chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
Kiukweli TCRA hili swala naona mnacheka kwa sababu lina manufaa sana.
Yani kuna marundo ya vifurushi mpaka unaweza kukaa mwezi ndo unasikia kwenye matangazo au mtu kutumia.
Ukianza kichagua mpaka unachoka ujui unaelekea wapi utazani umefika sokoni ujui kipi unachukua.
Hii kitu ni hatari maana hata nyie sijui kama kuna vifurshi TCRA wanafahamu labda vile vinavyopigiwa promo.
Halafu kuna hili suala la vifurushi kuwa na majina ya ajabu. Ila TCRA ukichora picha au kuongea lugha ya ajabu wanajua kufatilia.
Nchi ya Tanzania imekuwa sehemu ya majaribio ya field za kampuni na wasomi waliopo aka shamba la bibi
Yani kuna marundo ya vifurushi mpaka unaweza kukaa mwezi ndo unasikia kwenye matangazo au mtu kutumia.
Ukianza kichagua mpaka unachoka ujui unaelekea wapi utazani umefika sokoni ujui kipi unachukua.
Hii kitu ni hatari maana hata nyie sijui kama kuna vifurshi TCRA wanafahamu labda vile vinavyopigiwa promo.
Halafu kuna hili suala la vifurushi kuwa na majina ya ajabu. Ila TCRA ukichora picha au kuongea lugha ya ajabu wanajua kufatilia.
Nchi ya Tanzania imekuwa sehemu ya majaribio ya field za kampuni na wasomi waliopo aka shamba la bibi