baada ya miaka 10. Mafuta ogopa, yanaendesha uchumi wa dunia. Pamba na korosho hamna kitu..
Nigeria wanamafuta,Angola wanamafuta na bado taabu tupu ,johansberg ilijengwa kwa dhahabu sisi tunadhabu bado mukichwa hakuna akili ya kuendelea eeh bana jaribu kuwa mkweli viongozi wetu ni vilaza full stop