Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
ndo maaana rwanda inaingia dunia ya pili!
sisi bado tunahangaika tuu!
Henge, Rwanda bwana hawashikiki sasa hivi, waseme kwa kitu kingine kama uhuru wa kujieleza nk, lakini katika mambo ya economic development wanaruka, wala sio kukimbia tena!